Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wanabodi, Hii ni Makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo, kwanza nitoe pongezi kwa mwandishi wa habari, Saed Kubenea na gazeti lake la Mwanahalisi kwa kuripoti ukweli bayana wa kitu cha...
9 Reactions
15 Replies
319 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara, John Heche, amesema chama hicho kimeamua kuendelea kudai mabadiliko ya kweli badala ya kufanya siasa kwa ajili ya kuonekana pekee. Heche amesema...
0 Reactions
0 Replies
34 Views
N:B: inawezekana kwa mara ya kwanza Rais na Makamu wake wakawa wote wanawake kama Namibia. Kwavile Rais ni Mkristo, kuna uwezekano mkubwa ataweka balance kumteua Makamu wake Mksristo MWIGULU...
1 Reactions
47 Replies
994 Views
Uwenda watu wengi hawajuwi na huwenda wengi tunafikiri baada ya Rais wa Taifa kufa basi wakisha fukia na kupiga mizinga basi kazi imeisha. Na sasa kila mtu anaona kuna fursa basi aanze kupiga...
77 Reactions
435 Replies
43K Views
  • Redirect
LISSU: Heche ongeza Moto wameanza kutiana maini HECHE: Sawa Sawa https://www.facebook.com/share/r/1C33WuarN1/
0 Reactions
Replies
Views
Wadau nawaomba tuendelee kufatilia defence evidence wa mh. Lissu hizi kiki za akina nchimbi na genge lake la wafiraji na watekaji huko ccm tuachane nao maana wote ni birds of the same feathers who...
7 Reactions
11 Replies
125 Views
Kwakuwa mtoto wake yupo madarakani kikwete rasmi sana kauza CCM bara na wamiliki sasa ni wanzanziri
4 Reactions
6 Replies
268 Views
Huyu anayekaa kabisa na Samia pembeni kabisa anathibitisha kwamba kashachanganyikiwa Mwigulu na Baraza zima pia wanatemwa anaunda linguine kabla ya mwaka kuisha, kuna sababu kaniambia Ila ngoja...
66 Reactions
94 Replies
4K Views
https://www.youtube.com/watch?v=8BRE4ErdPYg
0 Reactions
0 Replies
32 Views
Ukweli kwamba anainyosha nchi. Kila goti litapigwa kuanzia Dar hadi Ruvuma, kupitia Lindi na njia ya kuelekea kwa sugu Kama alifanikiwa bunge la katiba hana hata kajeshi kamoja na hata hili...
0 Reactions
3 Replies
80 Views
Ya Kujiuzulu.... Taarifa zimeshatufikia.. -Tuwaacheni Wafu Wazikane Wenyewe kwa Wenyewe-.
2 Reactions
3 Replies
91 Views
Naomba tu Majibu. Au ndo Ile mtu yupo ofsni lakini KAZI alishasusa kitambo sana. Naomba watanzania tuwasaidie majukumu viongozi wetu waliotuteua kwa moyo wa dhati kwasababu wametuamini wametuona...
1 Reactions
3 Replies
95 Views
Nimependa kujiuzulu kwa Nchimbi ili kupisha utawala wa kifalme . Afanye hivyo kama mfadhili na rafiki yake Museveni kieleweke. Sasa naamini Tanzania ni shamba la bibi tena mwenyewe kiziwi na...
4 Reactions
14 Replies
221 Views
Mlifanya jambo kama hilo kwa Spika wa bunge kwa sasa naomba msijaribu kwa makamu wa rais mtaleta maafa. Kwanini awe Samia pekee anayegombana na wandani wake. Kuanzia kwa Kasimu Majaliwa, VP...
5 Reactions
16 Replies
284 Views
Katiba inasemaje kama Samia akimteua Makamu wa rais Mwingine baada ya Nchimbi kujiuzulu na Ikatokea Samia kapata changamoto yoyote ya kibinadamu itakayofanya ashindwe kuendelea na majukumu yake na...
1 Reactions
7 Replies
169 Views
Uamuzi wa Makamu wa Rais Dk. Emmanuel Nchimbi wa kutangaza kujiuzulu nafasi yake umezua mjadala mzito huku hatua hiyo ikitazamwa kama dharau ya wazi na kukosekana kwa heshima kwa mamlaka ya ofisi...
0 Reactions
6 Replies
142 Views
Hizi barua za kujiuzilu za viongozi wakubwa zinaandikagwa na nani? Au wanaziandikaga wenyewe wakiwa under arrest? Ebu we msomaji iangalia au TAFUTA barua ya kujiuzilu kwa Nchimbi inaonekana...
2 Reactions
12 Replies
232 Views
Machine kadhaa na magari mfano ile Rolls Royce yenye insurance ya Sh.55,000,000 ni mali ya Abdul. Ameiandikisha kwa China Xiping yang Chan Tc Milestone Ltd. Kampuni ya Kichina iliyopo Tanzania...
44 Reactions
213 Replies
14K Views
Mzee Nchimbi, sio lazima utafute Mawazo kwa Wazeee katika suala dogo kama hili.. Kimàhesabh, Ukijiuzulu wewe mwenyewe kama Alivyofanya Lowassa, Utaonekana wewe ndio Snitch, Mkorofi, uliyekua...
17 Reactions
48 Replies
1K Views
Katika hotuba yake kwenye maadhimisho ya Maulid, Sheikh Mziwanda amewakosoa wanaosema Tanzania hakuna maendeleo "Uhuru ukikosa mipaka ni uwendawazimu... Sasa kuna uhuru wa kusema lolote na...
3 Reactions
23 Replies
395 Views
Back
Top Bottom