Ndugu Dr Comrade Bashite anasubiri vikao halali vya Chama kumpitisha ili akalie kiti kujiandaa na 2030. Kanyaga twende Gen Z. Haina kwere Chuga tumekuelewa!
1. Naomba kujuzwa utaratibu wa kikatiba unasemaje endapo Rais na Makamu wa Rais wanapokua nje ya nchi Kwa wakati mmoja. Ni Nani Anakaimu nafasi ya Rais Kwa Katiba ya Sasa?
2. Jibu Kwa kutaja...
Tuliona naibu waziri mkuu ulivyotumika then akatupwa baada ya kuwatumikia na kupata wanachokitaka msikubali kutumika kwenye shida kwenye raha wanakua peke yao mnatupwa ni bora mara mia kukataa...
Aliepitishwa kugombea Ubunge Tanga mjini ni mtu ambaye alipata kura 80 tu za Wajumbe kati ya kura 10,176/= zilizopigwa.
Yaani 1%!!! Na bado tutaendelea kuaminishwa kuwa Viongozi wanapatikana kwa...
Li nchi linakwenda zigzaga utafikiri halina jeshi.
Kikundi cha watu kinaendesha nchi upumbavu mtupu.
Kwa katiba ilivyo akitokea Kiongozi kichaa anaweza kuwaamuru hata jeshi lifanye jambo la...
Project ya CHAUMMA sidhani kama itatoboa zaidi ya miezi sita ijayo.
Natabiri baada ya Uchaguzi Mkuu waliohamia Chaumma kwaajili ya kupata Ubunge hawatoamini macho yao baada ya kuukosa huo ubunge...
Si kila gari linapopata pancha linapaswa kurudi lilipotoka. Wakati mwingine kinachohitajika ni kusimama kidogo, kubadilisha tairi na kuendelea na safari.
Maishani, kuna nyakati watu hubadilika...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Mbunge wa Arusha Mjini, Paul Christian Makonda amesema kuelekea mwaka 2030 wapo wanasiasa wengi wanaotaka kutumia shida za wananchi...
WanaJf:
Hivi Kweli mtu unayepingana nae Kwa maneno na matendo awe anakusifia hadharani Kwamba Wewe ndiye mkomavu wa Siasa hasa!
Mbaya zaidi,huonekani kujali wenzio waliokupigania ukiwa...
Ah leo Nchimbi ametoka katikati ya uwanja na kurudi upande wa goli lake amewachambua wote akajifunga bao huku wenzake wakimshangaa.
Kwanza kawasifia wanaharakati na kumtaja Maria kama mtu...
Ndugu zangu Watanzania,
Nimeota ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete Atakuwa Rais Wa Tanzania kuanzia Mwaka 2040. Ambapo Urais wake ataupokea Kutoka Kwa Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi...
Madaraka makubwa zaidi ya juu Tanzania katika vyeo viwili vya juu kabisa vya nchi yamekuwa yakikaliwa na yakipokezanwa kati ya Uislamu na Ukatoliki tu, ni wakati sasa wa kuvunja utaratibu huo...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa wale washakunaku,wambeya ,wazushi ,mapashikuna Bebeni sasa Aibu hii bila kujificha. Mnapenda sana uongo na uzushi hasa Ma CHADEMA. Wanapenda sana kuzusha uongo
Makamu...
Hali inaonyesha patakuwa na tetemeko na hofu kuu ktk taifa lakusadikika. Wazee wa Taifa hilo watasimama kukabiliana na kesho ya kizazi kijacho. Itakuwa nivita kali isio tumia silaha wala mabomu...
Shibuda amshauri Nchimbi ajitafakari kuhusu mustakabali wake, alinde jina lake, Imani yake ya kwa CCM na historia ya kizazi chake. Na AJIUZULU haraka iwezekanavyo.
👉Kumekuwa na minong'ono mingi ndani ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu, wakitaka mabadiliko ya mgombea Urais, huku balozi
Dr. Nchimbi akinyoshwewa vidole kushika nafasi hiyo, kukinusuru chama!
Mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.