Biblia inatufundisha kuhesabu gharama kabla ya kujenga Mnara. Jaribio/ Mipango ya kumuondoa kwenye Siasa Madaraka/ Mamlaka Wahusika wajipange Vizuri.
Namfahamu Nchimbi nimesoma naye O level...
Wana-JamiiForums,
Leo nataka tuguse jeraha ambalo wengi wetu tunaliona lakini ama tunaliogopa kulisemea, au tunajifanya hatuoni madhara yake makubwa. Tukirudi nyuma hadi mwaka 2015, wakati Hayati...
Abdulrahman Kinana
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM...
Huyu Mama kiboko hii list ni ndefu sio kidogo hawa ni wachache nao wafahamu.
1. Aliyekuwa Makamu mwenyekiti CCM (Kinana)
2. January Makamba,
3. Kassim Majaliwa
4. Doto Biteko
5. George...
Hamjambo!
Nilikuwa najiuliza: kwa nini mtu aamue kuwa chawa?
Kuna wakati niliwalaumu. Kuna wakati niliwakejeli, na huenda wakati fulani niliwatukana.
Iwe nilikosea au sikukosea, bado nilikuwa...
Hii ndio kauli ya Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani aliyoitoa huko Temeke kwenye Mikutano ya Chama chake
Anayebisha hili afuatilie sakata la Uuzwaji wa Bandari
Ndani ya CCM makamu wa Rais Dr.Emmanuel John Nchimbi, anapendwa sana, anaaminika sana na anakubalika kupindukia. Lakini ndani ya upinzani katika ujumla wao, makamu wa Rais Dr.Emmanuel John Nchimbi...
Hamjambo!
Kwanza poleni kwa wote walioumizwa na taarifa ya Lisu kukutwa na kesi ya Kujibu.
Sasa isiishie kujifariji kwamba Mashahidi aliowaita Lisu hawawezi kufika mahakamani. Sitegemei Tundu...
Emmanuel John Nchimbi, ambaye ametangaza kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais wa Tanzania na kustaafu siasa na utumishi wa umma, amekuwa katika siasa na uongozi wa Serikali kwa zaidi ya miongo...
WAZIRI MKUU 'AWASHIKA MKONO' WAATHIRIKA WA MOTO TANGA
TANGA
WAZIRI Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa mkono wa pole kwa waathirika wa moto ulioteketeza maduka12 na makazi ya familia mbili...
Baada ya mtuhumiwa kuanza kutoa ushahidi , wake inaonekana Waendesha Mashtaka na Meza Kuu Wana tashwishwi ya Mtuhumiwa Kumaliza Ushahidi wake , mapema kadiri inavyo wezekana bila kuzungumzia...
Haya ndio mambo yaliyomkuta mtoto wa Lubuva , alipata cheo kutokana na watawala kulipa fadhila kwa Baba yake baada ya kusaidia wizi wa kura 2015.
Kisicho riziki Hakiliki
Kuna nini ndani ya kuhitaji kuishi ziada kwa Dk Mpango?
Seems ameona akiwa ndani ya mfumo maisha yake yapo hatarini-kwanini yawe?!
Na kwa nini Rais Samia alijihami na kusema hitaji la Dk Mpango...
Daa watanzania sasa wamekuwa kama Iran, wanapeleka moto hatari.
Prof Kabudi pamoja na kuwananga mabeberu kumbe Binti yake anafanya kazi Norway as a lecturer
Sasa Watanzania na Wakenya...
Hawa wana CCM wanaotolewa kwenye meza kuu wawe na ujasiri wa kuunda chama ambacho kitakuwa mbadala wa CCM.
Iwe CCM B ya ukweli na wazi.
Nchimbi
Majaliwa
Mpango
January
Mpina
Dotto Biteko...
Watanzania wenzangu, hasa vijana, jikiteni kwenye kuzitafuta fursa. Achana na siasa vijana wenzangu, acheni kutumia mitandao ya kijamii kutoa maneno yasiyo mazuri kwa viongozi. Kumbuka Mungu...
Nchi ya Tanzania sasa ni koloni la wanzanzibari makamu wanaotaka ni kama awe Dolly la kukaa na kuzubaa na kula rojorojo.
Yaani mtu akisema nchi ipiganie katiba ni tatizo tujiulize kwanini na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.