Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kinondoni imesema inaendelea na msako wa Alex Msama ili ajibu mashtaka yanayomkabili
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam...
R.I.P. Daniel mbega aliyekuwa mhariri wa Gazeti la Dira ya Mtanzania enzi hizo Mimi nipo chuo kikuu.
Daniel mbega ndiye aliyenikutanisha na Alex Msama Kwa mara ya kwanza ambapo alitaka nimuoji na...
Kichwa cha uzi kinatoshea niende kwenye why!
Kwa sababu
Ccm hawawez toka kwa demokrasia wanajua maumivu na wizi waliousababisha na wanaoufanya kwa watanzania so sio rahisi hawa jamaa kuachia...
Ni angalizo la kuchukua tahadhali. Hakuna tetesi au lolote, but one ought to think wider and wider. Divergent thinking! Ya dreva wa Heche itupe funzo kuwa you have to be extra careful
Kama...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa sasa wana CHADEMA wamepoteza kabisa Imani na Heche , Hakuna anayemuamini,Hakuna anayemuelewa wala kujua anachokifanya ndani ya chama chenye Maslahi kwa chama.
Kila...
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mongella ameiambia Dunia leo Mchana kwamba Bangi ya Arusha ndio inayoshikilia rekodi ya Ukali kuliko zote Duniani.
Taarifa hii Muhimu imetolewa na Mkuu huyo wa Mkoa...
"Nitakung'oa...nakwambia nitakutumbua,unapokea mshahara wa bure unakula na mkeo halafu mimi nakufanyia kazi zako"..Haya ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella, akimbwatukia bosi wa...
Ndugu zangu Watanzania,
Nchi ya Venezuela Imejiondoa Rasmi kuwa Mwanachama wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai ya ICC. Mahakama Ambayo Imeendelea kukimbiwa na wanachama mbalimbali kutoka...
Katibu Mkuu wa Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo, akizungumza kwenye mahojiano na Crown Media leo Julai 29, 2026, anaeleza kuwa Kijijini kwao Handeni Tanga, kuna changamoto ya Maji kwa Miaka zaidi...
Maendeleo ni matokeo ya kazi, bidii, maarifa na juhudi. Falsafa ya mwenge wa uhuru ni mazingaombwe na miujiza, eti mwenge unaleta amani. Mbaya zaidi miaka michache mbeleni ikaibuka vita vya...
Hali siyo shwari polisi wanalipua mabomu watu wamejeruhiwa
Bomu lililolipuka limejeruhi watu sana. Inaonekana bomu lilitegwa karibu na gari la matangazo.
Mtoto aliyelipukiwa na bomu amefariki...
Heshima kwako mzee! Sina mengi, Nakuomba CCM wasikuingize kwenye laana ya ya mauaji ya Oktoba 29, endelea kusimamia haki.
Nimeona mwezi huu wamekufuata Nchimbi, spika, na makamu wa kwanza wa...
Wanabodi,
Makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la leo
Leo Jumapili ya Agosti 25, Jumatano ya Agosti 28, kipenga cha kuanza kampeni za Uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani, kinapulizwa...
Wanabodi
Makala yangu kwenye Gazeti la Mwananchi
https://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu/tumpongeze-rais-samia-sambamba-na-wanahabari-ila-tukaze-uzi-5030938
Tarehe 3 Mei kila mwaka ni Siku ya...
Makamu Mwenyekiti wa CCM taifa, mh. Stephen Wasira ameonyesha hali ya kuwahurumia na kuwasikitikia Chadema baada ya kupata viongozi wa hovyo kuwahi kutokea katika historia ya vyama vingi vya siasa...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla akiwa na Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba wameshiriki katika Semina elekezi kwa Mawaziri, Naibu Mawaziri na Makatibu Wakuu kuhusu umuhimu wa...
Promota wa Tamasha la Pasaka, Mtangazaji wa vipindi vya kwaya na Mgombea wa nafasi mbalimbali za uongozi huko CCM, Bwana Alex Msama ametajwa kuwemo kwenye 3 bora ya Matapeli Papa wa Viwanja DSM...
Prof. Omar Fakih Hamad, Mnadhimu wa ACT Wazalendo, Baraza la Wawakilishi Zanzibar
Ndugu Wanahabari! Hatuna budi kumshukuru Mwenyezi Mungu, aliyetujaalia uhai na uzima na kutuwezesha leo hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.