Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Biblia inatufundisha kuhesabu gharama kabla ya kujenga Mnara. Jaribio/ Mipango ya kumuondoa kwenye Siasa Madaraka/ Mamlaka Wahusika wajipange Vizuri. Namfahamu Nchimbi nimesoma naye O level...
3 Reactions
17 Replies
468 Views
Wana-JamiiForums, Leo nataka tuguse jeraha ambalo wengi wetu tunaliona lakini ama tunaliogopa kulisemea, au tunajifanya hatuoni madhara yake makubwa. Tukirudi nyuma hadi mwaka 2015, wakati Hayati...
4 Reactions
5 Replies
332 Views
Abdulrahman Kinana Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM...
45 Reactions
548 Replies
45K Views
Huyu Mama kiboko hii list ni ndefu sio kidogo hawa ni wachache nao wafahamu. 1. Aliyekuwa Makamu mwenyekiti CCM (Kinana) 2. January Makamba, 3. Kassim Majaliwa 4. Doto Biteko 5. George...
6 Reactions
11 Replies
377 Views
Hamjambo! Nilikuwa najiuliza: kwa nini mtu aamue kuwa chawa? Kuna wakati niliwalaumu. Kuna wakati niliwakejeli, na huenda wakati fulani niliwatukana. Iwe nilikosea au sikukosea, bado nilikuwa...
3 Reactions
31 Replies
437 Views
Hii ndio kauli ya Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani aliyoitoa huko Temeke kwenye Mikutano ya Chama chake Anayebisha hili afuatilie sakata la Uuzwaji wa Bandari
7 Reactions
17 Replies
332 Views
Ndani ya CCM makamu wa Rais Dr.Emmanuel John Nchimbi, anapendwa sana, anaaminika sana na anakubalika kupindukia. Lakini ndani ya upinzani katika ujumla wao, makamu wa Rais Dr.Emmanuel John Nchimbi...
6 Reactions
43 Replies
540 Views
Hamjambo! Kwanza poleni kwa wote walioumizwa na taarifa ya Lisu kukutwa na kesi ya Kujibu. Sasa isiishie kujifariji kwamba Mashahidi aliowaita Lisu hawawezi kufika mahakamani. Sitegemei Tundu...
20 Reactions
154 Replies
2K Views
Emmanuel John Nchimbi, ambaye ametangaza kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais wa Tanzania na kustaafu siasa na utumishi wa umma, amekuwa katika siasa na uongozi wa Serikali kwa zaidi ya miongo...
1 Reactions
0 Replies
96 Views
WAZIRI MKUU 'AWASHIKA MKONO' WAATHIRIKA WA MOTO TANGA TANGA WAZIRI Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa mkono wa pole kwa waathirika wa moto ulioteketeza maduka12 na makazi ya familia mbili...
1 Reactions
2 Replies
42 Views
Habari kutoka Idara ya Habari Maelezo ni kuwa Gazeti la Mwanahalisi limefungiwa kwa miezi 6.
5 Reactions
32 Replies
618 Views
Akae rada sana
13 Reactions
59 Replies
3K Views
Baada ya mtuhumiwa kuanza kutoa ushahidi , wake inaonekana Waendesha Mashtaka na Meza Kuu Wana tashwishwi ya Mtuhumiwa Kumaliza Ushahidi wake , mapema kadiri inavyo wezekana bila kuzungumzia...
5 Reactions
34 Replies
414 Views
Haya ndio mambo yaliyomkuta mtoto wa Lubuva , alipata cheo kutokana na watawala kulipa fadhila kwa Baba yake baada ya kusaidia wizi wa kura 2015. Kisicho riziki Hakiliki
5 Reactions
12 Replies
902 Views
Kuna nini ndani ya kuhitaji kuishi ziada kwa Dk Mpango? Seems ameona akiwa ndani ya mfumo maisha yake yapo hatarini-kwanini yawe?! Na kwa nini Rais Samia alijihami na kusema hitaji la Dk Mpango...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Daa watanzania sasa wamekuwa kama Iran, wanapeleka moto hatari. Prof Kabudi pamoja na kuwananga mabeberu kumbe Binti yake anafanya kazi Norway as a lecturer Sasa Watanzania na Wakenya...
40 Reactions
107 Replies
3K Views
Hawa wana CCM wanaotolewa kwenye meza kuu wawe na ujasiri wa kuunda chama ambacho kitakuwa mbadala wa CCM. Iwe CCM B ya ukweli na wazi. Nchimbi Majaliwa Mpango January Mpina Dotto Biteko...
2 Reactions
5 Replies
91 Views
Watanzania wenzangu, hasa vijana, jikiteni kwenye kuzitafuta fursa. Achana na siasa vijana wenzangu, acheni kutumia mitandao ya kijamii kutoa maneno yasiyo mazuri kwa viongozi. Kumbuka Mungu...
0 Reactions
7 Replies
63 Views
Nchi ya Tanzania sasa ni koloni la wanzanzibari makamu wanaotaka ni kama awe Dolly la kukaa na kuzubaa na kula rojorojo. Yaani mtu akisema nchi ipiganie katiba ni tatizo tujiulize kwanini na...
3 Reactions
1 Replies
65 Views
Au mimi ndio sielewi yanayoendelea uko mjini?
1 Reactions
7 Replies
139 Views
Back
Top Bottom