Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ndugu zangu Watanzania, Kwa wale washakunaku,wambeya ,wazushi ,mapashikuna Bebeni sasa Aibu hii bila kujificha. Mnapenda sana uongo na uzushi hasa Ma CHADEMA. Wanapenda sana kuzusha uongo Makamu...
0 Reactions
14 Replies
493 Views
Hali inaonyesha patakuwa na tetemeko na hofu kuu ktk taifa lakusadikika. Wazee wa Taifa hilo watasimama kukabiliana na kesho ya kizazi kijacho. Itakuwa nivita kali isio tumia silaha wala mabomu...
18 Reactions
49 Replies
4K Views
Hii inatisha ndani kwa ndani aisee Hakuna wa kusovu! Dude linatafuna ndani kwa ndani !! Hapumui, Cha msingi msiache glass za maji wazi . Britanicca!!!
79 Reactions
295 Replies
27K Views
Shibuda amshauri Nchimbi ajitafakari kuhusu mustakabali wake, alinde jina lake, Imani yake ya kwa CCM na historia ya kizazi chake. Na AJIUZULU haraka iwezekanavyo.
9 Reactions
34 Replies
760 Views
👉Kumekuwa na minong'ono mingi ndani ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu, wakitaka mabadiliko ya mgombea Urais, huku balozi Dr. Nchimbi akinyoshwewa vidole kushika nafasi hiyo, kukinusuru chama! Mtu...
34 Reactions
379 Replies
28K Views
Siandiki chochote, zaidi hangaika mwenyewe na. Picha UJUMBE: HATUTAKI MARIDHIANO NA SHETANI
30 Reactions
92 Replies
1K Views
Friends and Our Enemies, Ukistaajabu ya Nchimbi utayaona ya Chama Cha Maandamano, Kuna taarifa zinazagaa zagaa zikielezea kuwa John Heche na Genge lake linahaha kuwatafuta CCM ili wawashawishi...
2 Reactions
52 Replies
596 Views
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kila Mtanzania anapaswa kutimiza wajibu wake bila kuogopana, akisisitiza kuwa Tanzania ni kinara katika kuheshimu haki...
2 Reactions
6 Replies
85 Views
CCM wameitisha NEC ya dharura keshokutwa (Jumatano), Dodoma. Huenda kukawa mambo mapya yataibuka?
21 Reactions
60 Replies
2K Views
Wale wawili, kwa sababu walikuwa jikoni, wakijua uharamia ambao ulikuwa ukipangwa dhidi ya wananzengo, mapema kabisa waliamua kujiweka mbali. Makamu aliamua kuachia ngazi. Kiranja wa mawaziri...
0 Reactions
0 Replies
69 Views
Za Ndani kabisa Freeman Mbowe na Lazaro.NYALANDU... ni miongoni mwa majina yanayotajwa kwenye kurithi nafasi iliyoachwa wazi..... TEETH wanamtaka mtu wao mwana mpotevu ( FAM) wakati CCM mtandao...
7 Reactions
21 Replies
431 Views
Maana wazalendo tusiokuwa na uwezo wowote wa kulazimisha mabadiriko tukipaza sauti tunalazimishwa kujiuzulu, au kupotezwa. Sasa nauliza huko kwenye majeshi yetu hatuna wazalendo ambao hawawezwi...
15 Reactions
58 Replies
978 Views
Mheshimiwa Rais Samia aridhia Nchimbi kujiuzuru Nafasi ya makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe...
2 Reactions
41 Replies
1K Views
Lile jiwe limetupiga pakubwa urithi wake utadumu milele Angepewa uenyekiti wa simba na yanga ingependeza zaidi mzogoo upungue tumechoka kelele wallahi
2 Reactions
14 Replies
272 Views
Utakuwa mzalendo kama 1. Hupendi watu wanaotaka katiba mpya 2. rushwa imejaa serikalini 3. Utekaji unajulikana waziwazi 4. Unateka watu wanaopiga uvunjaji wa sheria 5. Unaiba kura Sasa huyu ni...
3 Reactions
7 Replies
156 Views
Wakati akizungumza katika hafla ya Baraza la Maulid Kitaifa 2026, Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba amesema Tanzania inaheshimu uhuru wa wananchi kushiriki katika masuala ya kisiasa kwa njia za amani na...
0 Reactions
0 Replies
27 Views
Ndugu Wajumbe, kuna maswali mengi huku mtaani kuhusu ukimya uliotanda juu ya wapi alipo Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi? Hivi majuzi kulikuwa na Kikao kikubwa cha Kamati Kuu kilichoketi...
4 Reactions
15 Replies
716 Views
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba wakati akishiriki katika hafla ya Baraza la Maulid Kitaifa 2026 amesema kila Mtanzania ana wajibu wa kulinda nchi na kuhakikisha amani na utulivu vinaendelea kuwepo...
0 Reactions
0 Replies
23 Views
Yaani Wafrika kwa kujali matumbo yao na maslahi yao ni noma. Mtu anashikiwa chuma kisa tu maslahi yao yabaki kuwa salama. Afrika sio mahala salama pa kuishi.
3 Reactions
7 Replies
221 Views
Watanzania tuache tabia ya kusoma vichwa vya habari tu tuwe tunasoma kilichomo ndani huu uvivu wa kutokusoma in detail ndo kunasababisha uwepo wa upotoshaji mkubwa kama huu unaoendelea mitandaoni...
6 Reactions
156 Replies
2K Views
Back
Top Bottom