Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa hili linalotokea la nchimbi kujiuzulu mimi sina upande wa kutetea au kuponda sababu ukweli ni kwamba ccm wote wanafanana tabia na wanatumia playbook moja kwa hiyo huo ni uogomvi wa ndugu haina...
3 Reactions
6 Replies
62 Views
Hii inathibitisha kuwa hii nchi imewashinda hawa walio madarakani. Hivi kweli ingekuwa hao ni wanaojitambulisha kuwa ni waandamanaji, je wasingekamatwa? Huyu anayeitwa IGP nadhani ni bosheni tu...
25 Reactions
43 Replies
1K Views
Mbunge wa Baraza la Wawakilishi na Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu, Simai Mohammed Said, amesema mafanikio ya Serikali katika ukusanyaji wa mapato yanaonyesha kuwa Tanzania ipo katika mwelekeo...
9 Reactions
140 Replies
4K Views
Utasemaje hayo yakitokea!? Mara paaap Nchimbi yuko na Lissu kwenye madai ya Katiba Mpya!
5 Reactions
38 Replies
409 Views
Vita ya majimaji iliongozwa na Kinjeketile na akaweza kuwashawishi wananchi wengi vijana wakajiunga na jeshi lake. Vita ya majimaji ilikuwa na wapiganaji walikuwa na Imani kubwa kuwa watawashinda...
2 Reactions
11 Replies
174 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA amesema, “Muulizeni Mbowe viongozi wa CHADEMA wasingemtembelea gerezani angejisikiaje?” Soma Pia: Heche: Mbowe aulizwe mwenyewe kwanini haendi mahakamani Tundu Lissu...
13 Reactions
60 Replies
818 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara, John Heche, amesema amekuwa akikabiliwa na vitisho vinavyolenga usalama na uhai wake kutokana na shughuli zake za kisiasa. Heche amesema vitisho hivyo...
5 Reactions
6 Replies
271 Views
  • Redirect
Note my word, uo ndo utakuwa upya WA ccm na MABADILIKO makubwa yatatokea. Utakuwa ndo mwanzo wa kifo wa CHAMA cha democracia na maendeleo CHADEMA maana kila jambo lao litafanyika. Katiba mpya...
1 Reactions
Replies
Views
Kama ni kidali poo, mama Samia analo! Nchimbi huyoo kayoyoma kiaina, kaona kama ni mbwai miye naulaza! Kwa maneno ya mjini, kabwaga manyanga! Ngoma waicheze wajuvi. Kwa maneno nengine Nchimbi...
16 Reactions
54 Replies
997 Views
Mizizi yake was deep! Wazito wengine wanasababisha catastrophe soon Naiona Kesho Yenye matumaini, naanza Kushusha makala ndefu, Soon Britanicca
82 Reactions
143 Replies
6K Views
Katika barua yake kwa umma Mhe Dk Emmanuel Nchimbi amesema kwamba nanukuu "... nimejiridhisha pasipo shaka kuwa Mhe. Rais anatamani mabadiliko, hivyo nimeamua kutimiza ahadi yangu...." Alipoona...
8 Reactions
19 Replies
594 Views
Aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Simon Msigwa, amezua mjadala mkubwa wa kisiasa nchini baada ya kutoa ukosoaji mkali dhidi ya serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan na mfumo wa...
3 Reactions
15 Replies
236 Views
Wanabodi, Hii ni Makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo, kwanza nitoe pongezi kwa mwandishi wa habari, Saed Kubenea na gazeti lake la Mwanahalisi kwa kuripoti ukweli bayana wa kitu cha...
9 Reactions
15 Replies
319 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara, John Heche, amesema chama hicho kimeamua kuendelea kudai mabadiliko ya kweli badala ya kufanya siasa kwa ajili ya kuonekana pekee. Heche amesema...
0 Reactions
0 Replies
34 Views
N:B: inawezekana kwa mara ya kwanza Rais na Makamu wake wakawa wote wanawake kama Namibia. Kwavile Rais ni Mkristo, kuna uwezekano mkubwa ataweka balance kumteua Makamu wake Mksristo MWIGULU...
1 Reactions
47 Replies
994 Views
Uwenda watu wengi hawajuwi na huwenda wengi tunafikiri baada ya Rais wa Taifa kufa basi wakisha fukia na kupiga mizinga basi kazi imeisha. Na sasa kila mtu anaona kuna fursa basi aanze kupiga...
77 Reactions
435 Replies
43K Views
  • Redirect
LISSU: Heche ongeza Moto wameanza kutiana maini HECHE: Sawa Sawa https://www.facebook.com/share/r/1C33WuarN1/
0 Reactions
Replies
Views
Wadau nawaomba tuendelee kufatilia defence evidence wa mh. Lissu hizi kiki za akina nchimbi na genge lake la wafiraji na watekaji huko ccm tuachane nao maana wote ni birds of the same feathers who...
7 Reactions
11 Replies
125 Views
Kwakuwa mtoto wake yupo madarakani kikwete rasmi sana kauza CCM bara na wamiliki sasa ni wanzanziri
4 Reactions
6 Replies
266 Views
Back
Top Bottom