Katibu Mkuu wa Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo, akizungumza kwenye mahojiano na Crown Media leo Julai 29, 2026, anaeleza kuwa Kijijini kwao Handeni Tanga, kuna changamoto ya Maji kwa Miaka zaidi...
Maendeleo ni matokeo ya kazi, bidii, maarifa na juhudi. Falsafa ya mwenge wa uhuru ni mazingaombwe na miujiza, eti mwenge unaleta amani. Mbaya zaidi miaka michache mbeleni ikaibuka vita vya...
Hali siyo shwari polisi wanalipua mabomu watu wamejeruhiwa
Bomu lililolipuka limejeruhi watu sana. Inaonekana bomu lilitegwa karibu na gari la matangazo.
Mtoto aliyelipukiwa na bomu amefariki...
Heshima kwako mzee! Sina mengi, Nakuomba CCM wasikuingize kwenye laana ya ya mauaji ya Oktoba 29, endelea kusimamia haki.
Nimeona mwezi huu wamekufuata Nchimbi, spika, na makamu wa kwanza wa...
Wanabodi,
Makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la leo
Leo Jumapili ya Agosti 25, Jumatano ya Agosti 28, kipenga cha kuanza kampeni za Uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani, kinapulizwa...
Wanabodi
Makala yangu kwenye Gazeti la Mwananchi
https://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu/tumpongeze-rais-samia-sambamba-na-wanahabari-ila-tukaze-uzi-5030938
Tarehe 3 Mei kila mwaka ni Siku ya...
Makamu Mwenyekiti wa CCM taifa, mh. Stephen Wasira ameonyesha hali ya kuwahurumia na kuwasikitikia Chadema baada ya kupata viongozi wa hovyo kuwahi kutokea katika historia ya vyama vingi vya siasa...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla akiwa na Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba wameshiriki katika Semina elekezi kwa Mawaziri, Naibu Mawaziri na Makatibu Wakuu kuhusu umuhimu wa...
Promota wa Tamasha la Pasaka, Mtangazaji wa vipindi vya kwaya na Mgombea wa nafasi mbalimbali za uongozi huko CCM, Bwana Alex Msama ametajwa kuwemo kwenye 3 bora ya Matapeli Papa wa Viwanja DSM...
Prof. Omar Fakih Hamad, Mnadhimu wa ACT Wazalendo, Baraza la Wawakilishi Zanzibar
Ndugu Wanahabari! Hatuna budi kumshukuru Mwenyezi Mungu, aliyetujaalia uhai na uzima na kutuwezesha leo hii...
Mmoja wa madereva wa magari ya kenta katika Soko Kuu Arusha amesema wamiliki wa magari wanakabiliwa na mzigo mkubwa wa tozo na gharama mbalimbali zinazowafanya kuendesha biashara kwa ugumu...
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Elizabeth Frank Kimsangi, mwenye umri wa miaka 25, amekutwa amefariki dunia ndani ya nyumba yake iliyopo Kitongoji cha Oltulelei, Kata ya Ilboru, Wilaya ya...
Simanzi na maswali mazito vimetanda katika familia ya mfanyabiashara Sifaeli Mollel baada ya mwili wake kukutwa ukiwa umeharibika ndani ya nyumba inayodaiwa kutumiwa na mganga wa jadi katika eneo...
Kuna wimbi kubwa mno la vijana wanakimbilia kuendeshea bodaboda, kuna kundi kubwa zaidi linakuja naomba nishauri jambo Moja tu
Kila shule ya sekondari yaanzishwe masomo ya kivitendo ili...
Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Wazee Jasiri, Tamimu Omary Tamimu, amesema si sahihi kuuita utawala wa nchi kuwa wa "kisultani" kwa sababu watoto au ndugu wa viongozi wakuu wanateuliwa kushika...
Wanabodi
Kwa muda mrefu taifa letu limekuwa linakabiliwa na hili jinamizi la watu wasiojulikana, ambao wanateka Watanzania, wanatesa Watanzania, na wanaua Watanzania bila huruma.
Kila tukio...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi akitoa ufafanuzi Julai 29, 2026 Visiwani Zanzibar baada ya kuwepo kwa malalamiko ya kukamatwa kwa watuhumiwa 130 wa makosa mbalimbali nchini...
Mheshimiwa Katambi kuwa serious basi. Maana mpaka sasa nchi inatishio la ugaidi.Ndio maana kuna watu 130 wapo mahabusu na kesi za ugaidi zinarindima mahakamani
Wanabodi
Makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi
Kufuatia kilichotokea kwenye yale maadhamano haramu ya tarehe 29 October, na kutaka kujirudia tarehe 9 Desemba, 2025, kiukweli tishio la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.