UVCCM ni umoja uliowekwa na kulelewa katika misingi ya kuimba mapambio ya kusifu na kutukuza watawala hata pale pasipo stahili sifa. ACHENI.
Anaandika Almaliki Mokiwa.
Tuweke mkazo katika...
Mbunge wa Viti Maalum, Ngw'asi Kamani amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali vijana na kuondoa malipo ya kodi ya mwaka mmoja wanapoanza biashara.
Akichangia bungeni Aprili 11, 2023...
Nimeshangaa utitiri wa matangazo ya iftal huko bungeni Dodoma kwa sasa!
Na ndio maana nikaanza kufikiria na kutafakari kinachoendelea hukohuko Bungeni kwa sasa!
Kuhusiana na ripoti ya CAG...
Ni wazi kwamba ndege ya ATCL inayokwenda Chato huwa inaenda tupu, bila abiria
Abiria pekee ni mama Janeth Magufuli na watoto wake au Kalemani.
Nashauri ruti hii ifutwe kwa maslahi ya taifa.
Kiukweli pamoja na kazi nzuri anazofanya Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassan pamoja na watumishi wema na wanaomshauri vizuri juu ya ustawi wa Taida letu la Tamzania ni vizuri tuliangalie na hili...
Huyu mtu anatajwa katika Kila jambo la upigaji, ukiona unataka kumuachia Baraba, tupe Dotto James. Hii kisiasa itaonyesha Nia yako ya dhati ya kupambana na ufisadi, na wananchi watakuwa wamekuwa...
Kwa ujumla Rais wa Urusi Vladmir Putin,amewashika pabaya na kuzidi kuwaweka njia Panda, USA na washirika wake wa NATO baada ya kuzisamehe ghafla nchi za kiafrika,madeni yaliyokuwa na thamani ya...
Katika hili niseme Asante Rais, umeonyesha unavyozimudu siasa za nera na mdundiko wa vita vya medani. Nakumbuka nafasi ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madola iligombewa na Bernard Membe enzi za...
Ni mtu mjinga tu ndio atakubaliana na Kibajaj kwamba Ripoti ya CAG isijadiliwe bungeni hadi mwakani
Mikutano ya hadhara imeruhusiwa na Ripoti itachambuliwa na Bunge la Wananchi huku mtaani na...
Hawa matapeli wa kopa faster ni hujuma au mpo nao na maisha nao?
Je, nikitengo ndani ya jeshi la polisi?
Kama sio je mnawafahamu? Mliwahi kuwasikia?
Nimeuliza kwa kuwa licha ya Watanzania kulia...
Kwanza nilidhani ni wale manabii uchwara ila nikaangalia kwa ukaribu nikagundua ni lijamaa limoja lenye pesa na kitambi kinapita juu ya matumbo ya kinamama wenye waume zao na watoto.
Sio kosa...
Fuatilia yanayojiri Bungeni leo Aprili 11 kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 4.
=======
Mbunge alalamikia kuitwa watu wengi kwenye usaili wa ajira
Mbunge vijana, Ng'wasi Kamani amesema...
MPINA AMEAMUA KUWA MZABIBU MWITU AU AMEFIKA BEI KWA MAFISADI?
Niko kwenye mfungo wa mwezi mkukufu wa Ramadhani, wakati alasiri inayoyoma kuelekea magharibi nimeketi kwenye uwa wangu nikisikiliza...
Katika demokrasia ya vyama vingi, vyama vya upinzani hutafuta madudu ya serikali na kuyatoa kwa jamii. Hapa Tanzaia vyama vyetu vya upinzani vinatumia taarifa za serikali kuikosoa serikali.
Kwa...
Juzi hapa ilitangazwa kwamba Prof. Mwandosya ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa EWURA. Wengi walishangaa kwa nini Prof. Mwandosya kaletwa kutoka hali ambayo wengi wetu tulidhani ni ustaafu na kurudi...
Ameandika Zitto Kabwe, kiongozi wa ACT Wazalendo:
CAG akishatoa ripoti yake AMEMALIZA. Ripoti yake ni ya mwisho. Ni FINAL. Kazi inayofuata ni ya Bunge.
Umma ujue kwamba, kabla CAG hajatoa ripoti...
Naona kwenye mitandao ya Kijamii wanashambuliwa Sana hususani baada ya ripoti ya CAG kutoka!!
Nijuavyo hii ripoti ni ya 2021/2022 na wizara nyingi zimeguswa ndani ya ripoti hiyo, Sasa najiuliza...
Tusishangae kwa nini hoja ya ushoga au upinde 🌈 imepamba moto duniani kwa miaka hii miwili toka Joe Biden achuguliwe kuwa Rais wa USA. Kwa makusudi mazima alichagua mashoga maarufu kushika nafasi...
Nimepita mikoa mingi ya nchi yetu na kukuta mabango mengi yanayomsifia Samia. Kwa maoni yangu mabango haya ni kiashiria cha CCM kuanza kumnadi mgombea wa ccm kabla ya nec kupuliza kipenga cha...
Serikali imesema imetenga shilingi Bilioni 10 kwa ukarabati wa viwanja kadhaa vya michezo ambavyo kwa sasa vinamilikiwa na CCM.
Kiuhalisia viwanja hivyo vilijengwa na wananchi wakati wa chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.