Asichojua Kibajaj ni kwamba Ripoti ya CAG kwa sasa ndio Ajenda ya CHADEMA, Tundu Lissu ataitumia Kuipasua CCM

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,131
Ni mtu mjinga tu ndio atakubaliana na Kibajaj kwamba Ripoti ya CAG isijadiliwe bungeni hadi mwakani

Mikutano ya hadhara imeruhusiwa na Ripoti itachambuliwa na Bunge la Wananchi huku mtaani na hakuna Waziri atavumilia lazima wataanza kujibu na haijalishi watajibia wapi lakini hata ikiwa ni Kanisani au Msikitini majibu ni majibu

Huyu Kibajaj aache Siasa za kukariri taarifa ziko kiganjani dunia ya leo

Nimempuuza sana yule agwe!
 
Ni mtu mjinga tu ndio atakubaliana na Kibajaj kwamba Ripoti ya CAG isijadiliwe bungeni hadi mwakani

Mikutano ya hadhara imeruhusiwa na Ripoti itachambuliwa na Bunge la Wananchi huku mtaani na hakuna Waziri atavumilia lazima wataanza kujibu na haijalishi watajibia wapi lakini hata ikiwa ni Kanisani au Msikitini majibu ni majibu

Huyu Kibajaj aache Siasa za kukariri taarifa ziko kiganjani dunia ya leo

Nimempuuza sana yule agwe!
Hahaha yule ndiyo mchambaji mkuu wa ccm! Fikiria chama kikubwa kama ccm kikowa kwenye msukosuko mchambaji wake wa kukiokoa ni kibajaji???
Nchi hii Ina mambo kwelikweli
 
Wananchi wameshaichoka CCM sisi wanaCHADEMA kazi yetu ni kuzidi kuwathibitishia kuwa Majizi ni yaleyale CCM ni ile ile.
 
Hivi aliwahi kuomba radhi kwa kashfa alizo wamwagia Kinana, Makamba snr, Membe, Nape na Makamba jnr wakati wa utawala wa Mwendakuzimu?
.
20230411_212438.jpg
 
Ni mtu mjinga tu ndio atakubaliana na Kibajaj kwamba Ripoti ya CAG isijadiliwe bungeni hadi mwakani

Mikutano ya hadhara imeruhusiwa na Ripoti itachambuliwa na Bunge la Wananchi huku mtaani na hakuna Waziri atavumilia lazima wataanza kujibu na haijalishi watajibia wapi lakini hata ikiwa ni Kanisani au Msikitini majibu ni majibu

Huyu Kibajaj aache Siasa za kukariri taarifa ziko kiganjani dunia ya leo

Nimempuuza sana yule agwe!
Kibajaji ni sehemu ya turufu za chama.

Just imagine uwezo wa chama
 
Hivi aliwahi kuomba radhi kwa kashfa alizo wamwagia Kinana, Makamba snr, Membe, Nape na Makamba jnr wakati wa utawala wa Mwendakuzimu?
Na wewe uliomba radhi kwa kashfa ya kuruhu kuingiliwa kinyume na maumbile?
 
Ni mtu mjinga tu ndio atakubaliana na Kibajaj kwamba Ripoti ya CAG isijadiliwe bungeni hadi mwakani

Mikutano ya hadhara imeruhusiwa na Ripoti itachambuliwa na Bunge la Wananchi huku mtaani na hakuna Waziri atavumilia lazima wataanza kujibu na haijalishi watajibia wapi lakini hata ikiwa ni Kanisani au Msikitini majibu ni majibu

Huyu Kibajaj aache Siasa za kukariri taarifa ziko kiganjani dunia ya leo

Nimempuuza sana yule agwe!
Ila huyu ni shujaa wangu, https://www.jamiiforums.com/threads...wezo-mkubwa-na-pia-ana-powers-fulani.1396533/
P
 
Back
Top Bottom