Kwa hili la Balozi Mulamula, Taifa limekwepa aibu ya kumkosa Membe. Hongera Rais Samia

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Dec 22, 2010
16,987
20,271
Katika hili niseme Asante Rais, umeonyesha unavyozimudu siasa za nera na mdundiko wa vita vya medani. Nakumbuka nafasi ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madola iligombewa na Bernard Membe enzi za Magufuli, Lakini Rais Magufuli akagoma kumuidhinisha Membe akagombee, Diplomatic kadhaa walijaribu kumshawishi Jiwe amruhusu Membe kugombea kwa kila namna lakini kile kichwa kikagoma kwa macho makavu kabisa, hadi Waziri Mkuu wa Malta Joseph Muscat akafanya juhudi zote lakini akagonga mwamba, na hivyo nafasi hiyo akaichukua yeye mwenyewe.

Tanzania kukosa nafsi ya kutoa Mkuu wa Jumuiya ya Madola, ambayo leo Mwenyekiti wake ni Rais Kagame. Kitendo hiki Tanzania tulikosa msaada wa mabilioni ya dola ambayo Jumuiya hiyo ilikuwa itoe katika sekta ya Elimu, Afya, kilimo na ufundi. Taifa likateketea Magufuli akaona bora aendeshe serikali kwa ujambazi na unyang'anyi wa kutumia silaha kwa kupora matajiri na Wafanyabiashara. Alijiapiza kuwa "INJI" hii ina pesa sana tutajenga miradi wenyewe, huku nyuma yake akipora akaunti za benki za wafanyabishara na matajiri na kuwatishia kuwafunga na kesi za uongo za uhujumu uchumi.

Sasa Vile vita vya udi vya maccm ndio vikaanza rasmi kutoka kugombea urais 2015 hadi kunyang'anywa kadi ya ccm na kufukuziliwa mbali kabisa na kwenda ACT. Magufuli alikuwa na roho mbaya sana aisee, aliamini Membe akiwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola ikifika 2020 atampiku kwenye kinyang'anyiro cha Urais.

Hongera rais Samia kwa Ujasiri huu, Licha ya kumfukuza Mlamla kutoka Wizara ya Mashauri ya Kigeni, lakini huna kinyongo wala visasi, Kwa moyo mmoja uneridhia Mlamla kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola.

Pata picha ya furaha aliyonayo Membe muda huu....🤣. Natamani nisikie maoni yake kuhusu hatua hii muhimu ya Rais kuridhia kwa nchi yetu kutoa Katibu Mkuu wa Jumuiko la Mataifa yaliyotawaliwa na Uingereza.

Ok, WAHI OFA YA PASAKA.

Kitabu cha "UJASUSI" kwa 30,000/= Badala ya 80,000

Lpia kwa:

Tigo Pesa 0715865544
M-Pesa 0755865544
(Yericko Nyerere)

Tuma majina yako na ulipo

Kwa Dar ni free delivery

Nje ya Dar nauli ni 8,000/=

FB_IMG_1681120353053.jpg
 
Wewe yericko ni kweli vitabu unavyonadi hapa, wewe ndio mwandishi? Unashindwa hata kuandika jina la mama Mulamula inavyopaswa, skills za kuandika vitabu zinatoka wapi..Mama Mulamula bado si katibu mkuu wa jumuiya ya madola, Mama Samia ameridhia awe MGOMBEA wa nafasi hiyo..unashindwa kunyoosha maelezo halafu unajitambusha wewe ni mwandishi wa vitabu..it's peculiar!!
 
Katika hili niseme Asante Rais, umeonyesha unavyozimudu siasa za nera na mdundiko wa vita vya medani. Nakumbuka nafasi ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madola iligombewa na Bernard Membe enzi za Magufuli, Lakini Rais Magufuli akagoma kumuidhinisha Membe akagombee, Diplomatic kadhaa walijaribu kumshawishi Jiwe amruhusu Membe kugombea kwa kila namna lakini kile kichwa kikagoma kwa macho makavu kabisa, hadi Waziri Mkuu wa Malta Joseph Muscat akafanya juhudi zote lakini akagonga mwamba, na hivyo nafasi hiyo akaichukua yeye mwenyewe.

Tanzania kukosa nafsi ya kutoa Mkuu wa Jumuiya ya Madola, ambayo leo Mwenyekiti wake ni Rais Kagame. Kitendo hiki Tanzania tulikosa msaada wa mabilioni ya dola ambayo Jumuiya hiyo ilikuwa itoe katika sekta ya Elimu, Afya, kilimo na ufundi. Taifa likateketea Magufuli akaona bora aendeshe serikali kwa ujambazi na unyang'anyi wa kutumia silaha kwa kupora matajiri na Wafanyabiashara. Alijiapiza kuwa "INJI" hii ina pesa sana tutajenga miradi wenyewe, huku nyuma yake akipora akaunti za benki za wafanyabishara na matajiri na kuwatishia kuwafunga na kesi za uongo za uhujumu uchumi.

Sasa Vile vita vya udi vya maccm ndio vikaanza rasmi kutoka kugombea urais 2015 hadi kunyang'anywa kadi ya ccm na kufukuziliwa mbali kabisa na kwenda ACT. Magufuli alikuwa na roho mbaya sana aisee, aliamini Membe akiwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola ikifika 2020 atampiku kwenye kinyang'anyiro cha Urais.

Hongera rais Samia kwa Ujasiri huu, Licha ya kumfukuza Mlamla kutoka Wizara ya Mashauri ya Kigeni, lakini huna kinyongo wala visasi, Kwa moyo mmoja uneridhia Mlamla kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola.

Pata picha ya furaha aliyonayo Membe muda huu....🤣. Natamani nisikie maoni yake kuhusu hatua hii muhimu ya Rais kuridhia kwa nchi yetu kutoa Katibu Mkuu wa Jumuiko la Mataifa yaliyotawaliwa na Uingereza.

Ok, WAHI OFA YA PASAKA.

Kitabu cha "UJASUSI" kwa 30,000/= Badala ya 80,000

Lpia kwa:

Tigo Pesa 0715865544
M-Pesa 0755865544
(Yericko Nyerere)

Tuma majina yako na ulipo

Kwa Dar ni free delivery

Nje ya Dar nauli ni 8,000/=

View attachment 2583283
Unafiki ni asili yao Kwa nini hakutueleza sababu za utenguxi wake, kama alikosea nchi ataweza vipinkuwa kiongozi wa kimataifa? Wanawake ni wanawake, wivu na chuki baina yao hauishi
 
Wewe yericko ni kweli vitabu unavyonadi hapa, wewe ndio mwandishi? Unashindwa hata kuandika jina la mama Mulamula inavyopaswa, skills za kuandika vitabu zinatoka wapi..Mama Mulamula bado si katibu mkuu wa jumuiya ya madola, Mama Samia ameridhia awe mgombea wa nafasi hiyo..unashindwa kunyoosha maelezo halafu unajitambusha wewe ni mwandishi wa vitabu..it's peculiar!!
Exactly my thoughts!
 
Katika hili niseme Asante Rais, umeonyesha unavyozimudu siasa za nera na mdundiko wa vita vya medani. Nakumbuka nafasi ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madola iligombewa na Bernard Membe enzi za Magufuli, Lakini Rais Magufuli akagoma kumuidhinisha Membe akagombee, Diplomatic kadhaa walijaribu kumshawishi Jiwe amruhusu Membe kugombea kwa kila namna lakini kile kichwa kikagoma kwa macho makavu kabisa, hadi Waziri Mkuu wa Malta Joseph Muscat akafanya juhudi zote lakini akagonga mwamba, na hivyo nafasi hiyo akaichukua yeye mwenyewe.

Tanzania kukosa nafsi ya kutoa Mkuu wa Jumuiya ya Madola, ambayo leo Mwenyekiti wake ni Rais Kagame. Kitendo hiki Tanzania tulikosa msaada wa mabilioni ya dola ambayo Jumuiya hiyo ilikuwa itoe katika sekta ya Elimu, Afya, kilimo na ufundi. Taifa likateketea Magufuli akaona bora aendeshe serikali kwa ujambazi na unyang'anyi wa kutumia silaha kwa kupora matajiri na Wafanyabiashara. Alijiapiza kuwa "INJI" hii ina pesa sana tutajenga miradi wenyewe, huku nyuma yake akipora akaunti za benki za wafanyabishara na matajiri na kuwatishia kuwafunga na kesi za uongo za uhujumu uchumi.

Sasa Vile vita vya udi vya maccm ndio vikaanza rasmi kutoka kugombea urais 2015 hadi kunyang'anywa kadi ya ccm na kufukuziliwa mbali kabisa na kwenda ACT. Magufuli alikuwa na roho mbaya sana aisee, aliamini Membe akiwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola ikifika 2020 atampiku kwenye kinyang'anyiro cha Urais.

Hongera rais Samia kwa Ujasiri huu, Licha ya kumfukuza Mlamla kutoka Wizara ya Mashauri ya Kigeni, lakini huna kinyongo wala visasi, Kwa moyo mmoja uneridhia Mlamla kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola.

Pata picha ya furaha aliyonayo Membe muda huu..... Natamani nisikie maoni yake kuhusu hatua hii muhimu ya Rais kuridhia kwa nchi yetu kutoa Katibu Mkuu wa Jumuiko la Mataifa yaliyotawaliwa na Uingereza.

Ok, WAHI OFA YA PASAKA.

Kitabu cha "UJASUSI" kwa 30,000/= Badala ya 80,000

Lpia kwa:

Tigo Pesa 0715865544
M-Pesa 0755865544
(Yericko Nyerere)

Tuma majina yako na ulipo

Kwa Dar ni free delivery

Nje ya Dar nauli ni 8,000/=

View attachment 2583283
We pimbi unamimba eeh
 
Yericko Nyerere !
Unajaribu kujitabanahisha kama mtu mweledi!
Wakati sisi tunaoelewa tunakuona wewe ni sampuli ya Photocopy kama Eric Shigongo!

Unaonyesha chuki ya wazi kwa Magufuli sababu na wewe ni kundi la Ngedere wa nchi hii!

Tuambie huyo Membe kama ni mtu maarufu inakuwaje amepotea rasmi popote pale?

Hizo taasisi za kimataifa ni kwa nini hazimtafuti Membe na kumpa hizo teuzi?

Membe hana legacy yoyote kwa nchi hii,zaidi ya kuwa Cartel kwenye wizi enzi za ile awamu kaka ya hii Dada!

Tunajua alivyoitumia ile fursa na kuiba fedha za Marehemu Gaddafi!

Nakuheshimu sana ewe Yericko Nyerere na nakuomba sana kwa heshima na taadhima nikwambie acha u-STUPID!
 
Katika hili niseme Asante Rais, umeonyesha unavyozimudu siasa za nera na mdundiko wa vita vya medani. Nakumbuka nafasi ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madola iligombewa na Bernard Membe enzi za Magufuli, Lakini Rais Magufuli akagoma kumuidhinisha Membe akagombee, Diplomatic kadhaa walijaribu kumshawishi Jiwe amruhusu Membe kugombea kwa kila namna lakini kile kichwa kikagoma kwa macho makavu kabisa, hadi Waziri Mkuu wa Malta Joseph Muscat akafanya juhudi zote lakini akagonga mwamba, na hivyo nafasi hiyo akaichukua yeye mwenyewe.

Tanzania kukosa nafsi ya kutoa Mkuu wa Jumuiya ya Madola, ambayo leo Mwenyekiti wake ni Rais Kagame. Kitendo hiki Tanzania tulikosa msaada wa mabilioni ya dola ambayo Jumuiya hiyo ilikuwa itoe katika sekta ya Elimu, Afya, kilimo na ufundi. Taifa likateketea Magufuli akaona bora aendeshe serikali kwa ujambazi na unyang'anyi wa kutumia silaha kwa kupora matajiri na Wafanyabiashara. Alijiapiza kuwa "INJI" hii ina pesa sana tutajenga miradi wenyewe, huku nyuma yake akipora akaunti za benki za wafanyabishara na matajiri na kuwatishia kuwafunga na kesi za uongo za uhujumu uchumi.

Sasa Vile vita vya udi vya maccm ndio vikaanza rasmi kutoka kugombea urais 2015 hadi kunyang'anywa kadi ya ccm na kufukuziliwa mbali kabisa na kwenda ACT. Magufuli alikuwa na roho mbaya sana aisee, aliamini Membe akiwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola ikifika 2020 atampiku kwenye kinyang'anyiro cha Urais.

Hongera rais Samia kwa Ujasiri huu, Licha ya kumfukuza Mlamla kutoka Wizara ya Mashauri ya Kigeni, lakini huna kinyongo wala visasi, Kwa moyo mmoja uneridhia Mlamla kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola.

Pata picha ya furaha aliyonayo Membe muda huu....🤣. Natamani nisikie maoni yake kuhusu hatua hii muhimu ya Rais kuridhia kwa nchi yetu kutoa Katibu Mkuu wa Jumuiko la Mataifa yaliyotawaliwa na Uingereza.

Ok, WAHI OFA YA PASAKA.

Kitabu cha "UJASUSI" kwa 30,000/= Badala ya 80,000

Lpia kwa:

Tigo Pesa 0715865544
M-Pesa 0755865544
(Yericko Nyerere)

Tuma majina yako na ulipo

Kwa Dar ni free delivery

Nje ya Dar nauli ni 8,000/=

View attachment 2583283
Mtu mwongo njia yake ni fupi, mara uenyekiti, mara ukatibu wa jumuiya ya madola, kabla ya 2015 Magu alikuwa rais? We ji mwongo mzushi
 
Yericko Nyerere !
Unajaribu kujitabanahisha kama mtu mweledi!
Wakati sisi tunaoelewa tunakuona wewe ni sampuli ya Photocopy kama Eric Shigongo!

Unaonyesha chuki ya wazi kwa Magufuli sababu na wewe ni kundi la Ngedere wa nchi hii!

Tuambie huyo Membe kama ni mtu maarufu inakuwaje amepotea rasmi popote pale?

Hizo taasisi za kimataifa ni kwa nini hazimtafuti Membe na kumpa hizo teuzi?

Membe hana legacy yoyote kwa nchi hii,zaidi ya kuwa Cartel kwenye wizi enzi za ile awamu kaka ya hii Dada!

Tunajua alivyoitumia ile fursa na kuiba fedha za Marehemu Gaddafi!

Nakuheshimu sana ewe Yericko Nyerere na nakuomba sana kwa heshima na taadhima nikwambie acha u-STUPID!
Mtu mwenye uwezo wa uongozi mara nyingi huwa ana kipaji cha uandishi pia, si lazima aandike vitabu lakini hata makala tu..ni mambo ya ajabu mtu amekuwa kwenye nafasi kama aliyokuwa nayo Membe au hata huyu mama Mulamula lakini hata ushahidi wa kuandika makala ya mambo yalivyo kwenye eneo alilokuwa kiongozi hana! Huyu mtu unampima wapi uwezo wa uongozi anaodhani anao, ikiwa hata tu makala ya ukurasa mmoja hawezi kuandika..ni Tanzania tu mtu anakuwa kiongozi na baada ya hapo anastaafu au anataka nafasi ya juu kimataifa ilihali hajawahi hata kupost makala yoyote kutoa maoni ya uzoefu wake kwenye eneo aliloongoza..ndio maana nchi hii ni masikini katikati ya utajiri wa rasilimali za kila aina! sababu wrong people ndio viongozi, na kwa kipimo hiki kidogo huyu Mama hana sifa kugombea nafasi hii ya katibu wa jumuiya ya madola.
 
Mtu mwenye uwezo wa uongozi mara nyingi huwa ana kipaji cha uandishi pia, si lazima aandike vitabu lakini hata makala tu..ni mambo ya ajabu mtu amekuwa kwenye nafasi kama aliyokuwa nayo Membe au hata huyu mama Mulamula lakini hata ushahidi wa kuandika makala ya mambo yalivyo kwenye eneo alilokuwa kiongozi hana! Huyu mtu unampima wapi uwezo wa uongozi anaodhani anao, ikiwa hata tu makala ya ukurasa mmoja hawezi kuandika..ni Tanzania tu mtu anakuwa kiongozi na baada ya hapo anastaafu au anataka nafasi ya juu kimataifa ilihali hajawahi hata kupost makala yoyote kutoa maoni ya uzoefu wake kwenye eneo aliloongoza..ndio maana nchi hii ni masikini katikati ya utajiri wa rasilimali za kila aina! sababu wrong people ndio viongozi, na kwa kipimo hiki kidogo huyu Mama hana sifa kugombea nafasi hii ya katibu wa jumuiya ya madola.
Kwanza hata huo uteuzi wa awali alikuwa akiupata kwa kubebwa na vitu viwili tu.

1-Gender equity
2-Sifa za Amani ya Tanzania dhidi ya nchi nyingi za kiafrika
 
Tushakuwa Taifa la Cheer Leaders; Pongezi Mwanzo Mwisho.... Yaani kutwa watu wanatafuta pa kusifia na sio wapi penye makosa ili wafanye criticisms (kitu ambacho eventually kitajenga)

Hapa ndio nakumbuka watu kama Thatcher...
"I love argument. I love debate. I don't expect anyone just to sit there and agree with me - that's not their job."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom