Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,803
- 71,229
Serikali imesema imetenga shilingi Bilioni 10 kwa ukarabati wa viwanja kadhaa vya michezo ambavyo kwa sasa vinamilikiwa na CCM.
Kiuhalisia viwanja hivyo vilijengwa na wananchi wakati wa chama kimoja kwa michango, makato kama ushuru na kodi mbalimbali kwenye Halmashauri zao lakini vikaporwa na CCM baada ya kuanza vyama vingi.
Sasa wameshindwa kuvihudumia lakini ndio wanakusanya mapato na leo wanataka hela za serikali zikakarabati viwanja hivyo na mapato bado yanaendelea kuchukuliwa na CCM.
Huu ni wizi wa mchana kabisa na sio wa kunyamaziwa. Kama wameshindwa kuvihudumia basi wavikabidhi kwenye council vilipo.
Kiuhalisia viwanja hivyo vilijengwa na wananchi wakati wa chama kimoja kwa michango, makato kama ushuru na kodi mbalimbali kwenye Halmashauri zao lakini vikaporwa na CCM baada ya kuanza vyama vingi.
Sasa wameshindwa kuvihudumia lakini ndio wanakusanya mapato na leo wanataka hela za serikali zikakarabati viwanja hivyo na mapato bado yanaendelea kuchukuliwa na CCM.
Huu ni wizi wa mchana kabisa na sio wa kunyamaziwa. Kama wameshindwa kuvihudumia basi wavikabidhi kwenye council vilipo.