Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Watu makini na wenye akili ndani ya chama cha ACT Wazalendo wameguduka na kuanza kumkemea kiongozi wao mkuu Zito Kabwe kwa unafiki na undumilakuwili wake, baada ya kushindwa kabisa kukosoa utawala...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Kupitia Twitter mwandishi wa habari mkongwe Eric Kabendera amesema ameitwa kuwasilisha vielelezo vyake baada ya kutishiwa na aliyekuwa DPP wa Serikali Dr. Biswalo Mganga Binafsi nimeombwa...
15 Reactions
72 Replies
7K Views
Mwanza, Tanzania Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - Elimu - wizara ya TAMISEMI Dr. Charles Enock Msonde na Dr. Lyabwene Mtahabwa - kamnishna wa elimu kutoka wizara ya elimu wahimiza waalimu wa...
2 Reactions
65 Replies
4K Views
Jumatano ya Machi 29, mwaka huu, Rais Samia Suluhu Hassan alipokea ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na ile ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru)...
6 Reactions
41 Replies
3K Views
Kwa haya mauzauza tunayopitia ni wakati wa kujiuliza hivi hapa Tanzania kitu gani ni halisi? Kwa mfano CHADEMA ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo, je, ni Demokrasia ya Mchongo, mbona Mwenyekiti...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Ni Jambo la kawaida Kwa mzalendo kufanya Yale yaliyo juu ya uwezo wake. CAG ametoa ripoti kwamba fedha katika mashirika na Taasisi mbalimbali za serikali zimeliwa na wakubwa. Ni dhahiri fedha hizo...
12 Reactions
43 Replies
2K Views
Kama bado Biswalo Yuko ofisini, basi Sabaya atakuwa Jaji very soon. Najua Hana taaluma ya Sheria lkn Kwa mwendo wa Mama inawezekana Time will tell
1 Reactions
11 Replies
538 Views
Kila mwenye akili timamu anajua kuwa Magufuli alikuwa Rais wa hovyo na mwovu. RAIS ambaye alikuwa anakiri hadharani kuwa pesa za serikali ni pesa zake. Alikuwa akisema "pesa zangu". Alikuwa na...
20 Reactions
111 Replies
6K Views
Kuna hela ambayo kuna mtu anaitwa surveyor hutaka kulipwa pale mteja anapotaka kuvuta umeme, je, kazi hii ni nje na majukumu yake ya kazi? Maana bila kulipa hii hela aisee huyo surveyor hadi...
7 Reactions
36 Replies
2K Views
Dkt. Philip Mpango, Makamu wa Rais wa Tanzania amesema “Malengo makuu ya dira ya Mwaka 2025, Maisha bora kwa kila Mtanzania, Kudumisha amani, usalama na umoja katika Nchi, Utawala bora, Jamii...
6 Reactions
38 Replies
5K Views
Baada ya report ya CAG kuweka wazi wizi na madudu yanayoendelea huko serikalini, Kiongozi makini na mzalendo alipaswa kukaa pembeni kupisha uchunguzi. Lakini tujiulize, Kiongozi aliyeteleza kwa...
3 Reactions
16 Replies
844 Views
Mijadala inaendelea kila mahali sasa hivi watu wakijadili yale yalioandikwa kwenye Ripoti ya CAG. Kwa sehemu kubwa yanayojadiliwa ni madudu yaliyoko kwenye taasisi za umma. Jambo la kufurahisha...
1 Reactions
4 Replies
847 Views
Taifa lolote duniani linajengwa na watu wenye Historia, maono, tamaduni zenye nguvu na lugha inayowaunganisha pamoja. Tangu taifa letu lizaliwe umaarufu wetu ni nini kama taifa, watu wetu wana...
2 Reactions
3 Replies
409 Views
Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini, Mwita Waitara ameilalamikia Serikali ya mkoa wa Mara kwa kutomshirikisha katika zoezi la uwekaji wa vigingi vya mipaka katika hifadhi ya Serengeti. Waitara...
10 Reactions
111 Replies
14K Views
Nimejiuliza sana nimeumia sana. Mwal. Anayedai mapunjo ya mshahara wake wa miezi 5 toka mwaka 2016 hajalipwa. Riport ya CAG inataja kiasi kingi cha fedha kupotea ama kuliwa na watu. Rais analia...
3 Reactions
14 Replies
778 Views
Kenya kwa mara ya kwanza imeshindwa kulipa watumishi wa umma mishahara yao ya mwezi March tangu nchi hio ipate uhuru
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Wakuu nipo gizani. Pasaka ni siku gani na tarehe ngapi?
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Neno "kugwaya" lina maana sawa kabisa na neno "kuufyata". Neno hili asili yake ni mkoa wa Kigoma. Mama alipoingia tu ikulu akapewa taarifa za upigaji wa mabilioni ya shilingi pale BoT akaunde...
32 Reactions
97 Replies
5K Views
Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini EFF kimepokea kwa mikono miwili hatua ya kukamatwa kwa Raia watatu wa Afrika Kusini ambao mmoja wa ni Thabo Bester maarufu kwa jina la ‘Mbakaji wa...
4 Reactions
20 Replies
4K Views
Back
Top Bottom