kingunge wa jf
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 466
- 467
Nimejiuliza sana nimeumia sana. Mwal. Anayedai mapunjo ya mshahara wake wa miezi 5 toka mwaka 2016 hajalipwa. Riport ya CAG inataja kiasi kingi cha fedha kupotea ama kuliwa na watu. Rais analia, ukisoma sura za mawaziri waliokuwepo pale hakuna anayeonesha sura ya uchungu. Sura zao zinaonesha hawajali.
Inauma sana
Inauma sana