Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amebaini kuwa aliyekuwa Mkurugenzi wa mashitaka (DPP), Biswalo Mganga na maafisa wake walikiuka taratibu za mchakato wa...
Nitolee mfano Morogoro referral hospital, utendaji wa madaktari na wauguzi ni mbovu sana. Rushwa, neglegence, wizi wa dawa, impolite languages za wauguzi na baadhi ya madaktari, yaani vurugu tupu...
Wanabodi,
Utangulizi
Katika chaguzi zote zilizopita tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi nchini, hakuna uchaguzi mwingine wowote uliokuwa na upinzani mkubwa kama uchaguzi uliopita wa ,wala 2015...
Ripoti ya CAG inaongelea ufisadi na wizi wa mali za umma pamoja na hasara za mashirika kama ATCL au TTCL kwa ujumla wake. Inaonyesha ufisadi umefanyika katika shirika au ofisi fulani tu bila...
Aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato (TRA), Harry Kitillya, Shose Sinare, Sioi Solomon, Bedason Shallanda na Alfred Misana wamekiri makosa na wametakiwa kulipa TZS 1.5 bilioni kama fidia...
Miongoni mwa watu walioteuliwa leo na Rais Samia Suluhu kuwa majaji wa mahakama kuu, jina la DPP Biswalo Maganga lipo pia.
Hili jambo limetushtua sana wadau wa mambo ya sheria, kuna kitu...
Mapendekezo mahususi kwa nchi yetu Tanzania
1. 2025 Ili mtu agombee ubunge awe na Elimu ya Shahada ya Pili (masters degree)kwenye ubobezi wwte ule.
2. Wakuu wa idara wote kuanzia Kata sifa iwe...
Balozi Karume amkosoa vikali Rais wa Zanzibar kwa sera ya kukodisha kisiwa, amuita ni "Bwana Mdogo", asema "Ni maamuzi mabovu kabisa haya"
Chanzo: Jambo TV
Tunaweza kuwa tunamlaumu naniliu kwa kununua ndege kwa Fedha taslimu kumbe alikuwa sahihi
Hii janjajanja ya kuongeza Bei isingejitokeza
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
Nawatakia Pasaka Njema!
Watu wenye kutupia mavazi ma scarf na viwalo kujinadi uzalendo kama hivi:
Ni wa kuogopa kuliko ukoma. Nyerere (rip) asinge wastahi majizi yote yajifichayo kwa kutanguliza dhana ya uzalendo...
Nashauri CAG awe anakuja na TOTAL ya fedha yote iliyopotea kwa mwaka husika!Lengo ni kutaka kujua angalau Serikali iweze kuona ukubwa wa Tatizo husika!
Nawasilisha kwako CAG.
Sent from my...
Kwa wasiomfahamu vizuri mh Ezekiel Wenje ni kwamba:
Wenje ni Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa
Wenje ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema
Wenje ni Mbunge wa zamani wa Nyamagana
Wenje ni...
Naona jukwaa limepoa sana jioni hii ya leo.
Tundu Lissu alikuwa anapasuka sana pale mjengoni dhidi ya dhuluma na wizi wa mali za umma, hakuanza leo wala jana.
Msikilizeni anavyo wakemea...
CAG katoa ubadhirifu na upotevu wa mabilion ya shiling, lkn sijaona ni kiasi gani kwa ujumla kimepotea ambacho kama kingekusanywa kingerumika kulipia miradi mbalimbali ya serialli.
Mwenye kujua...
TAMISEMI ni wizara kubwa sana yenyewe tu ni serikali inayojitegemea, waziri ninayemwona kuifaa ni Ummy Mwalimu. Huyu mama yuko makini hacheki makima yaliyojaa halmashauri.
Mwingine profesa...
MJADALA wa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) unaoendelea baada ya kuwasilishwa kwake bungeni Dodoma wiki hii, umeacha nje jambo moja – nafasi na umuhimu wa Rais Samia...
Lengo la serikali kuwekeza katika mkundombinu iliyotuletea huduma ya mabasi ya mwendokasi ni kupunguza usumbufu utokanao.na foleni kubwa za magari wakati wa kuingia na kutoka mijini. Hasa nyakati...
Je hatuwezi vinafisisha taasisi ya kudili na Ufisadi? Make kwa ilivyo sasa ni kanya boya tu.
Kutegemea TAKUKURU kwenye kudili na ufisadi ni kuhadaaa umma, TAKUKURU ni wapigaji wakuu sana na pia...
Wote tunajua nguvu aliyonayo huyu jamaa wa Tanga former DGIS katika uongozi wa Nchi kwa sasa. Hata huyu bwana aliyewekwa toka Kigoma kawekwa na hao hao wenye nguvu. Ummy Mwalimu anatumia sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.