Ili kufidia mabilioni yaliyopotea, Waziri Mwigulu ongeza Tozo Wazalendo tuko tayari kuchangia maendeleo ya Nchi na ya viongozi wetu.

Bila bila

JF-Expert Member
Dec 20, 2016
21,474
37,745
Ni Jambo la kawaida Kwa mzalendo kufanya Yale yaliyo juu ya uwezo wake. CAG ametoa ripoti kwamba fedha katika mashirika na Taasisi mbalimbali za serikali zimeliwa na wakubwa. Ni dhahiri fedha hizo zilizoliwa zimewaongezea maendeleo binafsi viongozi wetu. Sisi tulio tayari kuona viongozi wetu wanaishi maisha mazuri tunaomba Mheshimiwa Mwigulu kama kawaida yako, shusha Mswada mpya wa fedha kwenye Bunge hili la bajeti ili kufikia July 2023 tuanze kutozwa Tozo kubwa kidogo ili kufidia fedha iliyochukuliwa na waheshimiwa Kwa manufaa Yao na ya Nchi. Sisi hatuko tayari kuona viongozi wetu au wake zào wakitumia magari ya low class. Tunataka wageni hasa Wakenya wanapotutembelea waone jinsi nchi yetu ilivyobarikiwa viongozi Wenye akili kubwa ya utafutaji.
 
Ni Jambo la kawaida Kwa mzalendo kufanya Yale yaliyo juu ya uwezo wake. CAG ametoa ripoti kwamba fedha katika mashirika na Taasisi mbalimbali za serikali zimeliwa na wakubwa. Ni dhahiri fedha hizo zilizoliwa zimewaongezea maendeleo binafsi viongozi wetu. Sisi tulio tayari kuona viongozi wetu wanaishi maisha mazuri tunaomba Mheshimiwa Mwigulu kama kawaida yako, shusha Mswada mpya wa fedha kwenye Bunge hili la bajeti ili kufikia July 2023 tuanze kutozwa Tozo kubwa kidogo ili kufidia fedha iliyochukuliwa na waheshimiwa Kwa manufaa Yao na ya Nchi. Sisi hatuko tayari kuona viongozi wetu au wake zào wakitumia magari ya low class. Tunataka wageni hasa Wakenya wanapotutembelea waone jinsi nchi yetu ilivyobarikiwa viongozi Wenye akili kubwa ya utafutaji.
Ww jamaa masihara ila nakuhakikishia akina mwigulu wanaweza kuchukua hii kama hoja .zungu alianza hivi hivi kidogo tukaziona tozo
 
Ni Jambo la kawaida Kwa mzalendo kufanya Yale yaliyo juu ya uwezo wake. CAG ametoa ripoti kwamba fedha katika mashirika na Taasisi mbalimbali za serikali zimeliwa na wakubwa. Ni dhahiri fedha hizo zilizoliwa zimewaongezea maendeleo binafsi viongozi wetu. Sisi tulio tayari kuona viongozi wetu wanaishi maisha mazuri tunaomba Mheshimiwa Mwigulu kama kawaida yako, shusha Mswada mpya wa fedha kwenye Bunge hili la bajeti ili kufikia July 2023 tuanze kutozwa Tozo kubwa kidogo ili kufidia fedha iliyochukuliwa na waheshimiwa Kwa manufaa Yao na ya Nchi. Sisi hatuko tayari kuona viongozi wetu au wake zào wakitumia magari ya low class. Tunataka wageni hasa Wakenya wanapotutembelea waone jinsi nchi yetu ilivyobarikiwa viongozi Wenye akili kubwa ya utafutaji.
Naunga mkono hoja

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Ni Jambo la kawaida Kwa mzalendo kufanya Yale yaliyo juu ya uwezo wake. CAG ametoa ripoti kwamba fedha katika mashirika na Taasisi mbalimbali za serikali zimeliwa na wakubwa. Ni dhahiri fedha hizo zilizoliwa zimewaongezea maendeleo binafsi viongozi wetu. Sisi tulio tayari kuona viongozi wetu wanaishi maisha mazuri tunaomba Mheshimiwa Mwigulu kama kawaida yako, shusha Mswada mpya wa fedha kwenye Bunge hili la bajeti ili kufikia July 2023 tuanze kutozwa Tozo kubwa kidogo ili kufidia fedha iliyochukuliwa na waheshimiwa Kwa manufaa Yao na ya Nchi. Sisi hatuko tayari kuona viongozi wetu au wake zào wakitumia magari ya low class. Tunataka wageni hasa Wakenya wanapotutembelea waone jinsi nchi yetu ilivyobarikiwa viongozi Wenye akili kubwa ya utafutaji.
Ngoja alifanyie kazi suala lako 😆
 
Ahaa aisee mbona vile ni vipesa vya dagaa tu hazina bado imenona mchongo unaandaliwa sooon tutapigwa tena na kitu kizito mbele yetu kuna miradi miwili ya kUchhota pesa Mija mwakani nyingine mwaka keshokutwa watu wataoga mipesa ccm oyeee kidumu chama cha mbogamboga
 
Mm Nashauri ndugu zangu, serikali yetu tukufu..iturejeshee kodi ya kichwa,kodi ya baiskeli huku kwa wakulima wa maharage na mahindi kakonko...pikipiki nazo zimekua nyingi ningeshauri ianzishwe kodi maalum kwa bodaboda...Au nasema uongo ndugu zanguni?
 
Mm Nashauri ndugu zangu, serikali yetu tukufu..iturejeshee kodi ya kichwa,kodi ya baiskeli huku kwa wakulima wa maharage na mahindi kakonko...pikipiki nazo zimekua nyingi ningeshauri ianzishwe kodi maalum kwa bodaboda...Au nasema uongo ndugu zanguni?
Hupo sahii kabisaaaaa kodi kwa maendeleo
 
Ni Jambo la kawaida Kwa mzalendo kufanya Yale yaliyo juu ya uwezo wake. CAG ametoa ripoti kwamba fedha katika mashirika na Taasisi mbalimbali za serikali zimeliwa na wakubwa. Ni dhahiri fedha hizo zilizoliwa zimewaongezea maendeleo binafsi viongozi wetu. Sisi tulio tayari kuona viongozi wetu wanaishi maisha mazuri tunaomba Mheshimiwa Mwigulu kama kawaida yako, shusha Mswada mpya wa fedha kwenye Bunge hili la bajeti ili kufikia July 2023 tuanze kutozwa Tozo kubwa kidogo ili kufidia fedha iliyochukuliwa na waheshimiwa Kwa manufaa Yao na ya Nchi. Sisi hatuko tayari kuona viongozi wetu au wake zào wakitumia magari ya low class. Tunataka wageni hasa Wakenya wanapotutembelea waone jinsi nchi yetu ilivyobarikiwa viongozi Wenye akili kubwa ya utafutaji.
Tuko tayari
P
 
Mm Nashauri ndugu zangu, serikali yetu tukufu..iturejeshee kodi ya kichwa,kodi ya baiskeli huku kwa wakulima wa maharage na mahindi kakonko...pikipiki nazo zimekua nyingi ningeshauri ianzishwe kodi maalum kwa bodaboda...Au nasema uongo ndugu zanguni?
Yes. Tena hata Kodi ya kupiga simu iongezwe. Mawaziri wetu wanahitaji kuzaa na wanawake wa nje na kuwahonga ma V8. za milioni Mia nne na ushee.
Waziri lazima awe na michepuko ili aweze kutuletea maendeleo.
Halafu sisi tunasisitiziwa tutumie kondom tukiwa na michepuko ilhali wenyewe peku peku Hadi wanazaa nje.
 
Ni Jambo la kawaida Kwa mzalendo kufanya Yale yaliyo juu ya uwezo wake. CAG ametoa ripoti kwamba fedha katika mashirika na Taasisi mbalimbali za serikali zimeliwa na wakubwa. Ni dhahiri fedha hizo zilizoliwa zimewaongezea maendeleo binafsi viongozi wetu. Sisi tulio tayari kuona viongozi wetu wanaishi maisha mazuri tunaomba Mheshimiwa Mwigulu kama kawaida yako, shusha Mswada mpya wa fedha kwenye Bunge hili la bajeti ili kufikia July 2023 tuanze kutozwa Tozo kubwa kidogo ili kufidia fedha iliyochukuliwa na waheshimiwa Kwa manufaa Yao na ya Nchi. Sisi hatuko tayari kuona viongozi wetu au wake zào wakitumia magari ya low class. Tunataka wageni hasa Wakenya wanapotutembelea waone jinsi nchi yetu ilivyobarikiwa viongozi Wenye akili kubwa ya utafutaji.
WAZO ZURI WANYONGE WAPO TAYARI KODI ZAO KULIWA
 
20230407_161719.jpg
 
Sisi wananchi tunachoata kusikia kwa sasa. 1. Walio husika wamewajibishwa.
2. Warejeshe pesa zote na fidia juu. Sio kubebesha walala hoi mizigo isiyokuwa yao
 
Kama walio kwapua bado wapo kwenye mfumo wanapumua hata wakiweka tozo ya kichwa tozo ya kutembea kwa miguu na Kila kitu bado itakua ni Yale Yale
 
Nchi hii watu wanajipigia watakavyo na wananchi wameshawapima wengi mazoba,hakuna kitu watafanya,inauma sana.
 
Back
Top Bottom