benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini EFF kimepokea kwa mikono miwili hatua ya kukamatwa kwa Raia watatu wa Afrika Kusini ambao mmoja wa ni Thabo Bester maarufu kwa jina la ‘Mbakaji wa Facebook’, pamoja na Mpenzi wake Dr. Nandipa Magumana na mtu mwingine mmoja aliyetajwa kwa jina la Zakaria Alberto.
EFF katika barua yake imeeleza kuwa kukamatwa kwa Thabo nchini Tanzania ni kielelezo cha uzembe, rushwa na kukosa umakini kwa hali ya juu mamlaka zinashughulikia wafungwa nchini Afrika Kusini pamoja na washirika wake katika masuala ya ulinzi kutoka nchini Israel
Jeshi letu la Polisi liwakamate ma Mafisadi na majambazi waliojaa kwenye ofisi zetu za umma
J
EFF katika barua yake imeeleza kuwa kukamatwa kwa Thabo nchini Tanzania ni kielelezo cha uzembe, rushwa na kukosa umakini kwa hali ya juu mamlaka zinashughulikia wafungwa nchini Afrika Kusini pamoja na washirika wake katika masuala ya ulinzi kutoka nchini Israel
Jeshi letu la Polisi liwakamate ma Mafisadi na majambazi waliojaa kwenye ofisi zetu za umma
J