kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,638
- 5,145
Nitolee mfano Morogoro referral hospital, utendaji wa madaktari na wauguzi ni mbovu sana. Rushwa, neglegence, wizi wa dawa, impolite languages za wauguzi na baadhi ya madaktari, yaani vurugu tupu kwenye hospital iliyo katikati ya jiji morogoro.
Kwavile mfumo wa opras wa kutathimini utendaji wa wafanyakazi wa serikali ulishindwa napendekeza wapewa huduma (mgonjwa aliyetibiwa) ndio watoe tathimini ya utendaji wa mtoa huduma za afya kwenye hospital husika.
Yaani iwe hivi. Kwa upande wa hospitals, Baada ya matibabu , HR wa hospitals wawe na form inayo ruhusu kujazwa jina na performance score ya mhudumu husika na kama huduma aliyotoa inaridhisha au la. Mhuduma au daktari mwenye poor performance rating kutoka kwa majority ya wateja ashushwe cheo au asipate promotion. Muuguzi au daktari mwenye record nzuri toka kwa wateja awe promoted na awe awarded kama mfanyakazi bora. Yaani assessment ya wapokea huduma ibebe points nyingi kwenye vigezo vya promotion. Utaratibu huu utumike hivo hivo kwenye taasis zingine za umma kama polis, uhamiaji, tra, bandarini, posts, nk.
Tayari utaratibu huu upo kwenye baadhi ya level za utumishi na taasis na kwenye siasa. Ni namna tu ya kuupeleka na Maeneo mengine.
Mfano, kwenye siasa. Mantiki ya uchaguzi wa rais na wabunge kila Baada ya 5 years nikwamba hao watumishi waanatathiminiwa na wananchi Baada ya miaka mitano kuisha. utendaji ukiwa mbovu wataondolewa na raia anaowatumikia.
Utendaji wa mawaziri na nakaribia wakuu, wakuu wa wilaya na mikoa, wakurugenzi, unatathiminiwa na raisi aliye wateua.
Pia huu mfumo upo vyuo vikuu. Moja ya points for promotion ya waalimu universities zinatoka kwa wanafunzi. Ukipata poor rating toka kwa wanafunzi imekula kwako.
So napendekeza siye wapewa huduma tupewe rungu laku judge peromance ya mtumishi wa umma. Mwajiri wake ampromote au demote kutokana na performance rating zetu. Hii itaboresha utendaji kazi kwenye taasis za umma hasa kwenye hospitals za umma zilizo jaa uozo
Kwavile mfumo wa opras wa kutathimini utendaji wa wafanyakazi wa serikali ulishindwa napendekeza wapewa huduma (mgonjwa aliyetibiwa) ndio watoe tathimini ya utendaji wa mtoa huduma za afya kwenye hospital husika.
Yaani iwe hivi. Kwa upande wa hospitals, Baada ya matibabu , HR wa hospitals wawe na form inayo ruhusu kujazwa jina na performance score ya mhudumu husika na kama huduma aliyotoa inaridhisha au la. Mhuduma au daktari mwenye poor performance rating kutoka kwa majority ya wateja ashushwe cheo au asipate promotion. Muuguzi au daktari mwenye record nzuri toka kwa wateja awe promoted na awe awarded kama mfanyakazi bora. Yaani assessment ya wapokea huduma ibebe points nyingi kwenye vigezo vya promotion. Utaratibu huu utumike hivo hivo kwenye taasis zingine za umma kama polis, uhamiaji, tra, bandarini, posts, nk.
Tayari utaratibu huu upo kwenye baadhi ya level za utumishi na taasis na kwenye siasa. Ni namna tu ya kuupeleka na Maeneo mengine.
Mfano, kwenye siasa. Mantiki ya uchaguzi wa rais na wabunge kila Baada ya 5 years nikwamba hao watumishi waanatathiminiwa na wananchi Baada ya miaka mitano kuisha. utendaji ukiwa mbovu wataondolewa na raia anaowatumikia.
Utendaji wa mawaziri na nakaribia wakuu, wakuu wa wilaya na mikoa, wakurugenzi, unatathiminiwa na raisi aliye wateua.
Pia huu mfumo upo vyuo vikuu. Moja ya points for promotion ya waalimu universities zinatoka kwa wanafunzi. Ukipata poor rating toka kwa wanafunzi imekula kwako.
So napendekeza siye wapewa huduma tupewe rungu laku judge peromance ya mtumishi wa umma. Mwajiri wake ampromote au demote kutokana na performance rating zetu. Hii itaboresha utendaji kazi kwenye taasis za umma hasa kwenye hospitals za umma zilizo jaa uozo