Jumla ya ubadhirifu serikalini na taasisi za serikali

Jumla ya ubadhirifu serikalini na taasisi za serikali

ntamaholo

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
12,956
Reaction score
7,002
CAG katoa ubadhirifu na upotevu wa mabilion ya shiling, lkn sijaona ni kiasi gani kwa ujumla kimepotea ambacho kama kingekusanywa kingerumika kulipia miradi mbalimbali ya serialli.

Mwenye kujua total value of government loss ni shiling ngapi tafadhali.
IMG-20230408-WA0127.jpg
 
Back
Top Bottom