Kwa wale Wasomaji wa Biblia wanaungana na mimi, Eva alifanikiwa kumshawishi Adam hata akatenda kile ambacho alikatazwa kukifanya, maneno matamu Eva (ASALI) yalimshawishi Adam kutokumtii Mwenyezi...
Hakika Wafuasi wa CCM wamejitolea kwa HALI na MALI kutumia FEDHA zao kuweka MABANDO kwenye SIMU zao ili WAUTANGAZE MKUTANO wa CHADEMA Mkoani MWANZA hakika wanastahili kupongezwa sana Kwa Utahahira...
Ukiwa kama Makamu Mwenyekiti, Chama kimezindua Mikutano ya hadhara kwenye siku ya Kumbukizi ya Kuzaliwa kwa Chama chenu lakini hujasema chochote kukitakia Chama heri na mafanikio.
Hujaposti...
Sijui imekaaje hii kisiasa mimi sio mwanasiasa ila naamini nguvu yoyote bila legitimacy ya umma haiwezekani.
Mbowe alikuwa akimwaga sifa kwa Mama Samia uku akiiponda serikali ya Magufuli.
Maoni...
Nahisi Mwenyekiti Mbowe amelewa, hii sio sauti yake ya kawaida. Ametumia mkutano huu kujisafisha kuhusu kulamba asali.
Japo Rais Samia Suluhu anafanya vziuri lakini ametumia muda mrefu sana...
Ndugu zangu Watanzania,
Hakika Rais Samia Haepukiki Wala Hazuiliiki katika mioyo ya watanzania,Huwezi ukafanikiwa kulitawala jukwaa la kisiasa na kupata wasikilizaji ikiwa utajifanya kumshambulia...
Kama Chadema wametimiza miaka 30 kwa mtindo huu basi kama ni mtoto tungesema amedumaa
Kuna clip kule twitter inamuonesha bodyguard wa Mbowe akimkemea boss wake kwa kumwambia" acha hizo" wakati...
Huwezi kutoa kauli kama hii kisa tu ulitia pesa zako kujenga chama. Unatamka hadharani kuwa ulishaumia sana. Ina maana sasa unafanya michongo ya kurudisha pesa zako?
N.b Ndio maana makamanda wapo...
Twiga ni mnyama legelege, mzuri anayevutia lakini hafaidiki na uzuri wake. Mrefu, anaona mbali na anaishia kuona tu.
Kwa kweli utambulisho wowote unaoamua ukutambulishe utabeba taswira na tabia...
OFISI YA MBUNGE JIMBO LA LUDEWA
Januari 21, 2023 Mbunge wa Jimbo la Ludewa Mhe. Joseph Kamonga akiambatana na Mweneykiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Ndg. Wise Mgina na Katibu wa Chama Cha...
Ni ushauri wa bure kwa CHADEMA, mmemtukana sana Hayati ridhikeni sasa tafteni kuungwa mkono na hao
Sukuma Gang.
Hamkuona wenzenu rufiji wakitaja jina la hayati watu wanalipuka kwa shangwe!?
Naona baada ya Mwanza SASA NI Simiyu to Mara, wananchi wanaonekana walikuwa na kiu Kali Sana. Tofauti na msafara wa Mhe. Rais hakuna mapokezi mengine yanayofanywa na wananchi Kwa wingi huu. Si...
Mbowe siku ya jana amesema kwa kurudia Mara nyingi sana kuhusu viongozi ndani ya chadema ambao hakukubaliana nae kuhusu maridhiano na hata sasa hawakubaliani nae, na wanakuambia kua amelamba...
Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika amesema huu ni mwaka wa uchaguzi wa Viongozi wa chama hivyo wanachama wote wajiandae.
Mnyika amesema Uchaguzi utafanyika kuanzia ngazi ya Msingi hadi Taifa, so...
Tatizo la bei kupanda ni upungufu wa uzalishaji au kuna pesa nyingi kwenye mfumo wetu wa uchumi?
Vijana wengi sasa wana bet, Ni nani anajishughulisha na uzalishaji Mali, Kama hakuna anayelima...
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa za kitaifa na kimataifa kwa muda mrefu sasa.
Taifa letu la Tanzania limekuwa na siasa za uonevu mkubwa wa haki za msingi kutoka kwa watawala kwenda kwa watawaliwa...
Mbowe ana takribani miaka 60,
Ni age mate wa Hayati Magufuli, japo mmoja anaonekana kijana kuliko mwenzake,
Kwa umri wake na harakati zake za kisiasa hawezi kurudi darasani tena.
Na ikumbukwe...
Wahenga walisema mti wenye matunda ndio hupigwa mawe.
Nichukue nafasi hii kuipongeza CHADEMA na viongozi wanachama wafuasi na watanzania wapenda haki amani na mageuzi kwa kufanikisha mkutano wao...
📍 Igunga, Tabora - MBUNGE NICHOLAUS NGASSA: "UWT NI NGUZO IMARA YA CHAMA"
Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa ameipongeza Jumuiya ya Wanawake (UWT) Wilaya ya Igunga kwa kuanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.