Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa wale Wasomaji wa Biblia wanaungana na mimi, Eva alifanikiwa kumshawishi Adam hata akatenda kile ambacho alikatazwa kukifanya, maneno matamu Eva (ASALI) yalimshawishi Adam kutokumtii Mwenyezi...
1 Reactions
5 Replies
871 Views
Hakika Wafuasi wa CCM wamejitolea kwa HALI na MALI kutumia FEDHA zao kuweka MABANDO kwenye SIMU zao ili WAUTANGAZE MKUTANO wa CHADEMA Mkoani MWANZA hakika wanastahili kupongezwa sana Kwa Utahahira...
1 Reactions
2 Replies
533 Views
Ukiwa kama Makamu Mwenyekiti, Chama kimezindua Mikutano ya hadhara kwenye siku ya Kumbukizi ya Kuzaliwa kwa Chama chenu lakini hujasema chochote kukitakia Chama heri na mafanikio. Hujaposti...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Sijui imekaaje hii kisiasa mimi sio mwanasiasa ila naamini nguvu yoyote bila legitimacy ya umma haiwezekani. Mbowe alikuwa akimwaga sifa kwa Mama Samia uku akiiponda serikali ya Magufuli. Maoni...
11 Reactions
40 Replies
3K Views
Nahisi Mwenyekiti Mbowe amelewa, hii sio sauti yake ya kawaida. Ametumia mkutano huu kujisafisha kuhusu kulamba asali. Japo Rais Samia Suluhu anafanya vziuri lakini ametumia muda mrefu sana...
17 Reactions
188 Replies
10K Views
Ndugu zangu Watanzania, Hakika Rais Samia Haepukiki Wala Hazuiliiki katika mioyo ya watanzania,Huwezi ukafanikiwa kulitawala jukwaa la kisiasa na kupata wasikilizaji ikiwa utajifanya kumshambulia...
2 Reactions
16 Replies
842 Views
Kama Chadema wametimiza miaka 30 kwa mtindo huu basi kama ni mtoto tungesema amedumaa Kuna clip kule twitter inamuonesha bodyguard wa Mbowe akimkemea boss wake kwa kumwambia" acha hizo" wakati...
8 Reactions
40 Replies
4K Views
Huwezi kutoa kauli kama hii kisa tu ulitia pesa zako kujenga chama. Unatamka hadharani kuwa ulishaumia sana. Ina maana sasa unafanya michongo ya kurudisha pesa zako? N.b Ndio maana makamanda wapo...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Twiga ni mnyama legelege, mzuri anayevutia lakini hafaidiki na uzuri wake. Mrefu, anaona mbali na anaishia kuona tu. Kwa kweli utambulisho wowote unaoamua ukutambulishe utabeba taswira na tabia...
13 Reactions
31 Replies
4K Views
OFISI YA MBUNGE JIMBO LA LUDEWA Januari 21, 2023 Mbunge wa Jimbo la Ludewa Mhe. Joseph Kamonga akiambatana na Mweneykiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Ndg. Wise Mgina na Katibu wa Chama Cha...
0 Reactions
1 Replies
875 Views
Ni ushauri wa bure kwa CHADEMA, mmemtukana sana Hayati ridhikeni sasa tafteni kuungwa mkono na hao Sukuma Gang. Hamkuona wenzenu rufiji wakitaja jina la hayati watu wanalipuka kwa shangwe!?
0 Reactions
6 Replies
682 Views
Naona baada ya Mwanza SASA NI Simiyu to Mara, wananchi wanaonekana walikuwa na kiu Kali Sana. Tofauti na msafara wa Mhe. Rais hakuna mapokezi mengine yanayofanywa na wananchi Kwa wingi huu. Si...
8 Reactions
22 Replies
2K Views
Mbowe siku ya jana amesema kwa kurudia Mara nyingi sana kuhusu viongozi ndani ya chadema ambao hakukubaliana nae kuhusu maridhiano na hata sasa hawakubaliani nae, na wanakuambia kua amelamba...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika amesema huu ni mwaka wa uchaguzi wa Viongozi wa chama hivyo wanachama wote wajiandae. Mnyika amesema Uchaguzi utafanyika kuanzia ngazi ya Msingi hadi Taifa, so...
0 Reactions
3 Replies
555 Views
Tatizo la bei kupanda ni upungufu wa uzalishaji au kuna pesa nyingi kwenye mfumo wetu wa uchumi? Vijana wengi sasa wana bet, Ni nani anajishughulisha na uzalishaji Mali, Kama hakuna anayelima...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa za kitaifa na kimataifa kwa muda mrefu sasa. Taifa letu la Tanzania limekuwa na siasa za uonevu mkubwa wa haki za msingi kutoka kwa watawala kwenda kwa watawaliwa...
2 Reactions
63 Replies
3K Views
Mbowe ana takribani miaka 60, Ni age mate wa Hayati Magufuli, japo mmoja anaonekana kijana kuliko mwenzake, Kwa umri wake na harakati zake za kisiasa hawezi kurudi darasani tena. Na ikumbukwe...
1 Reactions
3 Replies
660 Views
Wahenga walisema mti wenye matunda ndio hupigwa mawe. Nichukue nafasi hii kuipongeza CHADEMA na viongozi wanachama wafuasi na watanzania wapenda haki amani na mageuzi kwa kufanikisha mkutano wao...
0 Reactions
1 Replies
528 Views
📍 Igunga, Tabora - MBUNGE NICHOLAUS NGASSA: "UWT NI NGUZO IMARA YA CHAMA" Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa ameipongeza Jumuiya ya Wanawake (UWT) Wilaya ya Igunga kwa kuanza...
0 Reactions
1 Replies
770 Views
Back
Top Bottom