Nyalikungu Sekondari wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu wanafunzi wajificha wakigoma kwenda shule

Equitable

JF-Expert Member
Dec 24, 2021
2,010
5,449
Napita hapa mnadani wilayani Maswa nakuta wanafunzi wamekaa sita wa kike wamekaa vibandani. Nawauliza kulikoni hamuendi shule? Wananijibu "jana tulipigwa na leo tusipopeleka hela ya waalimu tutapigwa".

Watoto wa kike wakubwa wamekosa elfu 2 ya kulipia walimu wanaojitolea.

Nimewaambie warudi nyumbani wamegoma na kwenda shule wamegoma. Sina mamlaka ningewachapa.

Sasa. Wazazi wa Maswa wamekosa elfu mbili kwa mwezi kulipa walimu wa kujitolea. Ni fedheha kwao na serikali.

Watoto hawa leo hawatasoma sababu ya wazazi aidha wakorofi au wabahiri au hawana kabisa.
Basi naomba

1. Serikali irudishe ada mashuleni ili shule zijiendeshe au
2. Halmashauri iweke bylaws ya kuwalazimisha wazazi kulipa
3. Wanafunzi wasiadhibiwe kwa kosa la mzazi. Mzazi ndio aadhibiwe.

Ni mimi mpita njia
 
Serikali ilitoa waraka kuwa elimu ni bure na waalimu hawapaswi kutangaza michango bila kibali maalum.
Mkuu fanya kwenda nao shuleni.

Mimi huwa sivumilii kitu kama hicho, ningewafikishwa kwa mkuu wa shule nimweleze madhara ya binti kama hao kubaki mtaani kuwa watapachikwa mimba.

Akileta ukorofi namwambia nitamripoti
 
Napita hapa mnadani wilayani Maswa nakuta wanafunzi wamekaa sita wa kike wamekaa vibandani. Nawauliza kulikoni hamuendi shule? Wananijibu "jana tulipigwa na leo tusipopeleka hela ya waalimu tutapigwa".

Watoto wa kike wakubwa wamekosa elfu 2 ya kulipia walimu wanaojitolea.

Nimewaambie warudi nyumbani wamegoma na kwenda shule wamegoma. Sina mamlaka ningewachapa.

Sasa. Wazazi wa Maswa wamekosa elfu mbili kwa mwezi kulipa walimu wa kujitolea. Ni fedheha kwao na serikali.

Watoto hawa leo hawatasoma sababu ya wazazi aidha wakorofi au wabahiri au hawana kabisa.
Basi naomba

1. Serikali irudishe ada mashuleni ili shule zijiendeshe au
2. Halmashauri iweke bylaws ya kuwalazimisha wazazi kulipa
3. Wanafunzi wasiadhibiwe kwa kosa la mzazi. Mzazi ndio aadhibiwe.

Ni mimi mpita njia
Kanda ya ziwa Elimu kwao sio kipaumbele ndio maana hata elfu 2 tu ya Walimu wa Sayansi wanashindwa kutoa.

Kingine huenda hao watoto hiyo pesa walipewa ila wamekula na hawana namna nyingine ya kuipata na ndio maana wamegoma kurudi pia nyumbani.
 
Napita hapa mnadani wilayani Maswa nakuta wanafunzi wamekaa sita wa kike wamekaa vibandani. Nawauliza kulikoni hamuendi shule? Wananijibu "jana tulipigwa na leo tusipopeleka hela ya waalimu tutapigwa".

Watoto wa kike wakubwa wamekosa elfu 2 ya kulipia walimu wanaojitolea.

Nimewaambie warudi nyumbani wamegoma na kwenda shule wamegoma. Sina mamlaka ningewachapa.

Sasa. Wazazi wa Maswa wamekosa elfu mbili kwa mwezi kulipa walimu wa kujitolea. Ni fedheha kwao na serikali.

Watoto hawa leo hawatasoma sababu ya wazazi aidha wakorofi au wabahiri au hawana kabisa.
Basi naomba

1. Serikali irudishe ada mashuleni ili shule zijiendeshe au
2. Halmashauri iweke bylaws ya kuwalazimisha wazazi kulipa
3. Wanafunzi wasiadhibiwe kwa kosa la mzazi. Mzazi ndio aadhibiwe.

Ni mimi mpita njia
Waachwe tu wachunge ng’ombe kama ndicho watakacho.
 
Napita hapa mnadani wilayani Maswa nakuta wanafunzi wamekaa sita wa kike wamekaa vibandani. Nawauliza kulikoni hamuendi shule? Wananijibu "jana tulipigwa na leo tusipopeleka hela ya waalimu tutapigwa".

Watoto wa kike wakubwa wamekosa elfu 2 ya kulipia walimu wanaojitolea.

Nimewaambie warudi nyumbani wamegoma na kwenda shule wamegoma. Sina mamlaka ningewachapa.

Sasa. Wazazi wa Maswa wamekosa elfu mbili kwa mwezi kulipa walimu wa kujitolea. Ni fedheha kwao na serikali.

Watoto hawa leo hawatasoma sababu ya wazazi aidha wakorofi au wabahiri au hawana kabisa.
Basi naomba

1. Serikali irudishe ada mashuleni ili shule zijiendeshe au
2. Halmashauri iweke bylaws ya kuwalazimisha wazazi kulipa
3. Wanafunzi wasiadhibiwe kwa kosa la mzazi. Mzazi ndio aadhibiwe.

Ni mimi mpita njia
Nawaunga mkono, kama kuna majitu yanaiba pesa za umma mabilion kuna haja gani ya kutoa elfu 2 ya mwalimu wakujitolea? nchi ya hovyo kabisa hii
 
Back
Top Bottom