Serikali itangaze tarehe ya kuwarejesha vyura wa Kihansi ili wadau wa mazingira tukawapokee uwanja wa ndege

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,893
155,911
Mpango wa Serikali ni kuwarudisha nchini na wataishi kwenye vituo mahususi vilivyotengwa (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam-UDSM na Kihansi kuanzia Aprili mwaka huu," alisema Chande na kuongeza kuwa hadi kufikia Julai 2023 vyura wote watakuwa wamerejeshwa nchini na kuwaweka katika maeneo yao ya asili na yale yaliyotengenezwa
Mimi na wadau wengine wa mazingira ikiwemo taasisi ya TREE OF LIFE FOUNDATION tuna mpango madhubuti wa kwenda kuwapokea mashujaa wetu waliokaa ughaibuni kwa miongo miwili.

Hii nchi ina longolongo nyingi sana huenda hao chura walikufa miaka mingi sana ila wajanja wazito wamewafanya ni mtaji wa ulaji.

Tuliambiwa kuwa vyura hao wakiwa nje ya Kihansi hawawezi kuzaa, hata huko USA 🇺🇸 watakaa muda mfupi kisha warudishwe nchini kwani wako 500 tu dunia nzima.

Vyura wameishi miaka 23 USA, je lifespan ya chura ni miaka mingapi? Maana waliondoka vyura 5⁰0 na wanarudi haohao 500. Hii ina maana kwa miaka 23 hajafa chura hata mmoja?

Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Mwaigwisya
 
Umenikumbusha stori ya baba yangu mdogo mwaka 2008 wakiwa kijijini kwenye kikao cha familia alimuuliza kaka yake kwanini hadi leo hajampa zawadi ya mbuzi aliyomwahidi siku ya harusi yake mwaka 1993... yule baba mkubwa kwa kujiamini akanyoosha kidole kuonyesha mbuzi aliyekuwa yuko nje ya nyumba anacheza akajibu mbuzi wako huyo hapo anapita ni wewe tu hujaja kumchukua.... imagine mbuzi wa mwaka 1993 hadi 2008 😭😄🙌😄
 
Umenikumbusha stori ya baba yangu mdogo mwaka 2008 wakiwa kijijini kwenye kikao cha familia alimuuliza kaka yake kwanini hadi leo hajampa zawadi ya mbuzi aliyomwahidi siku ya harusi yake mwaka 1993... yule baba mkubwa kwa kujiamini akanyoosha kidole kuonyesha mbuzi aliyekuwa yuko nje ya nyumba anacheza akajibu mbuzi wako huyo hapo anapita ni wewe tu hujaja kumchukua.... imagine mbuzi wa mwaka 1993 hadi 2008 😭😄🙌😄
Hahaha na kesi ikaishia hapo saaafi sana sana
 
Umenikumbusha stori ya baba yangu mdogo mwaka 2008 wakiwa kijijini kwenye kikao cha familia alimuuliza kaka yake kwanini hadi leo hajampa zawadi ya mbuzi aliyomwahidi siku ya harusi yake mwaka 1993... yule baba mkubwa kwa kujiamini akanyoosha kidole kuonyesha mbuzi aliyekuwa yuko nje ya nyumba anacheza akajibu mbuzi wako huyo hapo anapita ni wewe tu hujaja kumchukua.... imagine mbuzi wa mwaka 1993 hadi 2008
Nimecheka sana jamani! Dhaaa! Hatari.
 
Hao vyura wamepangiwa kuishi milele. Hawafi wala hawazI, wameinga rasmi kwenye kundi la malaika
 
Naamini hao vyura sasa watakuwa wanaongea kiingereza fasaha kabisa, bora wangewaruhusu wacheze Green Card wangeweza kuwa raia kamili wa USA kuliko kuwarudisha huku kama watavyofanya, wamewapotezea muda wao sana.
 
Mimi na wadau wengine wa mazingira ikiwemo taasisi ya TREE OF LIFE FOUNDATION tuna mpango madhubuti wa kwenda kuwapokea mashujaa wetu waliokaa ughaibuni kwa miongo miwili.

Hii nchi ina longolongo nyingi sana huenda hao chura walikufa miaka mingi sana ila wajanja wazito wamewafanya ni mtaji wa ulaji.

Tuliambiwa kuwa vyura hao wakiwa nje ya Kihansi hawawezi kuzaa, hata huko USA 🇺🇸 watakaa muda mfupi kisha warudishwe nchini kwani wako 500 tu dunia nzima.

Vyura wameishi miaka 23 USA, je lifespan ya chura ni miaka mingapi? Maana waliondoka vyura 5⁰0 na wanarudi haohao 500. Hii ina maana kwa miaka 23 hajafa chura hata mmoja?

Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Mwaigwi

Mimi na wadau wengine wa mazingira ikiwemo taasisi ya TREE OF LIFE FOUNDATION tuna mpango madhubuti wa kwenda kuwapokea mashujaa wetu waliokaa ughaibuni kwa miongo miwili.

Hii nchi ina longolongo nyingi sana huenda hao chura walikufa miaka mingi sana ila wajanja wazito wamewafanya ni mtaji wa ulaji.

Tuliambiwa kuwa vyura hao wakiwa nje ya Kihansi hawawezi kuzaa, hata huko USA 🇺🇸 watakaa muda mfupi kisha warudishwe nchini kwani wako 500 tu dunia nzima.

Vyura wameishi miaka 23 USA, je lifespan ya chura ni miaka mingapi? Maana waliondoka vyura 5⁰0 na wanarudi haohao 500. Hii ina maana kwa miaka 23 hajafa chura hata mmoja?

Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Mwaigwisya
average ya maisha ya chura ni miaka 2-10, lkn vyura wa kufugwa kama hao waliopo US avarage ya maisha Yao ni 20+ Japo bajeti iliyohainishwa na CAG Kwa vyura hao ina ufisadi ndani yake, Kuna genge linanufaika kupitia kivuli cha vyura.
 
Serikali pia ifanye sherehe ya kuwapongeza Vyura wa Kihansi na Raisi ahudhurie kwa Helicopter.

Na baada ya hapo na CCM wafanye sherehe ya kumpongeza Rais kwa kuhudhuria sherehe za kuwapongeza Vyura wa Kihansi.

Baadae Spika wa Bunge aandae futari ili kuwapongeza Wabunge kwa kumpongeza Raisi kwa kuwapongeza Vyura wa Kihansi.

Halafu Mbunge "Kibajaji" aje atetee kuwa hakuna pesa za Wananchi zilizopigwa kwamba ni wasi wasi tu wa CAG mnoko.

Hi ndio Tanzania.
 
Mimi na wadau wengine wa mazingira ikiwemo taasisi ya TREE OF LIFE FOUNDATION tuna mpango madhubuti wa kwenda kuwapokea mashujaa wetu waliokaa ughaibuni kwa miongo miwili.

Hii nchi ina longolongo nyingi sana huenda hao chura walikufa miaka mingi sana ila wajanja wazito wamewafanya ni mtaji wa ulaji.

Tuliambiwa kuwa vyura hao wakiwa nje ya Kihansi hawawezi kuzaa, hata huko USA 🇺🇸 watakaa muda mfupi kisha warudishwe nchini kwani wako 500 tu dunia nzima.

Vyura wameishi miaka 23 USA, je lifespan ya chura ni miaka mingapi? Maana waliondoka vyura 5⁰0 na wanarudi haohao 500. Hii ina maana kwa miaka 23 hajafa chura hata mmoja?

Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Mwaigwisya
Naunga mkono hoja
P
 
Mimi na wadau wengine wa mazingira ikiwemo taasisi ya TREE OF LIFE FOUNDATION tuna mpango madhubuti wa kwenda kuwapokea mashujaa wetu waliokaa ughaibuni kwa miongo miwili.

Hii nchi ina longolongo nyingi sana huenda hao chura walikufa miaka mingi sana ila wajanja wazito wamewafanya ni mtaji wa ulaji.

Tuliambiwa kuwa vyura hao wakiwa nje ya Kihansi hawawezi kuzaa, hata huko USA 🇺🇸 watakaa muda mfupi kisha warudishwe nchini kwani wako 500 tu dunia nzima.

Vyura wameishi miaka 23 USA, je lifespan ya chura ni miaka mingapi? Maana waliondoka vyura 5⁰0 na wanarudi haohao 500. Hii ina maana kwa miaka 23 hajafa chura hata mmoja?

Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Mwaigwisya
Na siku ya mapokezi iwe siku ya mapumziko☹✌😎🤣
 
Mimi na wadau wengine wa mazingira ikiwemo taasisi ya @TREE OF LIFE FOUNDATION tuna mpango madhubuti wa kwenda kuwapokea mashujaa wetu waliokaa ughaibuni kwa miongo miwili.
Kwa taarifa tu ni kwamba vyura 100 wa Kihansi wa kwanza kurudi kutoka USA ilikuwa ni mwaka 2010.

Walitua nchini kwa KLM na walipata hadhi ya first class. Pilot na crew walifanya special program kwenye ndege yao na walifanya competition kwa watoto wachore picha ya vyura wakirudi nyumbani (picha zilikuwepo). Hata wao wenyewe walipiga picha na vyura hao. Walifikia kwenye captive breeding facility UDSM.

Vedasto Msungu (RIP tunakukumbuka mwanamazingira mahiri) aliripoti ujio wa vyura hawa kwenye vyombo vya habari.

Tarehe 31 October, 2012 batch ya kwanza ya vyura hawa walipelekwa mlimani kwenye makazi yao ya asili (reintroduced). Lilikuwa ni tukio la kimataifa na wanasayansi wengi wa kitaifa na kimataifa walikuwepo (WCS, IUCN, UDSM, SUA...) na liliripotiwa na vyombo vya kimataifa.

Vedasto Msungu na team yake walikuwepo na waliliripoti hili kwenye vyombo vya habari.

Shida yetu sisi waTz huwa hatuna habari na mambo ya mazingira na wala hayatuhusu, kazi yetu ni kulalamika tu.
 
Back
Top Bottom