Mungu ni wa ajabu sana na utukufu wake ni wa kutisha sana, kwani hukumu zake ni za haki
Ninachokifahamu ni hivi! Mtu akiuwa mtu, maisha yake yote huwa hawezi kupata Amani abadani kwa sababu hukumu ya Mungu juu ya uovu wowote hasa unaohusu UHAI wa mtu, huwa upo kifuani mwake, na moyo hutoa hukumu ya maisha ya mhusika, na mtu kujiona mwenye hatia kila akumbukapo jambo hilo!
Pona ya mtu huyo hupaswa kufanya mambo mawili tu, ni ama ajikabidhi Police ili sheria ifanye kazi yake na ndipo Amani awe nayo, la sivyo, akimbilie kwa Mungu ukatubu na toba yake siyo ya kitoto ni shariti aitamke hiyo dhambi na kuikiri kwa kinywa Chake kama ambavyo atakiri kwenye Vyombo vya sheria!
Kama Warundi leo ndiyo wametangaza watu waliohusika kufanya mauwaji kwa aliyekuwa Mfalme wa mwisho wa nchi hiyo baada ya miongo mingi kupita, hata hapa Tanzania, ni lazima itafahamika tu!
Mungu ibariki Tanzania
Ninachokifahamu ni hivi! Mtu akiuwa mtu, maisha yake yote huwa hawezi kupata Amani abadani kwa sababu hukumu ya Mungu juu ya uovu wowote hasa unaohusu UHAI wa mtu, huwa upo kifuani mwake, na moyo hutoa hukumu ya maisha ya mhusika, na mtu kujiona mwenye hatia kila akumbukapo jambo hilo!
Pona ya mtu huyo hupaswa kufanya mambo mawili tu, ni ama ajikabidhi Police ili sheria ifanye kazi yake na ndipo Amani awe nayo, la sivyo, akimbilie kwa Mungu ukatubu na toba yake siyo ya kitoto ni shariti aitamke hiyo dhambi na kuikiri kwa kinywa Chake kama ambavyo atakiri kwenye Vyombo vya sheria!
Kama Warundi leo ndiyo wametangaza watu waliohusika kufanya mauwaji kwa aliyekuwa Mfalme wa mwisho wa nchi hiyo baada ya miongo mingi kupita, hata hapa Tanzania, ni lazima itafahamika tu!
Mungu ibariki Tanzania