Uamuzi wa Rais Samia kutumia sheria ripoti ya CAG ni bora kuliko uwajibikaji wa kisiasa tuliozoea

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,032
Kwa muda mrefu baada ya kusomwa kwa ripoti za CAG miaka ya nyuma huwa wabadhirifu na wale wote waliotajwa hujificha kwenye kivuli cha uwajibikaji wa kisiasa. "Yaani mhusika anatumbuliwa na mara nyingi inakuwa imeishia hapo na pengine baada ya miaka michache anarejea tena kwenye mfumo."​

Maagizo ya Rais Samia kwamba Katibu Mkuu Kiongozi ahakikishe Makatibu Wakuu na Watendaji Wakuu wote wa Taasisi za Serikali wanaipitia kwa kina tarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kujibu na kuzifanyia kazi kwa haraka hoja zote zinazogusa maeneo yao ni maagizo sahihi kabisa

LAKINI KUBWA NA LA KUPONGEZWA ZAIDI NI MAELEKEZO KWAMBA YEYOTE ATAKAYEBAINIKA KUHUSIKA NA UBADHIRIFU NA UZEMBE WACHUKULIWE HATUA ZA KISHERIA.

HILI LINATUONDOA KATIKA UWAJIBIKAJI WA KISIASA USIO NA TIJA SANA NA KUTUPELEKA KATIKA UWAJIBISHWAJI SAHIHI.​
 
Mi najiuliza
Ina maana hao Makatibu Wakuu walikuwa hawajui yanayoendelea kwenye wizara zao?
Walichukua uamuzi gani?

Ripoti imetoka wamekaa kimya hadi maelekezo ya jana ndo wataanza pitia ripoti
 
Kwa muda mrefu baada ya kusomwa kwa ripoti za CAG miaka ya nyuma huwa wabadhirifu na wale wote waliotajwa hujificha kwenye kivuli cha uwajibikaji wa kisiasa. "Yaani mhusika anatumbuliwa na mara nyingi inakuwa imeishia hapo na pengine baada ya miaka michache anarejea tena kwenye mfumo."

Maagizo ya Rais Samia kwamba Katibu Mkuu Kiongozi ahakikishe Makatibu Wakuu na Watendaji Wakuu wote wa Taasisi za Serikali wanaipitia kwa kina tarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kujibu na kuzifanyia kazi kwa haraka hoja zote zinazogusa maeneo yao ni maagizo sahihi kabisa

LAKINI KUBWA NA LA KUPONGEZWA ZAIDI NI MAELEKEZO KWAMBA YEYOTE ATAKAYEBAINIKA KUHUSIKA NA UBADHIRIFU NA UZEMBE WACHUKULIWE HATUA ZA KISHERIA.

HILI LINATUONDOA KATIKA UWAJIBIKAJI WA KISIASA USIO NA TIJA SANA NA KUTUPELEKA KATIKA UWAJIBISHWAJI SAHIHI.
Ilitakiwa wakae pembeni harafu taratibu ndo zifuate kwa Sasa wanamuda wa kuharibu Kila kitu na watakuwa salama tu inawezekana ndo mpango wa huyo unaetaka tumpongeze
 
Hata uwajibikiaji wa kisiasa nao ni sehemu ya sheria, sheria inamruhusu mamlaka ya uteuzi kuteua na kutengua, sasa hapo sijui unamaanisha kitu gani hasa..

Moreover, hizo "sheria na taratibu" wakati mwingine ndio zinatoa nafasi kwa wezi kupanga uongo wa kujitetea, hasa pale mnapowaruhusu wezi kujifungia chumbani kuhojiana kuhusu wizi uliotokea, huku mkiwa nje mnashangilia kama mazuzu sheria imefuatwa mkisubiri majibu ya mahojiano yao.
 
Kwa muda mrefu baada ya kusomwa kwa ripoti za CAG miaka ya nyuma huwa wabadhirifu na wale wote waliotajwa hujificha kwenye kivuli cha uwajibikaji wa kisiasa. "Yaani mhusika anatumbuliwa na mara nyingi inakuwa imeishia hapo na pengine baada ya miaka michache anarejea tena kwenye mfumo."

Maagizo ya Rais Samia kwamba Katibu Mkuu Kiongozi ahakikishe Makatibu Wakuu na Watendaji Wakuu wote wa Taasisi za Serikali wanaipitia kwa kina tarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kujibu na kuzifanyia kazi kwa haraka hoja zote zinazogusa maeneo yao ni maagizo sahihi kabisa

LAKINI KUBWA NA LA KUPONGEZWA ZAIDI NI MAELEKEZO KWAMBA YEYOTE ATAKAYEBAINIKA KUHUSIKA NA UBADHIRIFU NA UZEMBE WACHUKULIWE HATUA ZA KISHERIA.

HILI LINATUONDOA KATIKA UWAJIBIKAJI WA KISIASA USIO NA TIJA SANA NA KUTUPELEKA KATIKA UWAJIBISHWAJI SAHIHI.
Subiri hutasikia aliyewajibishwa hii ni TANZANIA kumbuka wahusika ni Makada na Chama lazima kiwalinde kama kinavyowalinda Kina HALIMA MDEE na Wenzake 18
 
Subiri hutasikia aliyewajibishwa hii ni TANZANIA kumbuka wahusika ni Makada na Chama lazima kiwalinde kama kinavyowalinda Kina HALIMA MDEE na Wenzake 18
Kina Mdee wanalindwa na nani, ni chama gani?
 
Hata uwajibikiaji wa kisiasa nao ni sehemu ya sheria, sheria inamruhusu mamlaka ya uteuzi kuteua na kutengua, sasa hapo sijui unamaanisha kitu gani hasa..

Moreover, hizo "sheria na taratibu" wakati mwingine ndio zinatoa nafasi kwa wezi kupanga uongo wa kujitetea, hasa pale mnapowaruhusu wezi kujifungia chumbani kuhojiana kuhusu wizi uliotokea, huku mkiwa nje mnashangilia kama mazuzu sheria imefuatwa mkisubiri majibu ya mahojiano yao.
Sheria ipi unaiongelea hapa, hebu tupe kifungu, tofautisha mazoea na "sheria", punguza hisia kwenye mambo yanayohitaji akili
 
Sheria ipi unaiongelea hapa, hebu tupe kifungu, tofautisha mazoea na "sheria", punguza hisia kwenye mambo yanayohitaji akili
Kumbe hujui hata sheria moja inayompa Rais mamlaka ya kuteua na kutengua?!

Katiba ya JMT 1977 hujawahi kuisoma!!
 
Kumbe hujui hata sheria moja inayompa Rais mamlaka ya kuteua na kutengua?!

Katiba ya JMT 1977 hujawahi kuisoma!!
Hakuna mjadala wa kuteua na kutengua, usihamishe mada kama hujaelewa uzi soma tena, hapo kinachojadiliwa ni uamuzi wa kuhakikisha vyombo vya sheria vinahusika katika kuwajibisha wale WATAKAOTHIBITIKA, na sio kuishia kutengua tu. Vipi mzee?
 
Kwa muda mrefu baada ya kusomwa kwa ripoti za CAG miaka ya nyuma huwa wabadhirifu na wale wote waliotajwa hujificha kwenye kivuli cha uwajibikaji wa kisiasa. "Yaani mhusika anatumbuliwa na mara nyingi inakuwa imeishia hapo na pengine baada ya miaka michache anarejea tena kwenye mfumo."

Maagizo ya Rais Samia kwamba Katibu Mkuu Kiongozi ahakikishe Makatibu Wakuu na Watendaji Wakuu wote wa Taasisi za Serikali wanaipitia kwa kina tarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kujibu na kuzifanyia kazi kwa haraka hoja zote zinazogusa maeneo yao ni maagizo sahihi kabisa

LAKINI KUBWA NA LA KUPONGEZWA ZAIDI NI MAELEKEZO KWAMBA YEYOTE ATAKAYEBAINIKA KUHUSIKA NA UBADHIRIFU NA UZEMBE WACHUKULIWE HATUA ZA KISHERIA.

HILI LINATUONDOA KATIKA UWAJIBIKAJI WA KISIASA USIO NA TIJA SANA NA KUTUPELEKA KATIKA UWAJIBISHWAJI SAHIHI.
MKatibu wakuu unazania huo Ufisadi hauwahusu? Hahaa Kesi ya Nyani anapelekewa Tumbili
 
Back
Top Bottom