Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tanzania ni nchi yenye vyama vingi vya kisiasa, tokea tuache mfumo wa chama kimoja mwaka 1992 na 1995 rasmi katika uchaguzi hadi leo 2022, vyama vingi vya kisiasa vimesajiliwa. Lengo la vyama...
0 Reactions
4 Replies
657 Views
HALMASHAURI ya Wilaya ya Meatu kama ilivyo maeneo mengine ya Serikali za Mitaa inasimamiwa na kuongozwa kwa kuzingatia Sheria mbalimbali za nchi ikiwemo Sheria ya Serikali za Mitaa ya mwaka...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Inashangaza kipindi ambacho taifa linapambana kuhakikisha tunawapatia Watanzania ukombozi wa kweli ndiyo mara ghafla wale jamaa wa kusifu na kuabudu au kwa jina maarufu wakiitwa Thug au S.Gang...
1 Reactions
3 Replies
584 Views
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wilaya ya Hai, Riziki G Lesuya ametolea ufafanuzi shutuma hizo zinazomhusu Mbunge wa Jimbo la Hai, Saashisha Mafuwe Pia soma: Mbunge wa Jimbo la...
0 Reactions
1 Replies
865 Views
Profesa Muhongo amedai Bungeni kwamba, mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka GDP PER CAPITAL itakuwa US$ 990 na kwa hesabu hiyo tumeaga rasmi kwenye Uchumi wa Kati, Tumerudi chini tunaenda kwenye kundi...
42 Reactions
239 Replies
14K Views
Baraza la Mawaziri la serikali ya Tanzania limepokea taarifa ya awali ya ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea Novemba 6, 2022, Bukoba mkoani Kagera na kugharimu maisha ya watu 19. Kauli...
2 Reactions
42 Replies
3K Views
Mchague Paul N. Kawawa Mgombea Nafasi ya Mwenyekiti UVCCM - Mkoa wa Tabora
1 Reactions
4 Replies
965 Views
Msisitizo wa Rais Samia Suluhu ni 10% za mapato ya Halmashauri zitolewe kama mkopo kwa Vijana, wananawake na walemavu. Pesa hizo zinasaidia makundi hayo kujiajiri na kuendesha maisha yao ya kila...
0 Reactions
1 Replies
535 Views
Watawala na Watawaliwa:-"Inawezekana tatizo la panya kwa paka lingekwisha kama paka angefungiwa kengele shingoni: taabu ni kumpata panya wa kuifanya kazi hiyo. Na panya watakuwa wajinga sana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni kweli kumekua na tatizo la upungufu wa maji uliosababishwa na ukame. Swala hilo linapelekea maji ya kwenye mabwawa yanayotumika kufua umeme kupungua. Lakini pamoja na hayo yote tunaweza...
2 Reactions
15 Replies
978 Views
Kuliitishwa kikao cha dharula cha Baraza la mawaziri, kuongelea kitu kimoja pekee, ajali ya ndege ya Precision Air, iliyotokea zaidi ya wiki moja iliyopita! Hata hivyo kilichonishangaza zaidi ni...
7 Reactions
23 Replies
3K Views
Mwaka 1982 mwalimu aliambiwa na wana CCM kwenye Mkutano wa Halamashauri Kuu ya CCM kuwa mzee hali ni mbaya. Walimwambia tumefikia mahali rushwa imeshamiri kiasi kwamba Daktari anapokuwa thieta...
0 Reactions
1 Replies
569 Views
Kizazi cha kwanza cha kisiasa kilihusisha Wanasiasa waliopigania Uhuru wa Nchi zetu mbili Tanganyika na Zanzibar na baadae kutuunganisha kuwa Nchi Moja Kizazi cha pili kinahusisha Wanasiasa...
1 Reactions
8 Replies
674 Views
Hakika mpigania uhuru huyu ataendelea kuenziwa milele Pamoja na kwamba aliuawa kinyama na watu waliotumwa na wanaofahamika lakini jeshi la polisi lilijivika miwani ya mbao , Bali...
16 Reactions
59 Replies
9K Views
Kariakoo ni kituko sehemu kama ile ningefikiria ndiyo iwe focal point ya ukusanyaji wa mapato lakini nenda duka lolote kariakoo ukanunue kitu alafu omba risiti uwone. Kwanza wana kali moja hiyo...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Nyerere alitoa usemi wa " Bila CCM Imara nchi yetu Itayumba" akiwa kama mwasisi wa CCM Nawauliza Watu mlio neutral, Je kauli Hiyo ya Nyerere bado inaishi? Mlale unono
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Mimi ni mmoja wa walioamini katika story ya Majaliwa Jackson kijana wa kihaya aliyeokoa abiria siku ile ya ajali ya Ndege ndani ya Ziwa Victoria. Nilipomuona anaongea katika runinga akihojiwa na...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Rais Samia Suluhu ameitisha kikao cha dharula na baraza la mawaziri kujadili ajali ya ndege ya precison iliyobeba uhai wa watu 19. Wakati ajali inatokea Rais Samia alikuwa nchini Misri. Mara ya...
6 Reactions
128 Replies
11K Views
Historia huenda ikajirudia kwa Rais wa JMT kuchukua maamuzi aliyofanya Rais Mwinyi Mwaka 1990. Baraza la Mawaziri linaweza kuvunjwa wakati wowote kuanzia sasa.
9 Reactions
88 Replies
10K Views
Mtanzania ukimpa sababu, umemaliza, ataitumia sababu hiyo kila sehemu. Ukizungumzia umasikini wa bongo watasema ni kwa sababu ya ukoloni ambao umeisha miaka 60 iliyopita lakini bado hakuna hatua...
0 Reactions
1 Replies
494 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…