Wanabodi,
Naangalia kipindi cha Baragumu ambacho kiko live on Channel Ten, Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Maelezo, Dr. Hassan Abbas, afafanua mambo mbalimbali ya Habari Tanzania, amesema Tanzania...
Kwa nchi yoyote yenye utawala Bora, inavitumia vyombo vya habari kama mhimili wao wa 4, usio rasmi, baada ya mihimili rasmi ya Serikali, Mahakama na Bunge, katika kuendesha nchi.
Huwa...
Kwa hakika ni kwamba serikali inapigana kwa namna yeyote ile kuhakikisha kuwa huu mswaada wa huduma za vyombo vya habari unaopigiwa kelele kila Kona ya nchi unapitishwa bungeni.
Kuna tetesi kua...
Wanabodi,
Leo ndio Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa Habari, ambapo kwa hapa Tanzania, siku hii imeadhimishwa kwa siku mbili, jana na leo, katika hoteli ya Nashera mjini Morogoro.
Mwenyekiti wa...
Wanabodi,
Leo ni siku ya Madhimisho wa Uhuru wa Habari, maadhimisho ya Mwaka Huu yanafanyika kitaifa mjini Mwanza, Jamii Forum's Maxence Melo, Waziri Nape Mnauye, Mzee Reginald Mengi, Baraza la...
HOTUBA YA WAZIRI WA HABARI, MAWASILIANO NA TEKINOLOJIA YA HABARI MHE. NAPE NNAUYE (MB) AKIFUNGUA MAONYESHO YA MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI NAYOFANYIKA JIJINI ARUSHA...
Maandalizi ya Mkutano ngazi ya Mawaziri wa Michezo wa Baraza la Michezo la Umoja wa Afrika Kanda ya Nne (AUSC) utakaofanyika Mei 04, 2023 jijini Arusha yamekamilika na umetanguliwa na mkutano wa...
Kama Taifa bado hatujatuliza vichwa ipasavyo katika ishu za madini. Hatujui vizuri biashara yake, na wala hatujui hata thamani halisi ya madini yetu ukiachilia mbali vipesa mbuzi. Kiufupi bado...
Wanabodi,
Leo Tarehe, 26/11/2014 ni siku ya kihistoria kwa taifa letu la Tanzania, kwa sababu siku hii, inaanza kwa mtanange muhimu kuliko hata mjadala wa katiba, huu ni mtanange wa kupimana...
MENO YA TEMBO YAMPELEKA GEREZANI MIAKA 30.
Na Steven Augustino, Tunduru
Hakimu Mkazi mwandamizi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma Honorus Kando amemhukumu mkazi wa Kijiji...
Mimi ni Mtanzania. Nimezaliwa na kukulia upande wa Tanzania Bara, yaani, Tanganyika.
Nimeshamsikia zaidi ya mtu mmoja akijitambulisha kuwa yeye ni Mzanzibar. Lakini sijawahi kumsikia mtu...
Naomba niseme kweli nayo kweli iniweke huru,sifileo simpendi Baba yangu hata akifa kama nitakuwa hai stoshiriki mazishi yake na hata nikishiriki ntamZika Kwa hasira.
Baba wa sifi Leo yupo hai, ni...
Wafanyakazi wanakatwa asilimia fulani ya mshahara kuchangia Chama cha Wafanyakazi cha sekta husika
Hiyo michango huwa inafanya Kazi gani?
Je, ukiondoa Vitega Uchumi walivyorithi kutoka Jumuiya...
Tumechoka. Kila mwaka CAG anasoma hasara ambazo taifa linaingizwa kutokana na kodi za wananchi maskini hawa wanaoishi maisha magumu.
Viongozi wao wanatumia magari ya gharama kubwa ya kifahari...
Ikiwa ni miaka 13 tangu Kenya iwe na katiba mpya bado katiba hiyo inaonekana kushindwa kutatua mambo ya msingi, haya ni baadhi
1. Ufisadi na Rushwa
Kenya bado inaendela kuwa mojawapo ya mataifa...
Nukuu ya Rais Samia siku ya Mei Mosi 2023: "Wiki chache zilizopita niliwaita wawakilishi wa vyama vya wafanyakazi na nashukuru walinielewa, safari hii hawajatoa lugha kali."
Vyama vya wafanyakazi...
Wana Chato wamejiapiza kwamba uchaguzi wa ubunge unaokuja, wanakwenda na Katwale.
Wanachato wanasema kwamba Katwale alikuwa chaguo lao lakini JPM alimpandikiza Kalemani.
Gumzo kubwa wilayani...
Moja ya malalamiko ya wafanyakazi wa umma ni hili la kuondolewa Kwa annual increment na serikali, ambayo ipo kisheria huku huku ikishindwa kuwaongezea mishahara watumishi wa umma, inayokidhi hali...
Je ni waalimu wangapi kwa mwaka wanaingia kwenye soko la ajira kutafuta ajira wakiwa na certificate, diploma na degree? Je ni kwenye sekta ya afya kwa kada mbalimbali ni wangapi wanaingia sokoni...