Msimu huu wa bunge umetawaliwa na taarifa ya CAG ambayo inaonesha wizi mkubwa serikalini. Tatizo malalamiko ya wabunge yanalenga taasisi za serikali na watendaji wake bila kuwataja mawaziri ambao...
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za " Kwa Maslahi ya Taifa", makala ya leo ni kuzungumzia kidogo hali ya umeme nchini ambayo kwa sasa inapitia changamoto...
Na Mwandishi wetu Tunduru
KIONGOZI wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, ametaka kuitishwa kwa mjadala wa kitaifa na wananchi washirikishwe ipasavyo kwenye mjadala huo kwa ajili ya kujadili...
Umuofia kwenu
Napenda kufahamishwa ni sheria ipi inayompa ruhusa Naibu Katibu Mkuu wa TUCTA Kugombea nafasi ya uongozi CCM.
Cornel Boniphace Magembe ni Naibu Katibu Mkuu wa TUCTA kwa Sasa ila...
Vvya tisa vya siasa Zanzibar, vimesema kauli ya Chama cha ACT-Wazalendo ya kupinga uteuzi wa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Thabit Idarous Faina, haina nia njema kwa Zanzibar...
Kama kuna watu wavumilivu ni waumini wa Gwajima, waliabudu kwenye full suit ya mabati pale Ubungo, wakapigwa jua Tanganyika Pakers Kawe, wakarudi kwenye magofu Ubungo.
Baada ya ubunge kanisa lake...
Ndugu wanabodi huwa nakerwa sana na hii tabia ya askari wa usalama barabarani kuchukuana na kondakta au dereva wa gari na kuenda kumalizana nyuma ya gari.
Utamaduni huu unafuga rushwa na...
Akizungumzia Kadhia ya Wanyama aina ya Tembo kuvamia makazi ya wananchi katika maeneo mbali mbali ya Tunduru mkoani Ruvuma Kiongozi wa Chama Cha ACT Wazalendo, Zitto aliitaka serikali,kuchukua...
Chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kazi inaendelea kwa kasi katika kila kona ya nchi,Kaskazini baada ya kusahauliwa kwa muda leo mama anawafungua kwa kasi.
Ona hii barabara ya Same –...
Ndugu zangu kumekuwa na malalamiko juu ya changamoto ya umeme Hapa Nchini, Hali iliyosababishwa kwa kiasi kikubwa na Hali ya ukame iliyoikumba nchi yetu na kupelekea kupungua kwa kina Cha maji...
15 November 2022
POLICE WAJIPANGA KUTHIBITI MAKOSA YOTE YA USALAMA BARABARANI
Mtambo wa kisasa waweza kunasa makosa zaidi ya 400 ndani ya saa moja, hii itasaidia kupunguza uzito wa kazi za...
Moja kati ya habari inayosubiriwa kwa hamu na umma wa Tanzania ni yatakayojiri leo katika kikao cha dharura cha baraza la mawaziri aliloitisha leo Rais Samia ikiwa na ajenda mficho 4 unaoakisi...
Hii nchi inezidi uchawa kabisa, sasa leo meli ya utalii kutia nanga Dar imekuwa ni kwa sababu ya Royol tour, Je vipi zilizo kuwa zinakuja kipindi cha nyuma? Wakati wa mwenda zake tu zilikuja meli...
Ripoti ya "The wealth report" inayoandaliwa na kampuni ya Knight Frank ya Uingereza ya 2022 inaonesha Tanznia ni nchi ya 7 Afrika kwa utajiri binafsi na kuwa na bilionea pekee Afrika Mashariki na...
Taarifa ya CAG iungwe mkono na wabunge wote wahusika wawajibishwe hatuwezi kuona fedha za umma zinachezewa najiuliza hivi WAZIRI WA MAMBO YA NDANI ANAFANYA KAZI GANI
NAJIULIZA TAKUKURU NI CHOMBO...
Polisi Wilaya ya Tunduru wamevamia shughuhuli ya Ufunguzi wa Tawi la Chama cha ACT Wazalendo katika kijiji cha Namwinyu, Jimbo la Tunduru Kaskazini.
Ufunguzi huo wa Tawi ni sehemu ya ziara ya...
1. Umeme umekuwa bidhaa adimu kwenye maeneo mengi huku kila siku kukiwa na matamko ya megawati.
2. Upatikanaji wa maji safi na salama imekuwa ni anasa maeneo mengi na hasa katika jiji la Dar es...
Akizungumza kwenye ibada ya kuaga mwili wa Anethi Kaaya aliyekufa kwenye ajali ya Precision Air Katibu wa CCM mh Palanjo amempongeza Majaliwa Jackson kwa Ushujaa aliouonesha.
Palanjo amesema yeye...
Hakuna ubishi kuwa, mambo katika nchi yetu hayako shwari. Uamusho na ukombozi huwa hauji katikati ya furaha ya kula na kunywa.
Mambo yalifikia ukomo wa uharibifu mwaka 2015 mara baada ya John P...
Nionavyo mgao wa umeme nchini unaendelea kwa sasa ni mkakati wa kuleta majenerata ya kina Agrekko, na Symbion walionyang'anywa tenda hizo na hayati Magufuli, japo watakuja kwa majina mengine kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.