Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,495
- 215,349
Hakika mpigania uhuru huyu ataendelea kuenziwa milele
Pamoja na kwamba aliuawa kinyama na watu waliotumwa na wanaofahamika lakini jeshi la polisi lilijivika miwani ya mbao , Bali kinachojulikana ni kwamba HAKUNA MIONGONI MWA WAUAJI WA ALPHONCE MAWAZO ATAKAYESALIMIKA.
Mungu ibariki Chadema .
Pamoja na kwamba aliuawa kinyama na watu waliotumwa na wanaofahamika lakini jeshi la polisi lilijivika miwani ya mbao , Bali kinachojulikana ni kwamba HAKUNA MIONGONI MWA WAUAJI WA ALPHONCE MAWAZO ATAKAYESALIMIKA.
Mungu ibariki Chadema .