===
Ni masaa machache tu baada ya kurejea kutoka katika Mkutano wa Dunia wa Uhifadhi wa Mazingira wa 27 yaani COP27 huko Nchini Misri,
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri...
Nchi yoyote kabla haijaruhusu chakula kuuzwa nje ya mipaka yake inaangalia kwanza imezalisha kias gan na msimu wa mvua ulikuwaje. Leo hata mvua bado hazijaanza tayari kimenuka, mnapeleka mahindi...
Kama ulitegemea kuona majina makubwa katika nafasi mbalimbali za kuomba nafasi za ujumbe sahau kuhusu hilo.
Ni Wakati mwingine ambao tunashuhudia Vijana wakiibuka katika nafasi mbalimbali ndani...
Swali:
Ni kwanini ndege,mfano Njiwa, akitua kwenye waya wa umeme hafi kwa maana ya kunaswa?
Usione aibu kujibu sema tu unachojua ili tujipime wenyewe uelewe wetu-elimu yetu.
Mtu yeyote aliepata...
Hivi mnajisikia amani kweli Hata kujitambulisha kwa Vyeo vyenu wakati Dar es salaam haina maji!
Ni Waziri wa Maji gani?
Na DAWASA mna kazi gani maofisini? Nendeni likizo tujue Moja
Wananchi...
Ni agizo kutoka kwa Rais Samia,
Amiri Jeshi Mkuu, ameagiza Waziri wa Mambo ya Ndani Masauni kuanza mchakato wa ajira ya huyo kijana mara moja.
Kijana huyu ndiyo alizamia na kwenda kufungua mlango...
SHAKA HAMDU SHAKA ASEMA NI HAKIKA WATANZANIA WATAMPA RAIS SAMIA TUZO YA HESHIMA MWAKA 2025 KWANI ATAPATA KURA ZA MAFURIKO
===
Ampongeza kwa namna anavyochapa kazi bila mbwembwe wala zogo...
===
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Leo tarehe 12 Novemba...
Haya nayo ni maajabu 7 katika jamhuri ya walei nchini brunei, mabasi kila siku yanaua mamia ya watu hakuna dharula.
Watu wanakufa njaa imekuwa tishio kubwa na chakula kimepanda bei mara dufu...
Hiki ndicho alichokiandika RC Mstaafu David Kafulila kwenye akaunti yake ya tweeter baada ya mjadala mkali Bungeni na hofu ya Watanzania juu ya ukubwa wa deni la Taifa kwa Sasa
Huenda Kafulila...
Kumekuwa na kelele nyingi kutoka kwa baadhi ya Wanachama wa Chadema tena wengine Viongozi mfano ni Sugu, Heche, pambalu na Wanaharakati wengi wakipinga kwa nguvu zote kuwa Kijana Majaliwa...
Je wajua?
Katika kipindi cha Mwezi Octoba 2022, Serikali chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imeendelea kufanya vizuri katika maeneo yote muhimu kiuchumi?
MFUMUKO WA BEI- Umeendelea...
Maamuzi hayo yanatarajiwa kufanywa na Serikali ya Mtaa wa Bwawani Kata ya Kijitonyama, Dar es Salaam kwa wale watakaokaidi kulipa kutoa ushirikiano kwa ulinzi shirikishi.
Mwenyekiti wa Bwawani...
Habari za muda wakuu.
Mh.Rais akiwa Tanga mchana wa leo aliwaambia wananchi kwamba baadhi ya mawaziri katika Serikali yake ni Wapumbavu.
Alitoa mfano wa Profesa Muhongo aliyemwagiza kuhakikisha...
Habari za Weekend!
Naumia sana moyoni mwangu kutokana na sisi Wabunge wa Chama cha Mapinduzi kukaa kimya kabisa kama hakuna kilichotokea hapa juzi juzi baada ya Mbunge mwenzetu mtanzania mwenzetu...
Habari za muda huu!
Awali ya yote nieleze masikitiko yangu juu ya matukio ( kashfa ya Chama changu) kuhusishwa na vitendo vya Rushwa . Kiukweli nimeumia sana sana kwa kifupi haielezeki.
Ninaona...
Wapinzani kwa sasa mna machaguo (option) mbili tu.aidha mtapata tabu sana au mtapata raha sana.ni wavumilivu tu watakaopita katika wimbi hili.
Tanzania kwa sasa inapitia katika mabadiliko makubwa...
Matayarisho ya kesho ni lazima yafanywe Leo kwa mbinu na nguvu zote ili Kesho inapofika tuwe tayari kwa mapambano, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi...
Chanel ten naanza kuiona ikifa polepole Yani nimeangalia taarifa yake ya habari Leo amesifiwa binadamu mmoja tu Kila habari anatajwa yeye tu Yani hata kwa kulazimishia aisee inaboa Sana hii nchi...
Nina hakika mtandao maji ya Dawasa haujtandaa Dar yote.
Ni baadhi ya maeneo tu ndio kuna mtanado huo
Sasa hao wanaokaaa madongo poromoka mnawafikiria vipi na wao?
Mtakuwa mnajaza waterbowser na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.