Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

=== Ni masaa machache tu baada ya kurejea kutoka katika Mkutano wa Dunia wa Uhifadhi wa Mazingira wa 27 yaani COP27 huko Nchini Misri, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri...
6 Reactions
65 Replies
4K Views
Nchi yoyote kabla haijaruhusu chakula kuuzwa nje ya mipaka yake inaangalia kwanza imezalisha kias gan na msimu wa mvua ulikuwaje. Leo hata mvua bado hazijaanza tayari kimenuka, mnapeleka mahindi...
11 Reactions
47 Replies
3K Views
Kama ulitegemea kuona majina makubwa katika nafasi mbalimbali za kuomba nafasi za ujumbe sahau kuhusu hilo. Ni Wakati mwingine ambao tunashuhudia Vijana wakiibuka katika nafasi mbalimbali ndani...
1 Reactions
2 Replies
614 Views
Swali: Ni kwanini ndege,mfano Njiwa, akitua kwenye waya wa umeme hafi kwa maana ya kunaswa? Usione aibu kujibu sema tu unachojua ili tujipime wenyewe uelewe wetu-elimu yetu. Mtu yeyote aliepata...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Hivi mnajisikia amani kweli Hata kujitambulisha kwa Vyeo vyenu wakati Dar es salaam haina maji! Ni Waziri wa Maji gani? Na DAWASA mna kazi gani maofisini? Nendeni likizo tujue Moja Wananchi...
2 Reactions
8 Replies
906 Views
Ni agizo kutoka kwa Rais Samia, Amiri Jeshi Mkuu, ameagiza Waziri wa Mambo ya Ndani Masauni kuanza mchakato wa ajira ya huyo kijana mara moja. Kijana huyu ndiyo alizamia na kwenda kufungua mlango...
20 Reactions
164 Replies
14K Views
SHAKA HAMDU SHAKA ASEMA NI HAKIKA WATANZANIA WATAMPA RAIS SAMIA TUZO YA HESHIMA MWAKA 2025 KWANI ATAPATA KURA ZA MAFURIKO === Ampongeza kwa namna anavyochapa kazi bila mbwembwe wala zogo...
8 Reactions
84 Replies
4K Views
=== Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Leo tarehe 12 Novemba...
6 Reactions
75 Replies
5K Views
Haya nayo ni maajabu 7 katika jamhuri ya walei nchini brunei, mabasi kila siku yanaua mamia ya watu hakuna dharula. Watu wanakufa njaa imekuwa tishio kubwa na chakula kimepanda bei mara dufu...
14 Reactions
27 Replies
2K Views
Hiki ndicho alichokiandika RC Mstaafu David Kafulila kwenye akaunti yake ya tweeter baada ya mjadala mkali Bungeni na hofu ya Watanzania juu ya ukubwa wa deni la Taifa kwa Sasa Huenda Kafulila...
14 Reactions
138 Replies
6K Views
Kumekuwa na kelele nyingi kutoka kwa baadhi ya Wanachama wa Chadema tena wengine Viongozi mfano ni Sugu, Heche, pambalu na Wanaharakati wengi wakipinga kwa nguvu zote kuwa Kijana Majaliwa...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Je wajua? Katika kipindi cha Mwezi Octoba 2022, Serikali chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imeendelea kufanya vizuri katika maeneo yote muhimu kiuchumi? MFUMUKO WA BEI- Umeendelea...
0 Reactions
4 Replies
498 Views
Maamuzi hayo yanatarajiwa kufanywa na Serikali ya Mtaa wa Bwawani Kata ya Kijitonyama, Dar es Salaam kwa wale watakaokaidi kulipa kutoa ushirikiano kwa ulinzi shirikishi. Mwenyekiti wa Bwawani...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari za muda wakuu. Mh.Rais akiwa Tanga mchana wa leo aliwaambia wananchi kwamba baadhi ya mawaziri katika Serikali yake ni Wapumbavu. Alitoa mfano wa Profesa Muhongo aliyemwagiza kuhakikisha...
45 Reactions
721 Replies
100K Views
Habari za Weekend! Naumia sana moyoni mwangu kutokana na sisi Wabunge wa Chama cha Mapinduzi kukaa kimya kabisa kama hakuna kilichotokea hapa juzi juzi baada ya Mbunge mwenzetu mtanzania mwenzetu...
29 Reactions
149 Replies
15K Views
Habari za muda huu! Awali ya yote nieleze masikitiko yangu juu ya matukio ( kashfa ya Chama changu) kuhusishwa na vitendo vya Rushwa . Kiukweli nimeumia sana sana kwa kifupi haielezeki. Ninaona...
38 Reactions
201 Replies
18K Views
Wapinzani kwa sasa mna machaguo (option) mbili tu.aidha mtapata tabu sana au mtapata raha sana.ni wavumilivu tu watakaopita katika wimbi hili. Tanzania kwa sasa inapitia katika mabadiliko makubwa...
7 Reactions
109 Replies
10K Views
Matayarisho ya kesho ni lazima yafanywe Leo kwa mbinu na nguvu zote ili Kesho inapofika tuwe tayari kwa mapambano, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi...
0 Reactions
2 Replies
577 Views
Chanel ten naanza kuiona ikifa polepole Yani nimeangalia taarifa yake ya habari Leo amesifiwa binadamu mmoja tu Kila habari anatajwa yeye tu Yani hata kwa kulazimishia aisee inaboa Sana hii nchi...
12 Reactions
55 Replies
6K Views
Nina hakika mtandao maji ya Dawasa haujtandaa Dar yote. Ni baadhi ya maeneo tu ndio kuna mtanado huo Sasa hao wanaokaaa madongo poromoka mnawafikiria vipi na wao? Mtakuwa mnajaza waterbowser na...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom