Wandugu kuna ile ndege ya shirika letu la ndege ATCL iliyoshikwa je, imeachiwa au ndio tena basi?
Inaonekana hakuna uwazi huku ikielekea kuna shinikizo toka nje kwamba nchi iangalie upya miradi...
Ukifuatilia Siasa za nchi yetu hasa za upinzani utagundua Freeman Mbowe, Tundu Lisu na Zitto Kabwe wamefanya mambo mengi mazuri yanayostahili heshima ya kitaifa na kimataifa
Mbona hawatunukiwi...
Huko mbele ya safari tusije kugeuka kuwa Taifa la Mchongo maana kila kona ni michongo mitupu
Tufike mahali tujitathmini kwa kweli
Hata hawa Wenyeviti wa vyama vya siasa walioko madarakani kwa...
Kila kona kuna shida ya maji.
Wanafunzi bado wanatembae umbali mrefu kuta kutafuta elimu
Kodi kandamizi na tozo za kibabe
Leo hii mkuu wa nchi anakula keki bila huruma kwa wananchi.
Huku mtaani kwetu kuna shule nyingi ambazo hazina uzio na mazingira yake pembeni yamekuwa na mitimiti ambayo ikifika mida ya jioni kunakuwa na mazingira flani ambayo ni hatarishi kwa wanafunzi...
Jamani wanaohusika naomba msimamie kwa ukaribu sana mradi wa SGR unaoanza Itingi mpaka Tura, mfatilie malipo ya Wafanyakazi kutolipwa mishahara yao na kunyimwa haki kibao za kikazi
Kubwa zaidi na...
Kauli ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu kuwa Serikali imekuwa ikiruhusu usafirishaji wa wanyama kwenda nje ya nchi tangu mwaka 1985, imeiibua Wizara ya Maliasili na Utalii ikisema...
Habari za mchana ndugu zangu,
Hawa polisi mbona wanatunyanyasa na hawakemewi na serikali. Juzi pale mataa ya ubungo walimkamata jamaa kwa kupaki bajaji sehemu isiyoruhusiwa, kwa kuwa walikuwa...
Pengine mmesahau, hii sera ya kufunga mipaka ambayo Bashe anaitekeleza ni sera ya CDM. Wakati wa uchaguzi wa 2020 Salumu Mwalimu kila alikokwenda alisema kuwa CDM ikishika madaraka wananchi...
Mkeka wa wakuu wa wilaya umepita, bila kuliona jina la Kada wa Machawa JF!
Ndugu yetu.. Lucas mwashambwa, Namba ya simu hawakuiona nadhani. Lakini Niliwahi kukueleza,na pia wengi walikueleza gumu...
Serikali ya Tanzania na Demokrasia ya Congo zimekubaliana kushirikiana katika sekta kadhaa ambazo moja kwa Moja zitakwenda kuwanufaisha wananchi wa nchi hizo na Kukuza Uchumi wa nchi husika.
1...
Wakati wa Utawala wa AWAMU ya 3 Rais Mkapa aliuanzisha Utaratibu wa KUTANGAZA Nafasi za Kazi kwa WAKURUGENZI wa HALMASHAURI kwa Yeyote mwenye SIFA na UZOEFU badala ya KUWATEUA kama ilivyo sasa...
Ukitaka udumu katika nafasi zozote za Uteuzi fanya haya Utanishukuru
1. Acha kufikiri Wewe ni bora kuliko wote waliochwa au unaowaongoza Kumbuka hata wewe Ulikuwa chini ya mtu in before na hicho...
Ni dhahiri kuwa Kwa Kila mpenda Demokrasia hapa nchini, anapaswa ampongeze Kwa dhati, Rais Samia Kwa hatua alizochukua za kishujaa za kufutilia Kwa mbali zuio haramu, lililokuwa limewekwa na...
AFADHALI urejeo wa TUNDU LISSU unaweza ukawa na nguvu flani katika chama ukilinganisha na hapo kabla.
Kila mwanachama wa CHADEMA amefurahi urejeo wake, sasa ni wakati sahihi kwa Chama kuanza...
HARAMBEE YA UJENZI WA MAABARA TATU ZA SEKA SEKONDARI - JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI
Seka Sekondari ni shule mpya ambayo kwa sasa ina wanafunzi wa Kidato cha Kwanza hadi cha Tatu ( FI - FIII).
Jumla...
Karibuni wadau kwa majawabu yenu juu ya maswali yangu haya yafuatayo.
1. Kwa nini wanasiasa wa TANU na vyama baadhi miaka ya 1950s walishinikiza suala la wao kupewa uhuru kutoka kwa Muingereza...
MBUNGE WA CHWAKA AZUNGUMZIA MIUNDOMBINU YA ELIMU - WILAYA YA KATI, MKOA KUSINI UNGUJA
Mbunge wa Jimbo la Chwaka Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Haji Mlenge katika kuonyesha utekelezaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.