Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wandugu kuna ile ndege ya shirika letu la ndege ATCL iliyoshikwa je, imeachiwa au ndio tena basi? Inaonekana hakuna uwazi huku ikielekea kuna shinikizo toka nje kwamba nchi iangalie upya miradi...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Ukifuatilia Siasa za nchi yetu hasa za upinzani utagundua Freeman Mbowe, Tundu Lisu na Zitto Kabwe wamefanya mambo mengi mazuri yanayostahili heshima ya kitaifa na kimataifa Mbona hawatunukiwi...
2 Reactions
13 Replies
654 Views
Huko mbele ya safari tusije kugeuka kuwa Taifa la Mchongo maana kila kona ni michongo mitupu Tufike mahali tujitathmini kwa kweli Hata hawa Wenyeviti wa vyama vya siasa walioko madarakani kwa...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Kila kona kuna shida ya maji. Wanafunzi bado wanatembae umbali mrefu kuta kutafuta elimu Kodi kandamizi na tozo za kibabe Leo hii mkuu wa nchi anakula keki bila huruma kwa wananchi.
2 Reactions
5 Replies
596 Views
Huku mtaani kwetu kuna shule nyingi ambazo hazina uzio na mazingira yake pembeni yamekuwa na mitimiti ambayo ikifika mida ya jioni kunakuwa na mazingira flani ambayo ni hatarishi kwa wanafunzi...
0 Reactions
5 Replies
595 Views
Jamani wanaohusika naomba msimamie kwa ukaribu sana mradi wa SGR unaoanza Itingi mpaka Tura, mfatilie malipo ya Wafanyakazi kutolipwa mishahara yao na kunyimwa haki kibao za kikazi Kubwa zaidi na...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Kauli ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu kuwa Serikali imekuwa ikiruhusu usafirishaji wa wanyama kwenda nje ya nchi tangu mwaka 1985, imeiibua Wizara ya Maliasili na Utalii ikisema...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau hii ikoje?
0 Reactions
7 Replies
723 Views
Habari za mchana ndugu zangu, Hawa polisi mbona wanatunyanyasa na hawakemewi na serikali. Juzi pale mataa ya ubungo walimkamata jamaa kwa kupaki bajaji sehemu isiyoruhusiwa, kwa kuwa walikuwa...
0 Reactions
2 Replies
465 Views
Pengine mmesahau, hii sera ya kufunga mipaka ambayo Bashe anaitekeleza ni sera ya CDM. Wakati wa uchaguzi wa 2020 Salumu Mwalimu kila alikokwenda alisema kuwa CDM ikishika madaraka wananchi...
0 Reactions
3 Replies
732 Views
Mkeka wa wakuu wa wilaya umepita, bila kuliona jina la Kada wa Machawa JF! Ndugu yetu.. Lucas mwashambwa, Namba ya simu hawakuiona nadhani. Lakini Niliwahi kukueleza,na pia wengi walikueleza gumu...
23 Reactions
68 Replies
4K Views
Serikali ya Tanzania na Demokrasia ya Congo zimekubaliana kushirikiana katika sekta kadhaa ambazo moja kwa Moja zitakwenda kuwanufaisha wananchi wa nchi hizo na Kukuza Uchumi wa nchi husika. 1...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakati wa Utawala wa AWAMU ya 3 Rais Mkapa aliuanzisha Utaratibu wa KUTANGAZA Nafasi za Kazi kwa WAKURUGENZI wa HALMASHAURI kwa Yeyote mwenye SIFA na UZOEFU badala ya KUWATEUA kama ilivyo sasa...
6 Reactions
14 Replies
1K Views
Ukitaka udumu katika nafasi zozote za Uteuzi fanya haya Utanishukuru 1. Acha kufikiri Wewe ni bora kuliko wote waliochwa au unaowaongoza Kumbuka hata wewe Ulikuwa chini ya mtu in before na hicho...
16 Reactions
28 Replies
2K Views
Ni dhahiri kuwa Kwa Kila mpenda Demokrasia hapa nchini, anapaswa ampongeze Kwa dhati, Rais Samia Kwa hatua alizochukua za kishujaa za kufutilia Kwa mbali zuio haramu, lililokuwa limewekwa na...
2 Reactions
9 Replies
742 Views
AFADHALI urejeo wa TUNDU LISSU unaweza ukawa na nguvu flani katika chama ukilinganisha na hapo kabla. Kila mwanachama wa CHADEMA amefurahi urejeo wake, sasa ni wakati sahihi kwa Chama kuanza...
0 Reactions
1 Replies
464 Views
HARAMBEE YA UJENZI WA MAABARA TATU ZA SEKA SEKONDARI - JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI Seka Sekondari ni shule mpya ambayo kwa sasa ina wanafunzi wa Kidato cha Kwanza hadi cha Tatu ( FI - FIII). Jumla...
0 Reactions
3 Replies
772 Views
Karibuni wadau kwa majawabu yenu juu ya maswali yangu haya yafuatayo. 1. Kwa nini wanasiasa wa TANU na vyama baadhi miaka ya 1950s walishinikiza suala la wao kupewa uhuru kutoka kwa Muingereza...
3 Reactions
41 Replies
2K Views
MBUNGE WA CHWAKA AZUNGUMZIA MIUNDOMBINU YA ELIMU - WILAYA YA KATI, MKOA KUSINI UNGUJA Mbunge wa Jimbo la Chwaka Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Haji Mlenge katika kuonyesha utekelezaji...
0 Reactions
0 Replies
801 Views
Hello, Mimi kazi yangu kuwakumbusha vijana kuacha kutumika na wanasiasa hasa upinzani itakuja kuwagharimu baadae. Juzi niliketa uzi kama uhu akatokea kijana mmoja akaja nishuhudia kuwa, “unacho...
11 Reactions
81 Replies
3K Views
Back
Top Bottom