Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tunasumubuana na mijadala kibao juu ya ubora wa elimu TZ na sasa naona kuna juhudi za kupunguza makali ya mitihani ya darasa la 7. Ukweli ni kwamba ili tuwe na elimu bora lazima pia tuwe na...
6 Reactions
105 Replies
35K Views
HIFADHI YA JAMII NDIYO MWARUBAINI WA BIMA YA AFYA KWA WOTE; MUSWADA WA BIMA YA AFYA NI WA KUTUPILIWA MBALI! Ndugu Waandishi wa Habari, A. Utangulizi: Muswada wa sheria ya ‘Bima ya Afya Kwa Wote’...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nje ya Siasa huyu Tundu Antipas Lisu ni ushuhuda wa Uponyaji wa Mungu wa mbinguni mwenyewe Kipekee ashukuriwe Rais Samia kwa kumtembelea Lisu akiwa mahututi Hospital na kumtia moyo Kadhalika...
28 Reactions
36 Replies
2K Views
Asa itakuaje wafanyakazi wa T.P.A. niwachache hvo ma operator watatumika vibarua na wanalipwa 11500 huku makalani 9000, ni aibu ni Bora apewe muwekezaji watu wamesota Sana angalau wapate mikataba...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ilikuwa ni usanii mtupu kupambanisha hizi English medium Schools na Shule za Kata halafu tunaambiwa Chato sec school wanafunzi wamefanya vizuri kuliko Feza International School Prof Mkenda...
10 Reactions
59 Replies
4K Views
Hizi ndizo nchi kumi za Kiafrika zilizo na kiwango cha juu zaidi cha ubora wa maisha ya kidijitali kwa mujibu wa Surf Shark, na ndizo nchi pekee za Kiafrika katika 100 bora duniani isipokuwa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
HAYA NI MAONI YANGU MIAKA MIWILI ILIYOPITA, LEO 29 JANUARI 2023 NDO YAMETEKELEZWA NA NECTA. NAOMBA LIKES ZENU KWA WALE AMBAO MULIONA VINGINE...
8 Reactions
44 Replies
6K Views
Wakuu mimi ni miongoni mwa watu wengi ambao tunatamani kuona mabadiliko makubwa kwenye elimu yetu, ninayo mengi ya kuyaandika juu ya mabadiliko ya elimu yetu. Sera ya Elimu yetu Mfumo wa Elimu...
0 Reactions
4 Replies
623 Views
wito wangu kwa Rais Samia Rais wa Tanzania na Prof. Juma Jaji Mkuu wa Tanzania - kuelekea siku ya kilele cha wiki ya sheria Tanzania ni muungano wa nchi mbili Tangayika na Zanzibar. kila nchi ina...
1 Reactions
1 Replies
529 Views
Kuna haja ya kuweka serikali zaidi yamoja? Huu si uharibifu wa mali za uma na tamaa za madaraka? Haja ipi ambayo inasababisha hasa kuwepo kwa serikali zaidi ya moja ndani yanchi moja? Amini...
1 Reactions
6 Replies
839 Views
Wizara ya elimu ni Wizara inayoshindwa kusimamia weledi na kuwa huru, Wizara hii ilimdanganya Rais Magufuli kuwa wanafunzi wa shule za kata wanaongoza na wanafaulu baada ya kutishwa na Rais...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Zipo kanuni katika maisha ambazo hatuwezi kuzivunja iwe kwa bahati mbaya au makusudi tukabaki bila kuathiriwa kama adhabu ya kuzivunja au kuzipuuza. Siasa ni jumla ya vitu vingi katika taifa kwa...
1 Reactions
3 Replies
738 Views
Makamu Mwenyekiti CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameongoza kikao cha kwanza cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Zanzibar...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimesomo Mara nyingi melezo ya necta lakni Bado naona sababu zao za kutotangaza top ten ya watahiniwa na shule Haina mashiko kabisa. 1. Kama wanaamini mazingra ni tofauti bac wayaboreshe. 2...
0 Reactions
6 Replies
518 Views
Freean Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa BAADA ya zuio lisilokuwa la kikatiba wala kisheria, la mikutano ya hadhara kwa muda mrefu, sasa ni wazi kwamba, Chadema wamezindua mikutano yao ya...
6 Reactions
24 Replies
2K Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amefungua mradi wa Hoteli ya kisasa ya kitalii Emarald Resort na SPA, Matemwe, Mkoa wa Kaskazini Unguja. Leo tarehe 29...
1 Reactions
3 Replies
741 Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye...
42 Reactions
267 Replies
23K Views
Watanzania ni watu wa ajabu sana. Rais Hayati Magufuli aliamua kuoanga ama kuingilia upangaji wa bei za bidhaa kuwalinda walaji na wauzaji malalamiko yakawa mengi sana kwamba anapanga bei...
11 Reactions
27 Replies
2K Views
Kampeini kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020 zimeanza rasmi tarehe 26 Agosti, 2020. Vyama vya siasa vitakavyoshiriki uchaguzi vimeanza kunadi ilani, sera na wagombea wao. Katika kampeini...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom