Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katika kusikiliza kipindi cha kuchangia mada ya kuhusiana na swala la ardhi ya Loliondo kupitia BBC leo Tarehe 10/04/2013 saa 7:15 jioni idhaa ya Kiswahili balozi waziri Kagasheki ameapa na kudai...
0 Reactions
146 Replies
13K Views
MAONI YAKO KUHUSU ELIMU KWA TAIFA LETU MAONI yangu ni kuwa; Kwanza nirejelee nini maana ya ELIMU. ELIMU ni maarifa/ujuzi.wa kupambana na changa Moto za shughuri zako kujiletea maendeleo...
0 Reactions
6 Replies
904 Views
Ndugu wanaJF, nimeshangazwa na maneno niliyosoma kwenye gazeti la Mwananchi leo yaliyosema hivi "Kagasheki: CCM kazi ipo mwaka huu.." ''Hofu kuhusu nafasi ya CCM kwenye Uchaguzi Mkuu ujao...
2 Reactions
16 Replies
6K Views
Usiri uliopo kwenye ajira Tanzania unatokana na usiri uliopo katika mfumo wa uteuzi. Kama wakubwa wanapatikana Bila kuwepo mfumo rasmi basi hata wadogo nao watapatikana Kwa usiri mkubwa. Kama...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Wandugu asalaam! Kwanini mamlaka za Dunia zinamfanya maskini kuwa kijiko Cha kuchotea ubwabwa? Sisi wapanga foleni wakati wa kupiga kura! Na sisi ndio wapambe wakati wa kampeni. Baada ya uchaguzi...
10 Reactions
54 Replies
5K Views
Mfumo wetu wa ajira nchini hasa ajira rasmi upo mikononi mwa wanasiasa. Leo wanasiasa wanaweza wakaamua Nani aajiriwe kwenye sekta binafsi au sekta ya umma. Wanasiasa pia wanaweza kuamua Nani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wasalaam , Hongera mhe Mbunge kwa kutetea tatizo kubwa la ajira hapa nchini hasa ktk Wizara ya Maliasili wakati akichangia Wizara ya Utumishi & Utawala Bora kwamba tatizo la ajira nchini limekuwa...
2 Reactions
9 Replies
919 Views
Wadau wa Haki ya Kupata Habari (CoRI), wamewaomba wabunge kuwasikiliza wanahabari ili kubeba mapendekeo yaliyoachwa kwenye Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Habari uliowasilishwa Februari 10...
0 Reactions
1 Replies
546 Views
UFANISI Vs CHANGAMOTO ZA KIFEDHA NCHINI. NANI TUMPE MAUA YAKE MAPEMA? Popote duniani wasifu wa fedha unategemea mambo kadhaa. 1. Hali ya uchumi wa nchi 2. Ufanisi wa sekta za umma na zile...
0 Reactions
0 Replies
411 Views
Mali za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zipo hatarini kukamatwa na Kampuni ya M/s Laemthong Rice Company Ltd inayoidai Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kiasi cha Dola za Marekani...
1 Reactions
79 Replies
5K Views
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Kijiji cha Kwa Msisi Mkoani Tanga ambapo imeombwa kwanza hela ya Tambiko mil 21 ili ujenzi wa barabara unaohusisha ukataji wa miti uendelee. Tambiko la pili...
14 Reactions
163 Replies
15K Views
Halima Nassoro kada CCM anayepora viwanja, kumg'oa Masanja Mwanza Miezi minne sasa tangu sakata la uuzwaji wa viwanja viwili katika eneo la Rwagasore jijini Mwanza kuibuka, mapya yaibuka...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Bunge ni la CCM na Jina la Spika limeletwa Bungeni na Kamati Kuu ya CCM inayoongozwa na Mwenyekiti wa CCM ambaye ndiye Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye naye pia ni sehemu ya Bunge...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Haniu amefanya ziara katika Kata ya Ikuti na kukagua miradi ya maendeleo pamoja na kuzungumza na wakazi wa kata hiyo. Akikagua ujenzi wa shule mpya ya msingi...
0 Reactions
0 Replies
584 Views
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Ruvuma (CCM), Mhe. Dkt. Thea Medard Ntara amehoji “Suala hili lina muda mrefu sana na Watoto wanazidi kunyanyasika kwa kuolewa na umri mdogo, Je, Serikali imejiwekea...
0 Reactions
0 Replies
679 Views
Nina imani na wabunge wazalendo walioko Bungeni ambao hawana hatia juu ya ubadhirifu ulioibuliwa na CAG, hawaungi mkono mafisadi kupewa miezi sita ili hatua kuchukuliwa! Lakini pia, Karibu 90% ya...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Kutoka Dodoma ndani ya Bunge linaloendelea, Mbunge asiyefahamika vizuri aliyetajwa kwa jina la Mtemvu, aliyetajwa kuwakilisha jimbo la Kibamba ametoa hoja kwamba Sura ya Rais Samia Suluhu iwekwe...
16 Reactions
73 Replies
4K Views
Kama ni kweli Hii sio sawa,Wahusika chukueni hatua.. Mbunge wa Nkasi (Chadema), Aida Khenan amelalamika kubaguliwa na wakuu wa idara na watumishi wa Wilaya ya Nkasi akidaiwwamegoma kumpa...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, amesema hana mpango wa kurudi nchini kwa sasa na kwamba taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii...
0 Reactions
83 Replies
9K Views
Namkumbuka sana Dr Willibrod Slaa mara kwa mara katika hotuba zake, ampeni zake alikuwa akihubiri na kulilia utawala wa sheria katika nchi hii. Nataka kujua huko aliko, msimamo wake ni upi juu ya...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom