Nje ya Siasa huyu Tundu Antipas Lisu ni ushuhuda wa Uponyaji wa Mungu wa mbinguni mwenyewe
Kipekee ashukuriwe Rais Samia kwa kumtembelea Lisu akiwa mahututi Hospital na kumtia moyo
Kadhalika...
Asa itakuaje wafanyakazi wa T.P.A. niwachache hvo ma operator watatumika vibarua na wanalipwa 11500 huku makalani 9000, ni aibu ni Bora apewe muwekezaji watu wamesota Sana angalau wapate mikataba...
Ilikuwa ni usanii mtupu kupambanisha hizi English medium Schools na Shule za Kata halafu tunaambiwa Chato sec school wanafunzi wamefanya vizuri kuliko Feza International School
Prof Mkenda...
Hizi ndizo nchi kumi za Kiafrika zilizo na kiwango cha juu zaidi cha ubora wa maisha ya kidijitali kwa mujibu wa Surf Shark, na ndizo nchi pekee za Kiafrika katika 100 bora duniani isipokuwa...
Wakuu mimi ni miongoni mwa watu wengi ambao tunatamani kuona mabadiliko makubwa kwenye elimu yetu, ninayo mengi ya kuyaandika juu ya mabadiliko ya elimu yetu.
Sera ya Elimu yetu
Mfumo wa Elimu...
wito wangu kwa Rais Samia Rais wa Tanzania na Prof. Juma Jaji Mkuu wa Tanzania - kuelekea siku ya kilele cha wiki ya sheria
Tanzania ni muungano wa nchi mbili Tangayika na Zanzibar. kila nchi ina...
Kuna haja ya kuweka serikali zaidi yamoja? Huu si uharibifu wa mali za uma na tamaa za madaraka? Haja ipi ambayo inasababisha hasa kuwepo kwa serikali zaidi ya moja ndani yanchi moja?
Amini...
Wizara ya elimu ni Wizara inayoshindwa kusimamia weledi na kuwa huru, Wizara hii ilimdanganya Rais Magufuli kuwa wanafunzi wa shule za kata wanaongoza na wanafaulu baada ya kutishwa na Rais...
Zipo kanuni katika maisha ambazo hatuwezi kuzivunja iwe kwa bahati mbaya au makusudi tukabaki bila kuathiriwa kama adhabu ya kuzivunja au kuzipuuza.
Siasa ni jumla ya vitu vingi katika taifa kwa...
Makamu Mwenyekiti CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameongoza kikao cha kwanza cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Zanzibar...
Nimesomo Mara nyingi melezo ya necta lakni Bado naona sababu zao za kutotangaza top ten ya watahiniwa na shule Haina mashiko kabisa.
1. Kama wanaamini mazingra ni tofauti bac wayaboreshe.
2...
Freean Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa
BAADA ya zuio lisilokuwa la kikatiba wala kisheria, la mikutano ya hadhara kwa muda mrefu, sasa ni wazi kwamba, Chadema wamezindua mikutano yao ya...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amefungua mradi wa Hoteli ya kisasa ya kitalii Emarald Resort na SPA, Matemwe, Mkoa wa Kaskazini Unguja. Leo tarehe 29...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye...
Watanzania ni watu wa ajabu sana.
Rais Hayati Magufuli aliamua kuoanga ama kuingilia upangaji wa bei za bidhaa kuwalinda walaji na wauzaji malalamiko yakawa mengi sana kwamba anapanga bei...
Kampeini kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020 zimeanza rasmi tarehe 26 Agosti, 2020. Vyama vya siasa vitakavyoshiriki uchaguzi vimeanza kunadi ilani, sera na wagombea wao. Katika kampeini...
Ndugu zangu watanzania,
Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema,kwa wafuatiliaji wa siasa Tuliona mapema kuwa upinzani utapata shida kubwa Sana majukwaani katika kujenga hoja zenye kuwashawishi na kuteka...
Lazima tutambue hapa kwamba CCM wanatumia strategy ile ya "Adui ya adui yangu ni rafiki yangu". Lakini ajabu kwamba spika amezidiwa mapema hivi, kiasi kwamba hata akiwapo kwenye kiti chake bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.