Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kariakoo ni kituko sehemu kama ile ningefikiria ndiyo iwe focal point ya ukusanyaji wa mapato lakini nenda duka lolote kariakoo ukanunue kitu alafu omba risiti uwone. Kwanza wana kali moja hiyo...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Nyerere alitoa usemi wa " Bila CCM Imara nchi yetu Itayumba" akiwa kama mwasisi wa CCM Nawauliza Watu mlio neutral, Je kauli Hiyo ya Nyerere bado inaishi? Mlale unono
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Mimi ni mmoja wa walioamini katika story ya Majaliwa Jackson kijana wa kihaya aliyeokoa abiria siku ile ya ajali ya Ndege ndani ya Ziwa Victoria. Nilipomuona anaongea katika runinga akihojiwa na...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Rais Samia Suluhu ameitisha kikao cha dharula na baraza la mawaziri kujadili ajali ya ndege ya precison iliyobeba uhai wa watu 19. Wakati ajali inatokea Rais Samia alikuwa nchini Misri. Mara ya...
6 Reactions
128 Replies
11K Views
Historia huenda ikajirudia kwa Rais wa JMT kuchukua maamuzi aliyofanya Rais Mwinyi Mwaka 1990. Baraza la Mawaziri linaweza kuvunjwa wakati wowote kuanzia sasa.
9 Reactions
88 Replies
10K Views
Mtanzania ukimpa sababu, umemaliza, ataitumia sababu hiyo kila sehemu. Ukizungumzia umasikini wa bongo watasema ni kwa sababu ya ukoloni ambao umeisha miaka 60 iliyopita lakini bado hakuna hatua...
0 Reactions
1 Replies
494 Views
I was listening to the key note speech by Prof. PLO Lumumba at the 3rd Anti-Corruption Convention that took place on 2nd December 2013 at Hotel Africana, Kampala, Uganda and I noted that it is an...
2 Reactions
12 Replies
11K Views
Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Hamis Juma anazungumza kwenye Uzinduzi wa Majengo ya Mahakama za Wilaya ya Mwanga na Same leo Novemba 15, 2022 Nurdin Hassan Babu - Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Hao Makamanda niliowataja hapo juu japo walikuja baada ya mimi kurejea CCM hakika nawakubali sana Shujaa Magufuli alitamani sana awe nao Kikosini lakini misimamo yao isiyoyumba wala kuyumbishwa...
16 Reactions
53 Replies
2K Views
Nimeanza kufuatilia mwenendo wa sekta yetu ya gesi tangu mwaka 2011. Toka kipindi hicho mpaka leo yamezungumzwa mengi sana kuhusu sekta yetu ya gesi. Sekta yetu inakasoro nyingi sana...
1 Reactions
4 Replies
596 Views
Habari za muda huu. Ni muda sasa nimekua nikifuatilia utendaji kazi wa Serikali ya awamu ya 5 na kiukweli nimejiridhisha kwamba baadhi ya mawaziri hawako "active" kama uongozi wa juu wa nchi...
9 Reactions
161 Replies
13K Views
Siku tukipata nafasi adhimu ya kuandika katika katiba mpya tuangalie kwa umakini muda wa wabunge. Miaka 5 kwa mbunge ni mingi sana, inapaswa ipunguzwe hadi angalau miwili na nusu au mitatu(3)...
2 Reactions
27 Replies
1K Views
Ifikapo mwaka 2030 Shida ya maji safi na salama Tanzania huenda ikasalia kuwa historia tu | Bajeti mpya ya maji ya Rais Samia ni karibu mara tatu zaidi ya ile ya FY2020|21. Rais Samia Suluhu...
20 Reactions
355 Replies
18K Views
"Serikali inawaomba wananchi wote kuendelea kuwa watulivu wakati uchunguzi huu unafanyika na baada ya uchunguzi kukamilika watajulishwa. Aidha, Baraza linawashukuru na kuwapongeza wote waliohusika...
12 Reactions
70 Replies
5K Views
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan aongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa, katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu ya...
8 Reactions
50 Replies
3K Views
=== Ni masaa machache tu baada ya kurejea kutoka katika Mkutano wa Dunia wa Uhifadhi wa Mazingira wa 27 yaani COP27 huko Nchini Misri, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri...
6 Reactions
65 Replies
4K Views
Nchi yoyote kabla haijaruhusu chakula kuuzwa nje ya mipaka yake inaangalia kwanza imezalisha kias gan na msimu wa mvua ulikuwaje. Leo hata mvua bado hazijaanza tayari kimenuka, mnapeleka mahindi...
11 Reactions
47 Replies
3K Views
Kama ulitegemea kuona majina makubwa katika nafasi mbalimbali za kuomba nafasi za ujumbe sahau kuhusu hilo. Ni Wakati mwingine ambao tunashuhudia Vijana wakiibuka katika nafasi mbalimbali ndani...
1 Reactions
2 Replies
614 Views
Swali: Ni kwanini ndege,mfano Njiwa, akitua kwenye waya wa umeme hafi kwa maana ya kunaswa? Usione aibu kujibu sema tu unachojua ili tujipime wenyewe uelewe wetu-elimu yetu. Mtu yeyote aliepata...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Hivi mnajisikia amani kweli Hata kujitambulisha kwa Vyeo vyenu wakati Dar es salaam haina maji! Ni Waziri wa Maji gani? Na DAWASA mna kazi gani maofisini? Nendeni likizo tujue Moja Wananchi...
2 Reactions
8 Replies
906 Views
Back
Top Bottom