Kariakoo ni kituko sehemu kama ile ningefikiria ndiyo iwe focal point ya ukusanyaji wa mapato lakini nenda duka lolote kariakoo ukanunue kitu alafu omba risiti uwone.
Kwanza wana kali moja hiyo...
Nyerere alitoa usemi wa " Bila CCM Imara nchi yetu Itayumba" akiwa kama mwasisi wa CCM
Nawauliza Watu mlio neutral, Je kauli Hiyo ya Nyerere bado inaishi?
Mlale unono
Mimi ni mmoja wa walioamini katika story ya Majaliwa Jackson kijana wa kihaya aliyeokoa abiria siku ile ya ajali ya Ndege ndani ya Ziwa Victoria. Nilipomuona anaongea katika runinga akihojiwa na...
Rais Samia Suluhu ameitisha kikao cha dharula na baraza la mawaziri kujadili ajali ya ndege ya precison iliyobeba uhai wa watu 19. Wakati ajali inatokea Rais Samia alikuwa nchini Misri.
Mara ya...
Historia huenda ikajirudia kwa Rais wa JMT kuchukua maamuzi aliyofanya Rais Mwinyi Mwaka 1990.
Baraza la Mawaziri linaweza kuvunjwa wakati wowote kuanzia sasa.
Mtanzania ukimpa sababu, umemaliza, ataitumia sababu hiyo kila sehemu. Ukizungumzia umasikini wa bongo watasema ni kwa sababu ya ukoloni ambao umeisha miaka 60 iliyopita lakini bado hakuna hatua...
I was listening to the key note speech by Prof. PLO Lumumba at the 3rd Anti-Corruption Convention that took place on 2nd December 2013 at Hotel Africana, Kampala, Uganda and I noted that it is an...
Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Hamis Juma anazungumza kwenye Uzinduzi wa Majengo ya Mahakama za Wilaya ya Mwanga na Same leo Novemba 15, 2022
Nurdin Hassan Babu - Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro...
Hao Makamanda niliowataja hapo juu japo walikuja baada ya mimi kurejea CCM hakika nawakubali sana
Shujaa Magufuli alitamani sana awe nao Kikosini lakini misimamo yao isiyoyumba wala kuyumbishwa...
Nimeanza kufuatilia mwenendo wa sekta yetu ya gesi tangu mwaka 2011.
Toka kipindi hicho mpaka leo yamezungumzwa mengi sana kuhusu sekta yetu ya gesi.
Sekta yetu inakasoro nyingi sana...
Habari za muda huu.
Ni muda sasa nimekua nikifuatilia utendaji kazi wa Serikali ya awamu ya 5 na kiukweli nimejiridhisha kwamba baadhi ya mawaziri hawako "active" kama uongozi wa juu wa nchi...
Siku tukipata nafasi adhimu ya kuandika katika katiba mpya tuangalie kwa umakini muda wa wabunge. Miaka 5 kwa mbunge ni mingi sana, inapaswa ipunguzwe hadi angalau miwili na nusu au mitatu(3)...
Ifikapo mwaka 2030 Shida ya maji safi na salama Tanzania huenda ikasalia kuwa historia tu
| Bajeti mpya ya maji ya Rais Samia ni karibu mara tatu zaidi ya ile ya FY2020|21.
Rais Samia Suluhu...
"Serikali inawaomba wananchi wote kuendelea kuwa watulivu wakati uchunguzi huu unafanyika na baada ya uchunguzi kukamilika watajulishwa. Aidha, Baraza linawashukuru na kuwapongeza wote waliohusika...
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan aongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa, katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu ya...
===
Ni masaa machache tu baada ya kurejea kutoka katika Mkutano wa Dunia wa Uhifadhi wa Mazingira wa 27 yaani COP27 huko Nchini Misri,
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri...
Nchi yoyote kabla haijaruhusu chakula kuuzwa nje ya mipaka yake inaangalia kwanza imezalisha kias gan na msimu wa mvua ulikuwaje. Leo hata mvua bado hazijaanza tayari kimenuka, mnapeleka mahindi...
Kama ulitegemea kuona majina makubwa katika nafasi mbalimbali za kuomba nafasi za ujumbe sahau kuhusu hilo.
Ni Wakati mwingine ambao tunashuhudia Vijana wakiibuka katika nafasi mbalimbali ndani...
Swali:
Ni kwanini ndege,mfano Njiwa, akitua kwenye waya wa umeme hafi kwa maana ya kunaswa?
Usione aibu kujibu sema tu unachojua ili tujipime wenyewe uelewe wetu-elimu yetu.
Mtu yeyote aliepata...
Hivi mnajisikia amani kweli Hata kujitambulisha kwa Vyeo vyenu wakati Dar es salaam haina maji!
Ni Waziri wa Maji gani?
Na DAWASA mna kazi gani maofisini? Nendeni likizo tujue Moja
Wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.