johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,891
- 141,824
Kizazi cha kwanza cha kisiasa kilihusisha Wanasiasa waliopigania Uhuru wa Nchi zetu mbili Tanganyika na Zanzibar na baadae kutuunganisha kuwa Nchi Moja
Kizazi cha pili kinahusisha Wanasiasa waliohudumu katika Mfumo wa CCM kikiwa Chama Pekee 1977 - 1992
Kizazi cha Tatu ndio hawa akina J J Mnyika, Zitto Kabwe, Dr Kigwangala, Halima Mdee, Dr Tulia nk....nk ambao wameanza Siasa ndani ya Mfumo wa vyama vingi
Sasa ukiiangalia CCM katika Uongozi wake bado inao Viongozi wa TANU na ukiwaangalia ACT Wazalendo bado wanao Viongozi wa ASP ndio hawa akina Steven Wassira, Lukuvi, Mkuchika, Mzee Duni Haji nk....nk
Chadema imekuwa na bahati ya kuwa na Viongozi wa Kizazi cha Tatu Hata Shujaa Magufuli ndio aliowapenda na kuwachukua kwa sababu Wana vibes za kileo
Hii ni faida kubwa sana kwa Chadema kwa sababu Vijana wao hawajarithi mivuto ya kisiasa kutoka kwa walezi wao wa Kizazi cha kwanza bali ni damu Mpya kwenye Siasa na Wapiga kura wa Chaguzi zijazo ni damu Mpya kwenye Siasa
CCM ina hazina ya Wazee lakini kwenye Dunia ya sasa mambo yanabadilika kwa kasi sana tunakoelekea uzee kwenye Siasa utakuwa siyo deal tena
Hili ni angalizo muhimu kwa CCM ili isibweteke, Sisi Wazee tuwaache Vijana watembee kwa miguu yao Wenyewe
J4 Ubarikiwe Sana!
Kizazi cha pili kinahusisha Wanasiasa waliohudumu katika Mfumo wa CCM kikiwa Chama Pekee 1977 - 1992
Kizazi cha Tatu ndio hawa akina J J Mnyika, Zitto Kabwe, Dr Kigwangala, Halima Mdee, Dr Tulia nk....nk ambao wameanza Siasa ndani ya Mfumo wa vyama vingi
Sasa ukiiangalia CCM katika Uongozi wake bado inao Viongozi wa TANU na ukiwaangalia ACT Wazalendo bado wanao Viongozi wa ASP ndio hawa akina Steven Wassira, Lukuvi, Mkuchika, Mzee Duni Haji nk....nk
Chadema imekuwa na bahati ya kuwa na Viongozi wa Kizazi cha Tatu Hata Shujaa Magufuli ndio aliowapenda na kuwachukua kwa sababu Wana vibes za kileo
Hii ni faida kubwa sana kwa Chadema kwa sababu Vijana wao hawajarithi mivuto ya kisiasa kutoka kwa walezi wao wa Kizazi cha kwanza bali ni damu Mpya kwenye Siasa na Wapiga kura wa Chaguzi zijazo ni damu Mpya kwenye Siasa
CCM ina hazina ya Wazee lakini kwenye Dunia ya sasa mambo yanabadilika kwa kasi sana tunakoelekea uzee kwenye Siasa utakuwa siyo deal tena
Hili ni angalizo muhimu kwa CCM ili isibweteke, Sisi Wazee tuwaache Vijana watembee kwa miguu yao Wenyewe
J4 Ubarikiwe Sana!