Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohammed Mchengerwa na Balozi wa Ujerumani nchini, Regine Hess, wameshuhudia kusainiwa kwa Mkataba wa Utekelezaji wa Mradi wa Bilioni 15 (Euro milioni 6), Kusaidia...
RAIS SAMIA NI KIONGOZI WA VITENDO
Na.Amon Nguma
Tumetimiza miaka miwili kwa mafanikio makubwa na sasa tumeingia mwaka wa tatu kwa kishindo kikubwa zaidi chini ya Uongozi wa Mama Mhe. Rais. Dkt...
Hii ndio Hali inayoendelea Kwa Sasa ,Mwenye shibe hamjui mwenye njaa.
Nchi Ina Vipaombele vya hovyo sana hii.
---
Waziri wa TAMISEMi, Angellah Jasmine Kairuki amewasilisha Bungeni Makadirio ya...
Akiwa ziarani hata sitaki kujua ni wapi makamu wa rais alitoa tamko na kuomba msmaha kwa watu kukasimamishwa barabarani kupisha msafara wake upite. Hili kwa maoni yangu hata kama halikumfurahisha...
Tumeshuhudia kanisa la mfalme Zumaridi, Word of Reconciliation Ministries (WRM) la anayejiita Nabii Suguye na Spirit Word Ministry la Ceasar Masisi yakifungiwa kwa sababu mbalimbali ambazo hasa...
Hivi huyu kijana mwenzetu ana usafi gani hata achafuliwe binafsi na kwa wafuatiliaji wenzangu wa siasa ndani ya ccm watatambua ridhiwani kikwete hana usafi wowote hata kuwa katika nafasi ya...
Ni vizuri kama hao watu wangepatana, kwa sababu they are on the same side. Inaoŋyesha kwamba makachero wanagombana wenyewe kwa wenyewe.
Mimi napinga hili ambalo naliona kama jaribio la kuwatisha...
Nimejiuliza sana tena sana, kwanini tunadanganyagwa na wanasiasa tusiowapenda kwa kupewa vijizawadi visivyo na tija maishani?
Wanasiasa hao huja na vijizawadi vya kipuuzi kama vile chumvi ya...
HOTUBA YA WAZIRI KIVULI WA UTUMISHI WA UMMA, UTAWALA BORA NA MUUNGANO-ACT WAZALENDO NDG. PAVU ABDALLAH JUMA KUHUSU MPANGO WA BAJETI WA OFISI YA RAIS- MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA...
Katika kusikiliza kipindi cha kuchangia mada ya kuhusiana na swala la ardhi ya Loliondo kupitia BBC leo Tarehe 10/04/2013 saa 7:15 jioni idhaa ya Kiswahili balozi waziri Kagasheki ameapa na kudai...
MAONI YAKO KUHUSU ELIMU KWA TAIFA LETU
MAONI yangu ni kuwa;
Kwanza nirejelee nini maana ya ELIMU.
ELIMU ni maarifa/ujuzi.wa kupambana na changa Moto za shughuri zako kujiletea maendeleo...
Ndugu wanaJF, nimeshangazwa na maneno niliyosoma kwenye gazeti la Mwananchi leo yaliyosema hivi "Kagasheki: CCM kazi ipo mwaka huu.."
''Hofu kuhusu nafasi ya CCM kwenye Uchaguzi Mkuu ujao...
Usiri uliopo kwenye ajira Tanzania unatokana na usiri uliopo katika mfumo wa uteuzi. Kama wakubwa wanapatikana Bila kuwepo mfumo rasmi basi hata wadogo nao watapatikana Kwa usiri mkubwa.
Kama...
Wandugu asalaam!
Kwanini mamlaka za Dunia zinamfanya maskini kuwa kijiko Cha kuchotea ubwabwa? Sisi wapanga foleni wakati wa kupiga kura! Na sisi ndio wapambe wakati wa kampeni. Baada ya uchaguzi...
Mfumo wetu wa ajira nchini hasa ajira rasmi upo mikononi mwa wanasiasa. Leo wanasiasa wanaweza wakaamua Nani aajiriwe kwenye sekta binafsi au sekta ya umma. Wanasiasa pia wanaweza kuamua Nani...
Wasalaam ,
Hongera mhe Mbunge kwa kutetea tatizo kubwa la ajira hapa nchini hasa ktk Wizara ya Maliasili wakati akichangia Wizara ya Utumishi & Utawala Bora kwamba tatizo la ajira nchini limekuwa...
Wadau wa Haki ya Kupata Habari (CoRI), wamewaomba wabunge kuwasikiliza wanahabari ili kubeba mapendekeo yaliyoachwa kwenye Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Habari uliowasilishwa Februari 10...
UFANISI Vs CHANGAMOTO ZA KIFEDHA NCHINI. NANI TUMPE MAUA YAKE MAPEMA?
Popote duniani wasifu wa fedha unategemea mambo kadhaa.
1. Hali ya uchumi wa nchi
2. Ufanisi wa sekta za umma na zile...
Mali za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zipo hatarini kukamatwa na Kampuni ya M/s Laemthong Rice Company Ltd inayoidai Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kiasi cha Dola za Marekani...
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Kijiji cha Kwa Msisi Mkoani Tanga ambapo imeombwa kwanza hela ya Tambiko mil 21 ili ujenzi wa barabara unaohusisha ukataji wa miti uendelee.
Tambiko la pili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.