Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Source: Mwananchi Newspaper Ijumaa, Januari 27, 2023. Muktasari: "Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kada wake, Nemes Tarimo aliyefia vitani nchini Ukraine akitetea masilahi ya...
2 Reactions
11 Replies
917 Views
Wakuu habari za leo, Naomba radhi kwa watakaoelewa tofauti na nilivyoelewa mimi. Niwashirikishe katika maswali niliyoulizwa na Babu mmoja jana kwenye kituo cha daladala ambacho kina pilikapilika...
0 Reactions
13 Replies
829 Views
Mabadiliko ya kweli kwenye nchi huletwa pale tu vijana wanapohamasika kujihusisha na siasa. Vijana wanaweza kubomoa au kujenga nchi. Kiongozi dhalimu Charles Taylor aliwatumia vijana kujiwezesha...
3 Reactions
13 Replies
867 Views
Hawana tofauti na zile kampuni za kukodishwa kulia na kuomboleza misibani! Ambao huweza kulia kwa machozi tosha,ilhali hata Marehemu mwenyewe hawakuwahi kumuona kavla ya kufariki. Achilia mbali...
0 Reactions
6 Replies
658 Views
Maisha mwendo mdundo.Bila shaka taifa litaanza kupata madini kupitia udaktari wa heshima, udaktari huu pia anao mbunge Musukuma. Bado nafuatilia chuo kilichompa udaktari huo Hureee vijana
4 Reactions
7 Replies
764 Views
Ni miaka 62 imepita baada ya Tanzania kupata uhuru kamili. Lakini ukiniuliza ni faida gani tumepata kwa kuwa huru, sina jibu. 1.Hatuna uhuru wa kisiasa. Siasa yetu bado inasimamiwa na mabeberu...
0 Reactions
10 Replies
980 Views
Kwanza napenda kumshukuru Mungu Kwa uhai huu na muujiza mkubwa ambao ameufanya Kwa Tundu Lissu. Pia namshukuru Mungu Kwa kumuondosha haraka kwenye USO wa Dunia bazazi aliyengia disco na jambia au...
9 Reactions
24 Replies
2K Views
Baraza Kuu la Chama cha Wananchi CUF limeitaka Urusi kukoma mara Moja kuwatumia Watanzania kwenye Vikosi vyake Vitani CUF wamesema jambo hilo halikubaliki kabisa Chanzo: Mwanzo tv
3 Reactions
18 Replies
977 Views
Mliposusia ruzuku Katibu mkuu mh Mnyika alitutangazia nasi tukawapongeza Vivyo hivyo mtakapoanza kupokea tena kama bado mtujulishe Wadau ili tuwapongeze tena Jumaa kareem!
0 Reactions
1 Replies
607 Views
VIONGOZI WAKUU WA KANISA LA EVANGELICAL ASSEMBLESS OF GOD OF TANZANIA [E.A.G.T] AKIWEMO ASKOFU MKUU WACHUNGUZWA KWA RUSHWA Ndugu WanaHabari, Kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na...
8 Reactions
208 Replies
37K Views
Wananchi nawasabahi, Kabla ya mfumo wa vyama vingi kulikuwa na chama kimoja cha siasa nacho ni CCM, hivyo CCM haikuwa na chama rafiki kwa humu nchini. Baada ya mfumo wa vyama vingi kuruhusiwa...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Tundu Lissu amerudi nchini na tunategemea joto la ushindani wa kisiasa litapanda kwa faida ya umma. Nina mambo matatu ya kujadili kuhusu TL, Muda umebadilika na inabidi atulie aangalie muelekeo...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Leo nimejikuta nakumbuka mambo mbalaimbali tuliyopitia Kama taifa kwa nyakat tofauti ambayo yalizua simanzi na taharuki lakini yakapita hivihvi bila kupewa mrejesho ingawa wahusika hukaa mbele ya...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Siwasikii tena wazanzibari mkilalamikia kuwa serikali ya Tanganyika imejivika koti la Muungano na Yale makero ya Muungano siku hizi kimyaa nini kimewasibu Wazanzibari? Au ndio utamaduni wa...
0 Reactions
0 Replies
305 Views
Kufuatia mikutano ya vyama vya siasa kuruhusiwa na Mh. Tundu Lissu kurejea nyumbani, kujua atakuwa wapi mheshimiwa huyu kwa mikutano hii ingependeza sana. "Si waswahili wanasema mgeni aje...
3 Reactions
10 Replies
814 Views
Siku ya jana na Leo limezuka gumzo mtandaoni la picha za Lissu na Dada wa Chadema aliyevaa mkoba wenye rangi rangi zile za Upinde(LGBTQ). Wengi wanamshutumu Lissu na kumsema vibaya. Lakini Mimi...
5 Reactions
39 Replies
6K Views
Tumeshuhudia kwa mfano akina Halima Mdee na wenzake Rufaa yao imechukua zaidi ya Mwaka mmoja kuweza kusikilizwa na Baraza Kuu Sasa hii ni Katiba ya namna gani inayominya utoaji wa Haki kwa...
2 Reactions
10 Replies
571 Views
Waziri Ummy Mwalimu amesema tatizo la ugumba bado ni kubwa nchini, " mpaka sasa hakuna takwimu rasmi za kitaifa ila utafiti mdogo ambao unaonesha 30% ya watu wana tatizo la ugumba, Duniani...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wote tunajua kwamba Shujaa Magufuli alichangia takribani tsh 38 milioni kama mwanafamilia wa Mchungaji Msigwa ili zijazie bakuli la kulipia Faini Viongozi wa CHADEMA waliokuwa wamefungwa Jela...
3 Reactions
58 Replies
2K Views
Kulalamika bila kuweka facts hakusaidii lolote Inaeleweka wazi kabisa Wazanzibari wote ni Watanzania lakini Siyo Watanzania wote ni Wazanzibari Very simple Jumaa kareem!
1 Reactions
6 Replies
855 Views
Back
Top Bottom