Hiki ndicho alichokiandika RC Mstaafu David Kafulila kwenye akaunti yake ya tweeter baada ya mjadala mkali Bungeni na hofu ya Watanzania juu ya ukubwa wa deni la Taifa kwa Sasa
Huenda Kafulila...
Kumekuwa na kelele nyingi kutoka kwa baadhi ya Wanachama wa Chadema tena wengine Viongozi mfano ni Sugu, Heche, pambalu na Wanaharakati wengi wakipinga kwa nguvu zote kuwa Kijana Majaliwa...
Je wajua?
Katika kipindi cha Mwezi Octoba 2022, Serikali chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imeendelea kufanya vizuri katika maeneo yote muhimu kiuchumi?
MFUMUKO WA BEI- Umeendelea...
Maamuzi hayo yanatarajiwa kufanywa na Serikali ya Mtaa wa Bwawani Kata ya Kijitonyama, Dar es Salaam kwa wale watakaokaidi kulipa kutoa ushirikiano kwa ulinzi shirikishi.
Mwenyekiti wa Bwawani...
Habari za muda wakuu.
Mh.Rais akiwa Tanga mchana wa leo aliwaambia wananchi kwamba baadhi ya mawaziri katika Serikali yake ni Wapumbavu.
Alitoa mfano wa Profesa Muhongo aliyemwagiza kuhakikisha...
Habari za Weekend!
Naumia sana moyoni mwangu kutokana na sisi Wabunge wa Chama cha Mapinduzi kukaa kimya kabisa kama hakuna kilichotokea hapa juzi juzi baada ya Mbunge mwenzetu mtanzania mwenzetu...
Habari za muda huu!
Awali ya yote nieleze masikitiko yangu juu ya matukio ( kashfa ya Chama changu) kuhusishwa na vitendo vya Rushwa . Kiukweli nimeumia sana sana kwa kifupi haielezeki.
Ninaona...
Wapinzani kwa sasa mna machaguo (option) mbili tu.aidha mtapata tabu sana au mtapata raha sana.ni wavumilivu tu watakaopita katika wimbi hili.
Tanzania kwa sasa inapitia katika mabadiliko makubwa...
Matayarisho ya kesho ni lazima yafanywe Leo kwa mbinu na nguvu zote ili Kesho inapofika tuwe tayari kwa mapambano, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi...
Chanel ten naanza kuiona ikifa polepole Yani nimeangalia taarifa yake ya habari Leo amesifiwa binadamu mmoja tu Kila habari anatajwa yeye tu Yani hata kwa kulazimishia aisee inaboa Sana hii nchi...
Nina hakika mtandao maji ya Dawasa haujtandaa Dar yote.
Ni baadhi ya maeneo tu ndio kuna mtanado huo
Sasa hao wanaokaaa madongo poromoka mnawafikiria vipi na wao?
Mtakuwa mnajaza waterbowser na...
Siku Saba zilizopita shirika la habari la Ujerumani DW wametoa makala nzuri sana kuelezea upekee wa Reli ya Tazara inayotoka Tanzania hadi Ndola nchini Zambia.
Wameelezea upekee wa reli hii na...
Kwa zaidi ya miezi mitatu mfululizo, jiji la Mwanza limekuwa na uhaba mkubwa wa maji unao ongezaka kila kukicha. Chanzo chake cha maji ni Ziwa Victoria. Sababu zinazotolewa ni pamoja na ukame...
Ninawalaani waliofanya kitendo cha kinyama kutuondolea uhai wa mpambanaji Marehemu Alphonce mawazo, Mungu pekee ndiye mwenye kujua adhabu yao siku ya kiama.
Siasa za Shujaa huyu hazikua...
Mambo matatu natamani Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ayafanyie kazi na kuchukua hatua kuhusu ajali hii ya Precision air huko Bukoba.
1. Uwajibikaji.
Mh. Samia Suluhu Hassan
tunaomba uwajibishe...
Natoa tu angalizo kwa Chama changu CCM kwa sababu nawaona Chadema wameanza kujipanga
Nakumbuka 2015 ilibidi Dr Slaa na Mchungaji Mtikila waandaliwe vipindi Star tv ilu kuwakabili Mzee Lowassa na...
DIPLOMASIA BORA NI MSINGI WA UCHUMI IMARA
Na Elius Ndabila
0768239284
Diplomasia ni nadharia ambayo tumekuwa tunaitumia sana tukiwa tunalenga uhusiano baina ya mataifa duniani. Leo nitazungumzia...
Tumeona baadhi ya wanachama wa vyama wakikimbilia mahakamani kutafuta haki kwa nafasi zinazohusu uongozi ndani ya vyombo vya dola kama bunge na serikali kama ilivyotokea kwa wabunge 19 wa CHADEMA...
ACT Wazalendo wameitisha kikao cha dharura cha Kamati kuu kujadili Kwanini Rais Dr Mwinyi kamteua Mkurugenzi yule yule wa 2020 kuendelea na Majukumu yake.
Lakini huku Tanganyika Dr Mahera yule...
Kuna Mzalendo kafanikiwa kunyaka huu waraka kutoka VODACOM. Angalieni hawa mafisadi wanavyotumia madaraka vibaya. Wanauza uongozi wa nchi kwa maslahi yao binafsi. Huu ndio mwanzo wa mwisho waanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.