Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hiki ndicho alichokiandika RC Mstaafu David Kafulila kwenye akaunti yake ya tweeter baada ya mjadala mkali Bungeni na hofu ya Watanzania juu ya ukubwa wa deni la Taifa kwa Sasa Huenda Kafulila...
14 Reactions
138 Replies
6K Views
Kumekuwa na kelele nyingi kutoka kwa baadhi ya Wanachama wa Chadema tena wengine Viongozi mfano ni Sugu, Heche, pambalu na Wanaharakati wengi wakipinga kwa nguvu zote kuwa Kijana Majaliwa...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Je wajua? Katika kipindi cha Mwezi Octoba 2022, Serikali chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imeendelea kufanya vizuri katika maeneo yote muhimu kiuchumi? MFUMUKO WA BEI- Umeendelea...
0 Reactions
4 Replies
498 Views
Maamuzi hayo yanatarajiwa kufanywa na Serikali ya Mtaa wa Bwawani Kata ya Kijitonyama, Dar es Salaam kwa wale watakaokaidi kulipa kutoa ushirikiano kwa ulinzi shirikishi. Mwenyekiti wa Bwawani...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari za muda wakuu. Mh.Rais akiwa Tanga mchana wa leo aliwaambia wananchi kwamba baadhi ya mawaziri katika Serikali yake ni Wapumbavu. Alitoa mfano wa Profesa Muhongo aliyemwagiza kuhakikisha...
45 Reactions
721 Replies
100K Views
Habari za Weekend! Naumia sana moyoni mwangu kutokana na sisi Wabunge wa Chama cha Mapinduzi kukaa kimya kabisa kama hakuna kilichotokea hapa juzi juzi baada ya Mbunge mwenzetu mtanzania mwenzetu...
29 Reactions
149 Replies
15K Views
Habari za muda huu! Awali ya yote nieleze masikitiko yangu juu ya matukio ( kashfa ya Chama changu) kuhusishwa na vitendo vya Rushwa . Kiukweli nimeumia sana sana kwa kifupi haielezeki. Ninaona...
38 Reactions
201 Replies
18K Views
Wapinzani kwa sasa mna machaguo (option) mbili tu.aidha mtapata tabu sana au mtapata raha sana.ni wavumilivu tu watakaopita katika wimbi hili. Tanzania kwa sasa inapitia katika mabadiliko makubwa...
7 Reactions
109 Replies
10K Views
Matayarisho ya kesho ni lazima yafanywe Leo kwa mbinu na nguvu zote ili Kesho inapofika tuwe tayari kwa mapambano, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi...
0 Reactions
2 Replies
577 Views
Chanel ten naanza kuiona ikifa polepole Yani nimeangalia taarifa yake ya habari Leo amesifiwa binadamu mmoja tu Kila habari anatajwa yeye tu Yani hata kwa kulazimishia aisee inaboa Sana hii nchi...
12 Reactions
55 Replies
6K Views
Nina hakika mtandao maji ya Dawasa haujtandaa Dar yote. Ni baadhi ya maeneo tu ndio kuna mtanado huo Sasa hao wanaokaaa madongo poromoka mnawafikiria vipi na wao? Mtakuwa mnajaza waterbowser na...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Siku Saba zilizopita shirika la habari la Ujerumani DW wametoa makala nzuri sana kuelezea upekee wa Reli ya Tazara inayotoka Tanzania hadi Ndola nchini Zambia. Wameelezea upekee wa reli hii na...
14 Reactions
148 Replies
11K Views
Kwa zaidi ya miezi mitatu mfululizo, jiji la Mwanza limekuwa na uhaba mkubwa wa maji unao ongezaka kila kukicha. Chanzo chake cha maji ni Ziwa Victoria. Sababu zinazotolewa ni pamoja na ukame...
2 Reactions
2 Replies
650 Views
Ninawalaani waliofanya kitendo cha kinyama kutuondolea uhai wa mpambanaji Marehemu Alphonce mawazo, Mungu pekee ndiye mwenye kujua adhabu yao siku ya kiama. Siasa za Shujaa huyu hazikua...
7 Reactions
14 Replies
4K Views
Mambo matatu natamani Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ayafanyie kazi na kuchukua hatua kuhusu ajali hii ya Precision air huko Bukoba. 1. Uwajibikaji. Mh. Samia Suluhu Hassan tunaomba uwajibishe...
5 Reactions
28 Replies
2K Views
Natoa tu angalizo kwa Chama changu CCM kwa sababu nawaona Chadema wameanza kujipanga Nakumbuka 2015 ilibidi Dr Slaa na Mchungaji Mtikila waandaliwe vipindi Star tv ilu kuwakabili Mzee Lowassa na...
4 Reactions
36 Replies
2K Views
DIPLOMASIA BORA NI MSINGI WA UCHUMI IMARA Na Elius Ndabila 0768239284 Diplomasia ni nadharia ambayo tumekuwa tunaitumia sana tukiwa tunalenga uhusiano baina ya mataifa duniani. Leo nitazungumzia...
0 Reactions
3 Replies
817 Views
Tumeona baadhi ya wanachama wa vyama wakikimbilia mahakamani kutafuta haki kwa nafasi zinazohusu uongozi ndani ya vyombo vya dola kama bunge na serikali kama ilivyotokea kwa wabunge 19 wa CHADEMA...
0 Reactions
14 Replies
785 Views
ACT Wazalendo wameitisha kikao cha dharura cha Kamati kuu kujadili Kwanini Rais Dr Mwinyi kamteua Mkurugenzi yule yule wa 2020 kuendelea na Majukumu yake. Lakini huku Tanganyika Dr Mahera yule...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Kuna Mzalendo kafanikiwa kunyaka huu waraka kutoka VODACOM. Angalieni hawa mafisadi wanavyotumia madaraka vibaya. Wanauza uongozi wa nchi kwa maslahi yao binafsi. Huu ndio mwanzo wa mwisho waanza...
17 Reactions
366 Replies
43K Views
Back
Top Bottom