Source:
Mwananchi Newspaper
Ijumaa, Januari 27, 2023.
Muktasari:
"Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kada wake, Nemes Tarimo aliyefia vitani nchini Ukraine akitetea masilahi ya...
Wakuu habari za leo,
Naomba radhi kwa watakaoelewa tofauti na nilivyoelewa mimi. Niwashirikishe katika maswali niliyoulizwa na Babu mmoja jana kwenye kituo cha daladala ambacho kina pilikapilika...
Mabadiliko ya kweli kwenye nchi huletwa pale tu vijana wanapohamasika kujihusisha na siasa. Vijana wanaweza kubomoa au kujenga nchi. Kiongozi dhalimu Charles Taylor aliwatumia vijana kujiwezesha...
Hawana tofauti na zile kampuni za kukodishwa kulia na kuomboleza misibani!
Ambao huweza kulia kwa machozi tosha,ilhali hata Marehemu mwenyewe hawakuwahi kumuona kavla ya kufariki. Achilia mbali...
Maisha mwendo mdundo.Bila shaka taifa litaanza kupata madini kupitia udaktari wa heshima, udaktari huu pia anao mbunge Musukuma.
Bado nafuatilia chuo kilichompa udaktari huo
Hureee vijana
Ni miaka 62 imepita baada ya Tanzania kupata uhuru kamili. Lakini ukiniuliza ni faida gani tumepata kwa kuwa huru, sina jibu.
1.Hatuna uhuru wa kisiasa. Siasa yetu bado inasimamiwa na mabeberu...
Kwanza napenda kumshukuru Mungu Kwa uhai huu na muujiza mkubwa ambao ameufanya Kwa Tundu Lissu.
Pia namshukuru Mungu Kwa kumuondosha haraka kwenye USO wa Dunia bazazi aliyengia disco na jambia au...
Baraza Kuu la Chama cha Wananchi CUF limeitaka Urusi kukoma mara Moja kuwatumia Watanzania kwenye Vikosi vyake Vitani
CUF wamesema jambo hilo halikubaliki kabisa
Chanzo: Mwanzo tv
Mliposusia ruzuku Katibu mkuu mh Mnyika alitutangazia nasi tukawapongeza
Vivyo hivyo mtakapoanza kupokea tena kama bado mtujulishe Wadau ili tuwapongeze tena
Jumaa kareem!
VIONGOZI WAKUU WA KANISA LA EVANGELICAL ASSEMBLESS OF GOD OF TANZANIA [E.A.G.T] AKIWEMO ASKOFU MKUU WACHUNGUZWA KWA RUSHWA
Ndugu WanaHabari,
Kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na...
Wananchi nawasabahi,
Kabla ya mfumo wa vyama vingi kulikuwa na chama kimoja cha siasa nacho ni CCM, hivyo CCM haikuwa na chama rafiki kwa humu nchini.
Baada ya mfumo wa vyama vingi kuruhusiwa...
Tundu Lissu amerudi nchini na tunategemea joto la ushindani wa kisiasa litapanda kwa faida ya umma. Nina mambo matatu ya kujadili kuhusu TL,
Muda umebadilika na inabidi atulie aangalie muelekeo...
Leo nimejikuta nakumbuka mambo mbalaimbali tuliyopitia Kama taifa kwa nyakat tofauti ambayo yalizua simanzi na taharuki lakini yakapita hivihvi bila kupewa mrejesho ingawa wahusika hukaa mbele ya...
Siwasikii tena wazanzibari mkilalamikia kuwa serikali ya Tanganyika imejivika koti la Muungano na Yale makero ya Muungano siku hizi kimyaa nini kimewasibu Wazanzibari? Au ndio utamaduni wa...
Siku ya jana na Leo limezuka gumzo mtandaoni la picha za Lissu na Dada wa Chadema aliyevaa mkoba wenye rangi rangi zile za Upinde(LGBTQ).
Wengi wanamshutumu Lissu na kumsema vibaya. Lakini Mimi...
Tumeshuhudia kwa mfano akina Halima Mdee na wenzake Rufaa yao imechukua zaidi ya Mwaka mmoja kuweza kusikilizwa na Baraza Kuu
Sasa hii ni Katiba ya namna gani inayominya utoaji wa Haki kwa...
Waziri Ummy Mwalimu amesema tatizo la ugumba bado ni kubwa nchini, " mpaka sasa hakuna takwimu rasmi za kitaifa ila utafiti mdogo ambao unaonesha 30% ya watu wana tatizo la ugumba, Duniani...
Wote tunajua kwamba Shujaa Magufuli alichangia takribani tsh 38 milioni kama mwanafamilia wa Mchungaji Msigwa ili zijazie bakuli la kulipia Faini Viongozi wa CHADEMA waliokuwa wamefungwa Jela...
Kulalamika bila kuweka facts hakusaidii lolote
Inaeleweka wazi kabisa Wazanzibari wote ni Watanzania lakini Siyo Watanzania wote ni Wazanzibari
Very simple
Jumaa kareem!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.