Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hao watu (wana CCM) wanachukiana mno na siku ikitimu ya wao kulipana visasi amini nawaambia kwacho kitakuwa kisasi cha kutisha! CCM hawapendani hatari na sababu hasa ni maslahi yao binafsi na...
5 Reactions
1 Replies
521 Views
Huyu ndiye aliyekuwa mbunge wa Temeke kabla ya kuangushwa 2015 , lakini 2020 amerudi tena .
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Ili kunogesha siasa za nchi yetu nashauri wanasiasa wote ndani ya CCM na nje ya CCM wanaoona wanaweza kuwa marais wa nchi watangaze mapema waanze kujijenga na kutoa sera zao mbadala mapema. Watu...
2 Reactions
4 Replies
515 Views
Najiuliza Huyu Dkt. Bashiru ni mjamaa? Maana wajamaa ndio hupenda kutumia hili Neno Wanyonyaji Wakati wa Nyerere tuliimba "Mabepari walia kukatiwa mirija ya unyonyaji walipotangaziwa Azimio la...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
“Kama Dr. Bashiru ni msomi kama mimi, ana PhD kama yangu inakuwaje tusimsifu Rais Samia. Ni mradi gani ambao leo umesimama. Anasimama mtu mmoja anakatisha watu tamaa. Haya mazuri yote yanayofanywa...
10 Reactions
58 Replies
6K Views
Mimi binafsi kama kijana wa kitanzania, ambaye utawala wa awamu ya Tano nusu unitoe roho Kwa presha pale nilipoenda TRA na kukutana na kikosi kazi kilichoundwa na Mh. Makamu wa Rais wa Sasa enzi...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Si kila kitu cha kusifia, kwani kuupiga mwingi ndio matokeo mazuri, au ndio kupata ushindi? Hata kwenye Football, unaweza uupigwe mwingi alafu ufungwe tu, yani unaupigwa mwingi alafu hupati...
6 Reactions
16 Replies
889 Views
Nimeona mwana-CCM mmoja amevaa t-shirt yenye maneno hayo muda si mteu hapa Dodoma mjini. Swali ni je, tuko kwenye kampeni? Pili, kwasababu uchaguzi uliopita Samia hakugombea uraisi, bali...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Baada ya kusuasua kukamilika kwa mradi wa Dege Eco Village kwa thamani ya dola 653 milioni za Marekani (zaidi ya Sh1.3 trilioni), Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) lililokuwa...
12 Reactions
198 Replies
19K Views
Tulionya umeme wa maji sio wa uhakika kwa sababu mvua hazitabiriki siku hizi kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa duniani. Umeme wa uhakika ungekuwa ule wa gesi kule kusini. Lakini watu...
14 Reactions
56 Replies
2K Views
Sijafurahishwa na mfululizo wa kejeli, matusi na majibu dhidi ya Dr. Bashiru mara baada ya yeye kutumia Uhuru wa kikatiba wa kujieleza. Nafahamu akiwa "mtoto pendwa" awamu ya 5 Dr. Bashiru...
29 Reactions
131 Replies
8K Views
Kwanini mnafanya jambo la nchi kama personal ama family issues? Unapofail katika jukumu la kitaifa, ukionekana hutoshi mahala kama unajua hilo ni jambo la kitaifa na sio personal basi ni rahisi...
9 Reactions
10 Replies
987 Views
Kwako mheshimiwa sana Rais Samia Suluhu Hassan tunakuomba sasa ufufue ule mjadala wa nchi kujiunga kwa mkataba wa EPA. Binafsi naona hakukua na mjadala mpana na wenye tija juu ya nchi kuridhia au...
0 Reactions
0 Replies
530 Views
Huyu mbunge wa Mtera bwana Livingston Lusinde ana kiherehere sana. Ila analiwa timing. Asidhani Kinana, Mkwere, Nape, Makamba sr &jr pamoja na Membe wamemsahau. Enzi za Jiwe aliwatukana sana kwa...
13 Reactions
32 Replies
2K Views
Mungu ni mwema sana sana. Hivi sasa roho wa uharibifu ameanza kumalizia kazi yake ndani ya CCM, na tukae mkao wa soap series yenye maeneo mengi ya wanaCCM kutafunana wenyewe kwa wenyewe huku...
8 Reactions
43 Replies
3K Views
Ni wazi kwamba watu wenye uroho wa madaraja, wanayataka hata kama eakimeaga damu, ambao walikuwa hawamtaki SSH, na Wana kundi lao dogo sana linaloongozwa na NDULI Bashiru (chasaka wa kisiasa...
4 Reactions
60 Replies
4K Views
Binadamu wenye upeo mdogo na wapendao sifa na kujipendekeza ni wepesi sana kusahau au kushindwa kujifunza kulingana na yanayowatokea huku wakidhani na wengine nao wanavichwa vya kusahau kama wao...
15 Reactions
7 Replies
982 Views
Mijadala mingi katika mitandao yetu ya kijamii inajikita katika kulinda madaraka ya baadhi ya watu. Mwananchi wa kawaida anakosa majibu ya maswali anayokutana nayo kila siku. Huyu ana mfukuza...
1 Reactions
0 Replies
301 Views
SUMAYE AREJEA RASMI CCM Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye leo Februari 10, 2020 ametangaza kurudi Chama cha Mapinduzi (CCM) Disemba 4, 2019 alitangaza kuachana na CHADEMA huku akidai...
22 Reactions
366 Replies
37K Views
"Kwenye dini tunafundishwa kushukuru. Yeye (Dkt Bashiru Ally) alipaswa kuwa chawa mkuu sababu Ubunge wake unatoka Ikulu (kuteuliwa). Mtu ambaye ugali wake unatokana na Ikulu, anakerekage Ikulu...
8 Reactions
51 Replies
3K Views
Back
Top Bottom