Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,813
- 11,991
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 18 leo Mei 4, 2023.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Tulia Ackson amewataka wabunge Kulipa TBA kodi ya nyumba wanazokaa ili kuiwezesha kutekeleza majukumu yake kabla hawajafukuzwa kwenye nyumba hizo.
Spika Tulia amesema "Mheshimiwa ametaja hoja ya kukaa bure, wabunge wengi mnadaiwa kodi na TBA. Wabunge mnaodaiwa kodi na TBA muilipe TBA ili iweze kufanya majukumu yake. Nasema hivyo sababu nina barua zenu, itakapofika muda wa kufukuzwa huko kwenye majumba msinifuate mimi, nendeni mkalipe ili TBA ifanye kazi yake."
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Tulia Ackson amewataka wabunge Kulipa TBA kodi ya nyumba wanazokaa ili kuiwezesha kutekeleza majukumu yake kabla hawajafukuzwa kwenye nyumba hizo.
Spika Tulia amesema "Mheshimiwa ametaja hoja ya kukaa bure, wabunge wengi mnadaiwa kodi na TBA. Wabunge mnaodaiwa kodi na TBA muilipe TBA ili iweze kufanya majukumu yake. Nasema hivyo sababu nina barua zenu, itakapofika muda wa kufukuzwa huko kwenye majumba msinifuate mimi, nendeni mkalipe ili TBA ifanye kazi yake."