johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,119
Abdul Nondo amesema hakuna mtu mwenye Hati miliki ya Jimbo hivyo 2025 atakwaana na boss wake Zitto Kabwe Kwenye kura za Maoni ACT Wazalendo kugombea Ubunge Kigoma mjini
Sasa ndugu zangu wa Chadema Wagombea wenu ni wale wale miaka nenda rudi, badilikeni kwa mfano Mbeya mjini siyo lazima agombee Sugu au Iringa mjini siyo lazima agombee mchungaji Msigwa
Ni hayo tu!
Sasa ndugu zangu wa Chadema Wagombea wenu ni wale wale miaka nenda rudi, badilikeni kwa mfano Mbeya mjini siyo lazima agombee Sugu au Iringa mjini siyo lazima agombee mchungaji Msigwa
Ni hayo tu!