Kwa Sasa kila mwanaccm anasimama na kusema chochote huku huyu akimtisha yule
Najiuliza tu mtatuzi wa migogoro mingi ndani ya Chama alikuwa Mzee Mkapa na Wote walimwogopa
Sasa Mkapa amelala, je...
Katika suala ambalo napenda kuwaasa watanzania wenzangu.
Siasa ni mchezo kama michezo mingine.
Tushindane kwa hoja sio kutishana wala kuwekeana maneno ya ugomvi.
Tujibizane kwa hoja ndio siasa...
Sasa leo wameanza kukiri waenyewe tena wazi wazi kabisa, mwanzoni tuliambiwa sijui wanajiteka wenyewe mara walikua mafisadi.
--
“Wakati wa serikali ya awamu ya tano,tulilalamika hata Bungeni...
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Leo katika kipindi cha uchambuzi wa magazeti kupitia redio ya Wasafi FM, imeelezwa kwamba wale wafanyabiashara walioporwa mabilioni ya fedha na kikosi kazi...
Kwa mateso wanayoyapata wananchi wa kanda ya ziwa baada ya kifo cha mpendwa wao, ni wazi wananchi wa Geita hawamuelewi Joseph Musukuma anakotaka kuwapeleka.
Hadi sasa wananchi wa Geita vijijini...
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka kuwa mgeni rasmi kwenye tamasha la " The Big Praise CONCERT " FPCT KURASINI kesho tarehe 20|11|2022 kuanzia...
Kiutani utani tu popularity ya Bashiru imeongezeka ghafla Sana yeye ni Team Hustlers anawapigania wanyonge wacha nao wanaowapigania mabwenyenye tuwaone wanaendeleaje
CCM imejaa unafiki wa hali ya juu,hakifai hata kidogo kuongoza dola.
Pia soma > Nape ataka Akaunti ya Deni la Taifa ichunguzwe na iwekwe bayana Fedha hizo zilikopwa na kupelekwa wapi?
Niwatakie...
Kipimo kilekile alichotumia Dkt. Bashiru akiwa Katibu mkuu wa CCM kuwapimia Membe, Kinana na Makamba ndicho kinatumiwa sasa kumpima yeye mwenyewe
Mrema akiwa Waziri wa mambo ya Ndani aliagiza...
Wazo hili sio la kubomoa umoja wetu ila
Ni kutaka tuwe na maendeleo ya haraka
Na kupunguza majukumu mengi kwa serekali kuu
Wazo langu ni kuwa kwanini kila mkoa hapa TZ usiwe na premier ministre...
Walimuita Magufuli mshamba kwa maana wao wajanja. Ujanja wenyewe kupiga dili kuhujumu maendeleo ya nchi.
Awamu ya nne tuliambiwa gesi ndio itatatua tatizo la umeme. Tukaacha kwanza mpango wa...
Unaona tu jinsi ambavyo Rais anapambana. Hatulii nyumbani. Akitafuta pesa. Ila kuna watu watakuwa wanamkwamisha. Uongo?
Ukikaa ukatizama utaona kuna watu wanampotosha sana Rais. Wanamdanganya...
CCM wanamuogopa B. Membe? Kwanini kauli hii ya Katibu Mkuu?
Nimejiuliza kwanini asingeonywa badala yake wanamfukuza tena wanamtaka ombe radhi na kurudi?
"Milango wanachama waliofukuzwa kuomba...
Naamini amjambo,
Wakuu nawakalibisha katika mjadala huu wenye nia njema ya kupata mawazo ya nini kifanyike kuliponya taifa letu pendwa la Tanzania,
Kwa watu wanao penda kufatilia siasa kama mimi...
UMATI UCHAGUZI WA CCM NI SALAMU ZA TSUNAMI 2024-2025.
Shaka asema idadi hiyo kubwa inatokana na uongozi bora wa Rais Samia,
Asisitiza uchaguzi wa mwaka huu umevunja rekodi kwa kuwa haijawahi...
Maliyamungu na Goebbels walikuwa ni majinamizi kwenye nchi zao. Walikuwa ni majini yaliyoshindwa kutosheka na damu. Walikuwa majitu makatili sana, yakasababisha nchi zao ziharibike kabisa.
Bila...
Mgao wa umeme ni tatizo kubwa na linalogusa karibu kila mtu hivyo kisiasa ni jambo la hatari sana kwa CCM.
Sasa kuibuka kwa Dr. Bashiru na matamshi yake yanayoonekana kumlenga Bi. Mkubwa kipindi...
Hapa tunaibiwa kiwaziwazi kabisa.
Yaani mkuu wa wizara anayehusika na umeme anatamka wazi kuwa tuna ziada ya Mw 1400.
Halafu ghafla naibu wake anadai kuna upungufu!
Halafu mgao unatamalamaki...
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Alexander Makulilo, amesema kuwa katika Bara la Afrika, kuna Vyama vya Siasa vipatavyo 20 pekee vinavyojiendesha kisiasa kama taasisi. Ameyasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.