Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naingia kwenye mada moja kwa moja. Leo katika kipindi cha uchambuzi wa magazeti kupitia redio ya Wasafi FM, imeelezwa kwamba wale wafanyabiashara walioporwa mabilioni ya fedha na kikosi kazi...
24 Reactions
155 Replies
8K Views
Kwa mateso wanayoyapata wananchi wa kanda ya ziwa baada ya kifo cha mpendwa wao, ni wazi wananchi wa Geita hawamuelewi Joseph Musukuma anakotaka kuwapeleka. Hadi sasa wananchi wa Geita vijijini...
7 Reactions
14 Replies
2K Views
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka kuwa mgeni rasmi kwenye tamasha la " The Big Praise CONCERT " FPCT KURASINI kesho tarehe 20|11|2022 kuanzia...
9 Reactions
134 Replies
5K Views
Kiutani utani tu popularity ya Bashiru imeongezeka ghafla Sana yeye ni Team Hustlers anawapigania wanyonge wacha nao wanaowapigania mabwenyenye tuwaone wanaendeleaje
2 Reactions
13 Replies
1K Views
CCM imejaa unafiki wa hali ya juu,hakifai hata kidogo kuongoza dola. Pia soma > Nape ataka Akaunti ya Deni la Taifa ichunguzwe na iwekwe bayana Fedha hizo zilikopwa na kupelekwa wapi? Niwatakie...
1 Reactions
11 Replies
616 Views
Kipimo kilekile alichotumia Dkt. Bashiru akiwa Katibu mkuu wa CCM kuwapimia Membe, Kinana na Makamba ndicho kinatumiwa sasa kumpima yeye mwenyewe Mrema akiwa Waziri wa mambo ya Ndani aliagiza...
2 Reactions
4 Replies
618 Views
Wazo hili sio la kubomoa umoja wetu ila Ni kutaka tuwe na maendeleo ya haraka Na kupunguza majukumu mengi kwa serekali kuu Wazo langu ni kuwa kwanini kila mkoa hapa TZ usiwe na premier ministre...
0 Reactions
0 Replies
343 Views
Walimuita Magufuli mshamba kwa maana wao wajanja. Ujanja wenyewe kupiga dili kuhujumu maendeleo ya nchi. Awamu ya nne tuliambiwa gesi ndio itatatua tatizo la umeme. Tukaacha kwanza mpango wa...
18 Reactions
37 Replies
2K Views
Unaona tu jinsi ambavyo Rais anapambana. Hatulii nyumbani. Akitafuta pesa. Ila kuna watu watakuwa wanamkwamisha. Uongo? Ukikaa ukatizama utaona kuna watu wanampotosha sana Rais. Wanamdanganya...
7 Reactions
59 Replies
4K Views
CCM wanamuogopa B. Membe? Kwanini kauli hii ya Katibu Mkuu? Nimejiuliza kwanini asingeonywa badala yake wanamfukuza tena wanamtaka ombe radhi na kurudi? "Milango wanachama waliofukuzwa kuomba...
7 Reactions
112 Replies
14K Views
Naamini amjambo, Wakuu nawakalibisha katika mjadala huu wenye nia njema ya kupata mawazo ya nini kifanyike kuliponya taifa letu pendwa la Tanzania, Kwa watu wanao penda kufatilia siasa kama mimi...
0 Reactions
0 Replies
349 Views
Ndani ya ccm neno rushwa limekuwa ni wimbo wa kawaida sana. Msikilizeni mgombea wa ccm anavyo piga mayowe baada ya kufanya kitu mbaya.
4 Reactions
13 Replies
598 Views
UMATI UCHAGUZI WA CCM NI SALAMU ZA TSUNAMI 2024-2025. Shaka asema idadi hiyo kubwa inatokana na uongozi bora wa Rais Samia, Asisitiza uchaguzi wa mwaka huu umevunja rekodi kwa kuwa haijawahi...
4 Reactions
11 Replies
940 Views
Maliyamungu na Goebbels walikuwa ni majinamizi kwenye nchi zao. Walikuwa ni majini yaliyoshindwa kutosheka na damu. Walikuwa majitu makatili sana, yakasababisha nchi zao ziharibike kabisa. Bila...
2 Reactions
11 Replies
911 Views
Mgao wa umeme ni tatizo kubwa na linalogusa karibu kila mtu hivyo kisiasa ni jambo la hatari sana kwa CCM. Sasa kuibuka kwa Dr. Bashiru na matamshi yake yanayoonekana kumlenga Bi. Mkubwa kipindi...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Hapa tunaibiwa kiwaziwazi kabisa. Yaani mkuu wa wizara anayehusika na umeme anatamka wazi kuwa tuna ziada ya Mw 1400. Halafu ghafla naibu wake anadai kuna upungufu! Halafu mgao unatamalamaki...
2 Reactions
11 Replies
911 Views
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Alexander Makulilo, amesema kuwa katika Bara la Afrika, kuna Vyama vya Siasa vipatavyo 20 pekee vinavyojiendesha kisiasa kama taasisi. Ameyasema...
17 Reactions
73 Replies
10K Views
Katika siku ya wafanyakazi duniani TUCTA wamesema mapendekezo yao mara nyingi yamekuwa hayakubaliki na serikali na hivyo kiwango cha chini kimekuwa duni kwa watumishi wa serikali na binafsi...
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Habarini, Ninaomba yeyote aliye karibu na Mhe. Rais amfikishie ombi langu mbele yake nalo ni kufanya uteuzi wa nafasi zilizo wazi kwa muda mrefu hususani za utendaji kama wakurugenzi Uteuzi wa...
2 Reactions
7 Replies
846 Views
UZOEFU ,UONGOZI,JAMII, SERIKALI,UVCCM TWENDE NA MWAKIBINGA 2012-Waziri wa Michezo Chuo cha Uandishi wa Habari DSJ(DASJOSO) 2013-Mjumbe Uangalizi Uchaguzi Mkuu Nchini ZIMBABWE 🇿🇼 Kupitia SADC...
0 Reactions
5 Replies
728 Views
Back
Top Bottom