Baada ya kuona habari ya vijana waliomuua mama yao jana kisha na wao kuuawa huko Geita
Naona mkoa huu ndio unaoongoza kwa mauaji nchini
Mikoa ya kanda ya ziwa imekua kinara wa mauaji nchini...
Binafsi sielewi kabisa sababu za Wabunge kupigania Majimbo yao yagawanywe ikiwa hatuna mfano bora wa maendeleo katika jimbo dogo.
Kwanza, Vigezo vyote vilivyowekwa ndani ya Katika ya JMT...
SUBIRA MGALU ATOA ELIMU YA MLIPAKODI CHALIZNE MKOA WA PWANI
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mhe. Subira Mgalu ambaye ni Balozi wa kuhamasisha kulipa kodi tarehe 2 Mei, 2023 aliwahamasisha...
Msiojua kingereza mnisamehe
Bongozozo has left naked the self-proclaimed patriots who seasonally migrate like wildebeest with their pregnant wives to the US to give birth. January, Nape...
Nikweli Uchumi wa Dunia umetikiswa na kushuka kutokana na vita vya wenzetu huko ulaya. Lakini Mimi napata tabu kidogo kama mtu ninaye elewa uchumi kama Taifa tunakosea na tunakoelekea uwenda kama...
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Berthaneema Mlay alisema Milembe aliuawa kwa kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wasiojulikana.
Huyu mama Mkoa wa Geita umemshinda 100%...
Kutokana bungeni Dodoma!
Mbunge wa Jimbo la Biharamulo Magharibi mkoani Kagera Mhandisi Ezra Chiwelesa ameishauri serikali kuanzisha taasisi rasmi za kusimamia sekta ya mifugo pamoja na uvuvi ili...
Waziri wa Fedha Dr Mwigullu PhD ndiye Waziri wa Fedha Kijana ukimlinganisha na waliomtangulia tangu Mfumo wa Vyama vingi uanze.
Matarajio ya Wananchi ni makubwa kwamba atatutoa kwenye Uchumi wa...
Gwajima amekomalia sana na huwa anapenda kurudia kila mara hii hoja yake mufilisi ya nchi kufanya mipango ya miaka 50. Bahati mbaya sana huwa naoana akiiongea kwa ujasiri na kushangiliwa na watu...
Miaka 30 ya Maadhimisho ya Uhuru wa vyombo vya habari; Vikwazo na wajibu wa kiukombozi wa vyombo vya habari.
Utangulizi
Leo tarehe 3 Mei 2023 ni siku ya maadhimisho ya uhuru wa vyombo vya habari...
Najiuliza tangu Prof.Ndalichako ateuliwe kuwa waziri wa elimu ni kitu gani amekifanya chenye kuboresha "quality" ya elimu Tanzania?
Nakumbuka alibadili kutoka GPA system kwenda Grade systems. Hii...
Habari Jf ,Ni aibu kuona nchi kama Tanzania baada ya miaka 60 ya Uhuru bado ina changamoto nyingi sana ambazo hazitakiwa kuwepo ,kibaya zaidi bado CCM inaendelea tu kuwepo madarakani.
Kwa kifupi...
Sasa ni Dhahiri kwamba, CCM inafahamu kwamba mbele ya Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi haiwezi kushinda uchaguzi wowote ule.
Huko Twitter ameonekana Hamis Kigwangwala akimwaga chozi na...
Mtu yule huenda kama angepata watu wa kumsikiliza kabla na au baada ya kupelekwa gerezani.
Yawezekana alikuwa na ushuhuda mkubwa sana juu ya alichokuwa ameoteshwa kuhusu madhara ya lile Genge la...
Jambo Jambo?
Hivi kwa mwenendo wa uhalifu Geita na huyu RPC mwanamama Safia Jongo, ni wazi kabisa toka mwezi wa kwanza(Januari) mpaka hii leo nani hajui kuwa Geita ni pa moto.
Juzi tu hapa...
Naona huyu mkulima amelipwa na anatumika kuzuia kile kinachoitwa muingiliano wa mihimili ya dola bunge, mahakama na serikali hapa:
1.Serkali imepeleka hoja ya wizi wa trillioni 3+ bungeni ili...
Wanabodi,
Naangalia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, kinachorushwa live na kituo Star TV kila siku za Jumamosi asubuhi, mmoja wa waalikwa katika kipindi cha Leo, ni mwandishi nguli...
Katibu mkuu wa CCM Dkt. Bashiru amesema CCM itapata ushindi mkubwa na wa kihistoria ambao haijawahi kuupata tangu mfumo wa vyama vingi uanze.
Bashiru amesema mwaka huu CCM iliyoshikamana bila...
Baada ya kusikiliza hotuba ya rais siku ya wafanyakazi, niligundua tumefanywa wajinga tena kwa kuahidiwa kitu ambacho hakipo.
Hivi hatuwezagi kuandaa maandamano ya kupinga uongo wa wanasiasa...
Tunashuhudia viongozi wetu wa Afrika kukumbukwa mara baada ya kupoteza maisha, lakini kwa Chato imekuwa kama tofauti sana, Thomas Sankara leo kuna watu wanatamani kumzika upya, kwa sababu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.