Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wadau Nawasalimu, Naomba kujua mishahara posho na mafao wayapatayo wabunge wetu. Sambamba na hilo, naomba kujua kodi wanazokatwa kwenye mishahara posho na mafao yao.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mheshimiwa Rais, hakika umeonyesha ukikasirika hutaki utani, umeonyesha hasira zako na ukuu wa Cheo chako. Mama yetu mpendwa, naamini baada ya kumjibu ndugu Ndugai umemaliza na unaendelea kuchapa...
0 Reactions
7 Replies
762 Views
Salaam Wakuu, Nape Nnauye aliwahi kusema "Bahari imetulia, Mwenyezi Mungu ameamua ugomvi". Kuna utawala uligubikwa na Sintofahamu ya Watu kupotea, kufa, kubambikiziwa kesi. Utawala uliteneza...
9 Reactions
115 Replies
6K Views
Salamu kwako Lemutu Baharia. Nakushauri 2025 chukua fomu ya ubunge kwa chama utakachoamua katika jimbo la Mtera. Asubuhi na mapema kabla jua halijachomoza, utakuwa umempiga chini Lusinde...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Imeshakuwa kawaida kumshambulia mtu anayekwenda kinyume na utaratibu wetu wa kila siku. Mikopo isiyokuwa katika mipango waliopinga, mijitu yoote iliwageukia wakasahau umeme unakatika, pembejeo...
1 Reactions
1 Replies
313 Views
Hello 👋 Katika nchi zinazotumia wizi kama nguzo kuu Kuna vitu very common miongoni mwao kama KUTUKUZANA, KUBANA VYOMBO VYA HABARI, KUBANA UHURU WA UMMA NA KUOGOPA KUKOSOLEWA. Viongozi wetu...
0 Reactions
2 Replies
408 Views
Katibu mkuu wa Chadema by then Dr Slaa kwa nia njema akamuuliza Mwenyekiti Mbowe swali Moja tu " Lowassa ni asset au liability?" Swali hili lilikosa majibu Dr Slaa akashambuliwa kweli kweli na...
1 Reactions
4 Replies
628 Views
Katibu Mkuu Mstaafu Dkt. Bashiru Ally aliwahi kusema akiwa katika vikao vya chama kwamba kipindi cha uchaguzi mkuu mwaka 2015 CCM ilikuwa hoi hadi ushindi wa chama hicho ulishuka na kufikia...
1 Reactions
6 Replies
702 Views
Mnakumbuka uchaguzi wa 2015 pale Dodoma kuna mtu alikamatwa na brifkesi la noti karibu na ukumbi wa CCM? Kipindi kile rushwa ilikuwa jambo la kawaida sana ndomana watu walikua na ujasiri ule, na...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
CUF " Ngangari" ndio walikuwa wanampa Nondo Dr Slaa ili azimwage bungeni kwa sababu walikuwa hawamwamini KUB wao Hamad Rashid Nasikia Dr Bashiru kachafua hali ya hewa huko CCM ila Sijui kaongea...
3 Reactions
27 Replies
1K Views
Kauli ya Dr Bashiru na mjadala ulioibuka unatosha kufanya tathmini ya chama. Sisi tukiwa elimu ya msingi tulifundishwa kuwa CCM ni chama cha wakulima na wafanyakazi, je hivi kweli chama chetu...
1 Reactions
1 Replies
525 Views
Chama Cha Mapinduzi kimefuta matokeo ya uchaguzi wa Umoja wa Vijana (UVCCM) mkoa wa Simiyu kwa kilichodaiwa ni kuwepo kwa dalili wazi za rushwa. Dodoma. Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimefuta...
2 Reactions
42 Replies
3K Views
CCM imejikita kwa kutumia makada wake kina Kibajaji, Msukuma, Kigwangala na Kihongosi kumsema na kumtukana balozi Bashiru badala ya kuzijibu hoja zake kwa umakini. Wakati huo huo CCM ipo kwenye...
4 Reactions
7 Replies
717 Views
Wanyamwezi tuna usemi "if it ain't broke, don't fix it." Tulikua tunaenda vizuri tu, umeme ukikatika hauendi muda mrefu unakua umerudi. Lakini tukaona hapana, tupindue meza. Kalemani kaa pembeni...
3 Reactions
4 Replies
719 Views
Wanabodi, Huu ni muswada wa zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Leo nazungumzia umuhimu wa kuwa na upinzani makini na upinzani wa kweli kwa maendeleo ya taifa, bila kuwepo kwa upinzani...
13 Reactions
195 Replies
14K Views
WanaJf, SALAAM! Mara nyingi ikitokea viongozi wastaafu wa nafasi za juu kulalamikia jambo fulani kuhusu uendeshaji wa nchi - huja vijana wa chama maarufu kwa UVCCM na makundi mengine ya wanufaika...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Wanabodi salama? Mwamba Lukuvi na Kabudi wako wapi? Bungeni wanaonekana kweli? Au wanaendelea kutoa ushauri ikulu post walizopewa na mama?
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Ukiona hivyo, ujue hao viongozi wanaomtetea hawampendi kiongozi wao. Ni kweli kabisa maisha yamebadilika mno, natamani kiongozi wetu siku moja aache tu maisha yake hayo yasiyozijua dhiki na tabu...
6 Reactions
7 Replies
717 Views
Haya mambo ya kukatika kwa umeme tulishayasahau tangia mwanzoni mwa utawala wa awamu ya tano. Tunaotegemea umeme kwa majukumu yetu ya kila siku, imekuwa shida kubwa sana kwa kiwango ambacho...
1 Reactions
6 Replies
547 Views
Hakuna DC aliyewahi kuja Bukoba mwenye ujasiri na uthubutu kama Moses Machali. Kafanya mambo magumu bila kuogopa mtu, ametouch hata untouchable wa mji wakatikisika japo wamemsagia kunguni kwa Mama...
0 Reactions
3 Replies
805 Views
Back
Top Bottom