Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali, akiambatana na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, ameondoka...
Mpaka sasa sijajua ni kigezo kipi kilimpa Uwaziri wa kilimo kwa sababu ni moja ya Mawaziri wa hovyo sana wanao shinda kutafuta sifa.
Bashe aliruhusu mahindi yaende sana nje, na kwa sasa cha ajabu...
Hizi Ziara za Samia zinawaacha wananchi wakiwa wamekata tamaa tu.
Kwanza anawapandisha wapiga pambio tu, wanamsifia mda wote as if wananchi alosimama nao hawana changamoto.
JPM alikuwa...
Waziri wa Kilimo mh Bashe amewahakikishia Wakulima mjini Singida kuwa hawezi kufunga mipaka kwa sababu ya Mfumuko wa Bei inayolalamikiwa hivyo wasiwe na wasiwasi
Bashe amesema Wachumi Wana njia...
Nawasalimu kwa Jina lile liyapitayo majina yote la BWANA wetu Yesu Kristo
Hakuna ushuhuda wowote umewahi kutolewa kwamba JPM aliteka au kudhulumu na huu ni Uzushi na masingizio tu kama yale ya...
Dk. Bashiru alikuwa ndio msimamizi wa sera za serikali akiwa kama Katibu Mkuu wa CCM. Wakati wake wa uongozi, kulikuwa na matukio mengi ya wananchi kutekwa na kupigwa risasi. Hakuwahi kuwasemea...
Waziri Mkuu Mstaafu mzee Sinde Warioba ameunga mkono hoja ya matatizo ya Wakulima na ameitaka Serikali isikwepe wajibu wake wa kuwatimizia matakwa yao na isipumbazwe na kundi la wapiga masifu ya...
Taasisi ya Mwalimu Nyerere ilitarajiwa iwe nzito, reference point kwenye tafakuri za kikanda na nchi.
Mambo ni tofauti, taasisi hii imegeuka ni mti wa huyu Mzee wa Butiama kuota jua wakati huu wa...
Hussein Bashe hata kabla ya kuingia na kuteuliwa katika wizara hii alikuwa akisimama bungeni kuchangia katika wizara hii. Kila mtanzania alitamani na kuomba apewe uwaziri wa kilimo ili atekeleze...
Nipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na...
Kuna huyu Mbunge wa Mtera sijui Kibajaji anaye act kama Msemaji wa Serikali make yeye ni kungoja tukioa then aitishe press.
Jimboni kwake kuna umasikini wa kutisha kabisa, na nazani ndio...
Matatizo ya nchi kwa kila nyanja yamekuwa makubwa mno lakini propaganda na kusifiana kiuongo uongo umekuwa ndio utamaduni wetu siku kama nchi.
Hakuna nafuu yeyote. Sio kwenye umeme au maji mijini...
Mjumbe mstaafu wa Baraza la Mawaziri Dkt. Kigwangalla amesema ni kweli Shida za Wakulima zipo lakini hazikuanza leo zilikuwepo tangu Mzee Warioba akiwa Waziri na alishindwa kuzitatua
Kuna tatizo...
Ndugu zangu pamoja na kusikitishwa Na maneno ya mh Dr Bashiru nilishindwa kuandika mawazo yangu mapema kutokana na kusumbuliwa na kioo Cha simu ambacho kinaweka ukungu na hivyo kuwa ngumu...
Kwenye uchaguzi unaoendelea nchi nzima huko CCM, mambo yanayotendwa ni mazito kuliko mnavyosikia, ni hatari na balaa kubwa, hali iliyoko huko kwenye chaguzi za Mikoa inatengeneza uhasama wa...
Kama umewahi kutembelea maeneo ya biashara mfano Kariakoo n.k utagundua kila mahali ni kelele.
Kila mtu anatangazo lake na wakati mwingine kusababisha noise pollution kwa watu wengine.
Sasa...
Bodaboda Kisarawe wanaosafirisha Mkaa kuuleta Dar es salaam wamegoma baada ya kuongezewa Ushuru kutoka Tsh 12,000 hadi 37000
Hata hivyo afisa misitu wa Wilaya ya Kisarawe amesema Ushuru wa Mkaa...
Wanahadaa umma kuwa wao ni strongest opposition party.
Wanachangisha michango ya kila namna. Kidigital na ya kimanual. Wanakula mapato ya wananchi.
Taifa lipo na matatizo lukuki. Wanaamua...
Chadema ndio Chama cha Wafanyabiashara
Ndio sababu ukiwagusa tu Wakulima CCM nzima inaingia kazini
Nadhani mmeona Wenyewe huku Bashiru kule Bashe na wote hawa wanawatetea Wakulima kwa Moyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.