Wakuu,
Leo tarehe 09.02.2023 Luhaga Mpina akihojiwa katika kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM amesema kwamba dharau anazoonesha Waziri wa Fedha Mwigulu Nchembe dhidi ya wabunge ni matokea...
Asalaam Alaikum Wapenzi Watanzania Wazalendo;
Baada ya Malumbano ya muda mrefu ya Ufisadi/Mafisadi, Walarushwa/Rushwa, Watuhumiwa/Wahukumiwa, Mapambano ya Mtu na Mtu, Ukereketwa...
My Take
Nawaambieni ukweli mchungu.
Katika serikali zilizojaa uozo serikali ya Magufuli ni nambari wani.
Mambo mengi sana ya hovyo yalifanyika chini ya uchochoro wa uzalendo.
Mzalendo na...
Mwaka 2019 ulipoanza ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Mwabayanda kata ya Sukuma wilaya ya Maswa ,mkoa wa Simiyu wananchi walifurahi mno na kurukaruka kuwa mwisho wa adha ya kutembea umbali mrefu...
Poleni na majukumu wana JF!!!
Twende kwenye mada moja kwa moja…..Nimekuwa nikifuatilia historia za siasa za nchi hii kwa kipindi kirefu sana,
Mpaka nilipokuja kufanya hitimisho hivi majuzi kwa...
Adam Mohamed Bakari, dreva wa Mh. Lissu aliyasema haya katika mahojiano yake na DW kwa mara ya kwanza akiwa nchini Ubelgiji, zaidi ya mwaka mmoja na nusu tangu kutokea kwa mashambulizi hayo...
Muktasari:
Balozi wa utalii ataka Rais Samia atengenezewe sanamu kama kumbukumbu ya kuwa Rais mwanamke wa kwanza na aliyejitoa kwa dhati kuipambania sekta hiyo kwa kushiriki kutangaza utalii wa...
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa wabunge wengi waliochangia kamati ndogo ya sheria na ajira kuna kubebana sana kwenye SECRETARIAT ya ajira. Wabunge wamesema siku hizi kuna kanda watu wake...
Kenya pamoja na kuwa na katiba mpya ila inaonekana bado kuna mambo hayakuwekwa sawa katika katiba hiyo.
Mambo kadhaa bado hayajaweza kupatiwa ufumbuzi kupitia katiba yao mpya hayo ni pamoja na...
Mbunge wa Kibamba, Jumanne Mtemvu ambaye ni wanakamati wa fedha na mipango ameelezea ufisadi wa kutisha mkopo toka shirika la fedha la kimataifa ambapo 24 % ndio zinaonekena kutumika na nyingine...
Habari wana bodi,
Kwanza nikiri kabisa kuwa tukio la kipigwa risasi kwa Tundu Lissu mie lilinishtua sana na kunisikitisha. Naamini kupigwa risasi kwa Tundu lissu kulipangwa, lakini kuamini kuwa...
Wakati Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally akieleza kumwita waziri mmoja anayemiliki ekari 1,000 za ardhi mkoani Morogoro, madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Morogoro wamewahi kumuomba Waziri wa...
Wakati Mkuu wa wilaya ya Mbeya Benno Malisa akikanusha kutoa amri ya kumweka mahabusu mwalimu aliyehisiwa kupiga picha wanafunzi wa shule ya sekondari waliokaa chini Kwa kukosa madawati akisema...
Kwanini katiba mpya inabezwa kuwa haikuletei ugali mezani,na kwanini Rais anakuwa Mungu mtu. Soma katiba ya JMT ibara hii hapa
99.-(1) Bunge halitashughulikia jambo lolote kati ya mambo...
Ni Magufuli tena.
Tukio hilo la kihistoria la kushushwa kwenye maji kwa meli hiyo inayojengwa katika Bandari ya Mwanza Kusini litaongozwa na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa...
Wadau najua hakuna kinachoshindikana kwa serikali ikitaka kujua jambo au mambo yote yanayotokea kwenye hiyo nchi, labda tu iwe haitaki. Kuna haya matukio ambayo mpaka sasa serikali haijayapatia...
Wakuu,
Jamaa wameruhusiwa kufanya mikutano ya kisiasa waliyokua wanalilia kila wakati, inashangaza mbona hawana hata hoja za maana?
Haikuepo sababu kabisa kuwazuia wasifanye mikutano...
Kitendo cha Waziri wa Fedha kukiri kwamba akiba ya Taifa ya Fedha za kigeni ilichotwa na fedha kutumika kwa ujenzi wa Madarasa ni kiashiria cha dhahiri kukosekana fedha katika njia za kawaida...
Mtunzi mmoja maarufu, George Bernard Shaw, aliwahi kusema: "Ikiwa wachumi wote wangewekwa kona hadi kona, hawangefikia hitimisho (tamati)." (Tafsiri yangu)
Kwa hiyo, inakuwaje wachumi wawili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.