Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali, akiambatana na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, ameondoka...
1 Reactions
2 Replies
824 Views
Mpaka sasa sijajua ni kigezo kipi kilimpa Uwaziri wa kilimo kwa sababu ni moja ya Mawaziri wa hovyo sana wanao shinda kutafuta sifa. Bashe aliruhusu mahindi yaende sana nje, na kwa sasa cha ajabu...
6 Reactions
46 Replies
3K Views
Hizi Ziara za Samia zinawaacha wananchi wakiwa wamekata tamaa tu. Kwanza anawapandisha wapiga pambio tu, wanamsifia mda wote as if wananchi alosimama nao hawana changamoto. JPM alikuwa...
52 Reactions
101 Replies
5K Views
Waziri wa Kilimo mh Bashe amewahakikishia Wakulima mjini Singida kuwa hawezi kufunga mipaka kwa sababu ya Mfumuko wa Bei inayolalamikiwa hivyo wasiwe na wasiwasi Bashe amesema Wachumi Wana njia...
4 Reactions
118 Replies
5K Views
Nawasalimu kwa Jina lile liyapitayo majina yote la BWANA wetu Yesu Kristo Hakuna ushuhuda wowote umewahi kutolewa kwamba JPM aliteka au kudhulumu na huu ni Uzushi na masingizio tu kama yale ya...
10 Reactions
67 Replies
3K Views
Dk. Bashiru alikuwa ndio msimamizi wa sera za serikali akiwa kama Katibu Mkuu wa CCM. Wakati wake wa uongozi, kulikuwa na matukio mengi ya wananchi kutekwa na kupigwa risasi. Hakuwahi kuwasemea...
5 Reactions
32 Replies
1K Views
Waziri Mkuu Mstaafu mzee Sinde Warioba ameunga mkono hoja ya matatizo ya Wakulima na ameitaka Serikali isikwepe wajibu wake wa kuwatimizia matakwa yao na isipumbazwe na kundi la wapiga masifu ya...
9 Reactions
25 Replies
2K Views
Taasisi ya Mwalimu Nyerere ilitarajiwa iwe nzito, reference point kwenye tafakuri za kikanda na nchi. Mambo ni tofauti, taasisi hii imegeuka ni mti wa huyu Mzee wa Butiama kuota jua wakati huu wa...
3 Reactions
34 Replies
2K Views
Kaimu mkurugenzi wa Huduma za Wateja mh Mwambene amesema Ujenzi wa bwawa la Nyerere umefikia 77% Source ITV Habari
0 Reactions
22 Replies
1K Views
Hussein Bashe hata kabla ya kuingia na kuteuliwa katika wizara hii alikuwa akisimama bungeni kuchangia katika wizara hii. Kila mtanzania alitamani na kuomba apewe uwaziri wa kilimo ili atekeleze...
15 Reactions
82 Replies
4K Views
Nipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na...
5 Reactions
48 Replies
3K Views
Kuna huyu Mbunge wa Mtera sijui Kibajaji anaye act kama Msemaji wa Serikali make yeye ni kungoja tukioa then aitishe press. Jimboni kwake kuna umasikini wa kutisha kabisa, na nazani ndio...
0 Reactions
2 Replies
546 Views
Matatizo ya nchi kwa kila nyanja yamekuwa makubwa mno lakini propaganda na kusifiana kiuongo uongo umekuwa ndio utamaduni wetu siku kama nchi. Hakuna nafuu yeyote. Sio kwenye umeme au maji mijini...
17 Reactions
65 Replies
3K Views
Mjumbe mstaafu wa Baraza la Mawaziri Dkt. Kigwangalla amesema ni kweli Shida za Wakulima zipo lakini hazikuanza leo zilikuwepo tangu Mzee Warioba akiwa Waziri na alishindwa kuzitatua Kuna tatizo...
5 Reactions
43 Replies
2K Views
Ndugu zangu pamoja na kusikitishwa Na maneno ya mh Dr Bashiru nilishindwa kuandika mawazo yangu mapema kutokana na kusumbuliwa na kioo Cha simu ambacho kinaweka ukungu na hivyo kuwa ngumu...
2 Reactions
151 Replies
9K Views
Kwenye uchaguzi unaoendelea nchi nzima huko CCM, mambo yanayotendwa ni mazito kuliko mnavyosikia, ni hatari na balaa kubwa, hali iliyoko huko kwenye chaguzi za Mikoa inatengeneza uhasama wa...
14 Reactions
28 Replies
2K Views
Kama umewahi kutembelea maeneo ya biashara mfano Kariakoo n.k utagundua kila mahali ni kelele. Kila mtu anatangazo lake na wakati mwingine kusababisha noise pollution kwa watu wengine. Sasa...
0 Reactions
10 Replies
637 Views
Bodaboda Kisarawe wanaosafirisha Mkaa kuuleta Dar es salaam wamegoma baada ya kuongezewa Ushuru kutoka Tsh 12,000 hadi 37000 Hata hivyo afisa misitu wa Wilaya ya Kisarawe amesema Ushuru wa Mkaa...
0 Reactions
4 Replies
552 Views
Wanahadaa umma kuwa wao ni strongest opposition party. Wanachangisha michango ya kila namna. Kidigital na ya kimanual. Wanakula mapato ya wananchi. Taifa lipo na matatizo lukuki. Wanaamua...
0 Reactions
22 Replies
975 Views
Chadema ndio Chama cha Wafanyabiashara Ndio sababu ukiwagusa tu Wakulima CCM nzima inaingia kazini Nadhani mmeona Wenyewe huku Bashiru kule Bashe na wote hawa wanawatetea Wakulima kwa Moyo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom