Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
CCM inapendwa na kila mtu. Watangazaji , waandishi, wasa nii n.k
Angalia hii video nambie nani haimbi?
Angalia hii video nambie nani haimbi?
Kupendwa kwa CCM na baadhi ya watu ni sawa na mwanamke kumpenda mwanaume mwenye pesa, akitegemea atapewa zawadi tofautitofautiCCM inapendwa na kila mtu. Watangazaji , waandishi, wasa nii n.k
Angalia hii video nambie nani haimbi?
View attachment 2612281
Hata Wasafi fm wamemtuma Kitenge na genge lake hadi Dodoma kuwahoji na kuwapa promo Tulia na Msambatavangu wanao kalia kuti kavuUkifungua kituo cha redio au TV makaratasi utakayosainishwa kuhusu kuitii serikali sku ukiigeuka CCM hakuna rangi utaacha kuiona
Tulia anakalia kuti kavu wapi? Dodoma Bungeni? Why? Wamemnyang'anya kiti chake? Daaah.... Amekosea nini tena?Hata Wasafi fm wamemtuma Kitenge na genge lake hadi Dodoma kuwahoji na kuwapa promo Tulia na Msambatavangu wanao kalia kuti kavu
Shauri yako. Utabaki hivyo hivyo. Kama wewe Yanga unaweza ufurahia wimbo wa Simba nitakupongeza sana. Na nitakupatia zawadi ya kukubali kuoa kwenye ukoo wenu mabinti wawili. Kama wapo wazuri.Hivi hapo wanafurahia wimbo au CCM? Tofautisha.
Huwafanya Raia wao kuwa Mifugo ya CCM na kuila nyama za Tozo na kuikamua Maziwa ya Kodi na baadae kuipora hata CAG anajua.hutengeneza mapenzi ya lazima,