Matatizo ya nchi kwa kila nyanja yamekuwa makubwa mno lakini propaganda na kusifiana kiuongo uongo umekuwa ndio utamaduni wetu siku kama nchi.
Hakuna nafuu yeyote. Sio kwenye umeme au maji mijini...
Mjumbe mstaafu wa Baraza la Mawaziri Dkt. Kigwangalla amesema ni kweli Shida za Wakulima zipo lakini hazikuanza leo zilikuwepo tangu Mzee Warioba akiwa Waziri na alishindwa kuzitatua
Kuna tatizo...
Ndugu zangu pamoja na kusikitishwa Na maneno ya mh Dr Bashiru nilishindwa kuandika mawazo yangu mapema kutokana na kusumbuliwa na kioo Cha simu ambacho kinaweka ukungu na hivyo kuwa ngumu...
Kwenye uchaguzi unaoendelea nchi nzima huko CCM, mambo yanayotendwa ni mazito kuliko mnavyosikia, ni hatari na balaa kubwa, hali iliyoko huko kwenye chaguzi za Mikoa inatengeneza uhasama wa...
Kama umewahi kutembelea maeneo ya biashara mfano Kariakoo n.k utagundua kila mahali ni kelele.
Kila mtu anatangazo lake na wakati mwingine kusababisha noise pollution kwa watu wengine.
Sasa...
Bodaboda Kisarawe wanaosafirisha Mkaa kuuleta Dar es salaam wamegoma baada ya kuongezewa Ushuru kutoka Tsh 12,000 hadi 37000
Hata hivyo afisa misitu wa Wilaya ya Kisarawe amesema Ushuru wa Mkaa...
Wanahadaa umma kuwa wao ni strongest opposition party.
Wanachangisha michango ya kila namna. Kidigital na ya kimanual. Wanakula mapato ya wananchi.
Taifa lipo na matatizo lukuki. Wanaamua...
Chadema ndio Chama cha Wafanyabiashara
Ndio sababu ukiwagusa tu Wakulima CCM nzima inaingia kazini
Nadhani mmeona Wenyewe huku Bashiru kule Bashe na wote hawa wanawatetea Wakulima kwa Moyo...
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame M. Mbarawa ametangaza mkakati wa ujenzi wa barabara mpya kwa kushirikiana na sekta binafsi kutoka Dar es Salaam – Chalinde hadi Morogoro yenye urefu wa...
Licha ya Serikali kuwa chombo kinachoitwaTAKUKURU lakini imeshindwa kabisa kukomesha gonjwa rushwa mpaka ndani ya chama tawala CCM
Kwa uchunguzi wa haraka haraka ni sahihi kusema ndani ya CCM...
CCM Imegeuzwa Chaka la "Wahuni!"
Madokta wa "kihuni" kama #Kigwangalla!
Vijana Wa "Vihoja" kama #Kihongosi!
Wazee wa "Mipasho" kama #Bulembo!
CCM imegeuka chaka la wahuni,msemakweli ndie adui...
Waziri wa kilimo mh Bashe amemhakikishia mh Rais Samia kwamba hakuna Mwananchi atakayekufa njaa kwa sababu Serikali ina akiba ya kutosha ya Chakula.
Bashe amesema hayo huko Kondoa mbele ya...
Hizi ni salamu kutoka kwa gwiji la Siasa za Tanzania. Ametumikia chama tawala na aliongoza Chadema. Amezitoa salamu wakati Rais Samia Leo hii, akiwa ziara Mkoa wa Manyara.
Anasema kwa tathmini...
Hatujui kadi yake ya Chama Cha Mapinduzi aliichukuwa lini, hatujui hata kadi yake ya CUF aliirudisha lini?
Tulishangaa tu ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM, lakini tuliheshimu mamlaka...
Bila shaka MVIWATA Wana ajenda ya kisiasa, na Wana Wana Siasa wao ambao wanaitumia taasisi hiyo kwa malengo ya kisiasa ya kuharibu amani na utangamano.
Taasisi hii inawatumia wakulima kama chambo...
Nchi imekwama, kila kitu kimekwama, si maji wala umeme, si mvua wala chakula, si biashara wala viwanda,
Kila unapogusa pa moto,
Alipoteuliwa huyu dada yetu jina kapuni kwenda kukaa Ikulu yetu...
Niko pwani, eti nikitaka mbolea ya Ruzuku niifate Dar? Na unatonywa kisiri siri?
Mbolea inakaaje kwenye magodauni ya Dares alam ili hali inapaswa ikatumike Kwa wakulima waliolo Pwani?
Mh...
Katika taarifa yake Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimesema bado msimamo wake uko palepale na hakitashiriki chaguzi ndogo zitakazofanyika Desemba 17, 2022 katika maeneo mbalimbali nchini...
Leo Novemba 22,2022. Rais Samia Suluhu amezindua ghala lenye uwezo wa kuhifadhi nafaka tani 25,000 pamoja na vihenge vyenye uwezo wa kuhifadhi tani 15,000 ambavyo vyote kwa pamoja vina uwezo wa...
Rais Samia ameelemewa amechoshwa na kundi la wanyonyaji wanaojipendekeza kwake ili wapendelewe kwenye biashara zao Hali hii Samia na wenye nchi hawapendezwi nayo hata kidogo Taifa linalea vijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.