saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 602
- 1,407
WIKI iliyopita Bunge lilichemka baada ya mvutano baina ya Jenister Mhagama na Spika wa Bunge kuhusu kauli ya Luhaga Mpina kwamba maagizo ya Waziri Mkuu kuhusu wafugaji hayajatekelezwa na wanaendelea kunyanyaswa kwenye nchi yao.
Je ni kweli maagizo ya Majaliwa hayatekelezwi? Kati ya Jenister Mhagama na Mpina nani yuko sahihi?
Tukumbushane maaagizo ya PM ambayo tunaamini hayajatekelezwa hadi sasa tangu yatolewe.
1. Wafugaji walioshinda kesi Mahakamani warejeshewe mifugo yao hii ilikuwa ni mwaka 2021
2. Maagizo kuhusu uchunguzi wa kuungua masoko utekelezaji wake ukoje?
Tuendelee wadau.
Je ni kweli maagizo ya Majaliwa hayatekelezwi? Kati ya Jenister Mhagama na Mpina nani yuko sahihi?
Tukumbushane maaagizo ya PM ambayo tunaamini hayajatekelezwa hadi sasa tangu yatolewe.
1. Wafugaji walioshinda kesi Mahakamani warejeshewe mifugo yao hii ilikuwa ni mwaka 2021
2. Maagizo kuhusu uchunguzi wa kuungua masoko utekelezaji wake ukoje?
Tuendelee wadau.