SUALA LA WABUNGE KUOMBA MAJIMBO YAGAWANYWE LINATOA TAASWIRA GANI KISIASA?

Nov 15, 2019
35
113
HABARI WAPENDWA!
Tumeshuhudia kauli za Mbunge wa Mbeya ambaye pia ni Spika wa Bunge akiomba jimbo lake ligawanywe, na bado kwenye jimbo la REMA nako Mrisho Gambo naye anakilio na hitaji hilo hilo. Hili linatoa taaswira gani kisiasa?
Binafsi naona ujio mpya wa demokrasi nchini umewaamusha wapinzani na hivyo wananchi kujua kile wanachopaswa kukifanya kwa usahihi. Katika maeneo mengi ya vijijini kwasasa yanashuhudiwa mengi sana na siyo tu kwa viongozi bali pia katika mfumo wa kiserikali.

Imefikia sehemu baadhi ya viongozi wa kata wa chama tawala kuanza kuwalazimisha wananchi kukata kadi ili waweze kwenda kupatiwa huduma za kijamii - it's worse at all yaani hali imewawea ngumu.
Naleta kwako mwana JF, kufuatia maombi haya ya kugawaywa kwa majimbo hapa nchini nini maoni yako?​
 
HABARI WAPENDWA!
Tumeshuhudia kauli za Mbunge wa Mbeya ambaye pia ni Spika wa Bunge akiomba jimbo lake ligawanywe, na bado kwenye jimbo la REMA nako Mrisho Gambo naye anakilio na hitaji hilo hilo. Hili linatoa taaswira gani kisiasa?
Binafsi naona ujio mpya wa demokrasi nchini umewaamusha wapinzani na hivyo wananchi kujua kile wanachopaswa kukifanya kwa usahihi. Katika maeneo mengi ya vijijini kwasasa yanashuhudiwa mengi sana na siyo tu kwa viongozi bali pia katika mfumo wa kiserikali.

Imefikia sehemu baadhi ya viongozi wa kata wa chama tawala kuanza kuwalazimisha wananchi kukata kadi ili waweze kwenda kupatiwa huduma za kijamii - it's worse at all yaani hali imewawea ngumu.
Naleta kwako mwana JF, kufuatia maombi haya ya kugawaywa kwa majimbo hapa nchini nini maoni yako?​
Taswira ni ama wanataka michepuko ichukue majimbo,ama maji ya shingo kwani, wajumbe walisha tepeta na hawana nguvu tena ya kuwabeba,kibegani😂😂😂.Ama kwa Kuwa Mafweza mpindua meza,hayupo tena🤸🤸🤸
 
HABARI WAPENDWA!
Tumeshuhudia kauli za Mbunge wa Mbeya ambaye pia ni Spika wa Bunge akiomba jimbo lake ligawanywe, na bado kwenye jimbo la REMA nako Mrisho Gambo naye anakilio na hitaji hilo hilo. Hili linatoa taaswira gani kisiasa?
Binafsi naona ujio mpya wa demokrasi nchini umewaamusha wapinzani na hivyo wananchi kujua kile wanachopaswa kukifanya kwa usahihi. Katika maeneo mengi ya vijijini kwasasa yanashuhudiwa mengi sana na siyo tu kwa viongozi bali pia katika mfumo wa kiserikali.

Imefikia sehemu baadhi ya viongozi wa kata wa chama tawala kuanza kuwalazimisha wananchi kukata kadi ili waweze kwenda kupatiwa huduma za kijamii - it's worse at all yaani hali imewawea ngumu.
Naleta kwako mwana JF, kufuatia maombi haya ya kugawaywa kwa majimbo hapa nchini nini maoni yako?​
sisi tunataka yapungue...Kila wilaya iwe na mbunge mmoja tu.
 
Back
Top Bottom