Duniani kote Wasaliti ndio husababisha mabadiliko ya dhati kutokea na ukombozi kupatikana haraka tukianzia kwa Yuda Iskarioti mwenyewe
Dr Bashiru anaweza kuonekana anaisaliti CCM lakini aweza...
Wasalaam wanajukwaa!
Na Gregory Jumbe Mahanju,
Nataka kutuma ujumbe kwa wateule wa Rais Samia Suluhu Hassan akiwemo Waziri wa TAMISEMI Ndg Angela Kairuki, Katibu mkuu wa TAMISEMI,Mkuu wa mkoa wa...
Nimefurahi uchaguzi unaendelea ndani ya CCM ni hatari tupu, wale matajiri waliowekwa kando na Mh Mwendazake, sasa wanarudi Kwa kasi kasi ya 4G.
Ninaikumbuka sana CCM ya kabla ya Magufuli...
Habari kuna mijadala mingi inaendelea ambayo haina faida kwa mwananchi Mnyonge hasa kuhusu Bashiru, Tuna tatizo kubwa sana la umeme,Kimara siku ya pili tuko gizani kira kitu kimelala,wahusika...
☝🏾Ukipenda muite Dr. Bashiru Ally Kakurwa
Anatibu upele, harara, Surua, Kaswende Gono na muwasho kwenye ngozi.
Kaongea kwa dakika moja ila anajibiwa wiki nzima, kaongea sehemu moja anajibiwa...
Hawa wanachama wa CCM wameishiwa hoja badala yake wanatumia mashambulizi kwa mtindo wa mbwamwitu, wanadhani wakishambulia kwa wingi wa kundi lao basi watakuwa wamejenga hoja!
CCM imeishiwa watu...
Dkt BASHIRU USITURUDISHE KWENYE TANZANIA YENU YA GIZA!!
Dkt Bashiru,
Nimeona maudhui yako udhi kwenye vyombo vya habari yakilenga kutweza juhudi na mafanikio makubwa ambayo Rais wetu kipenzi...
Watanzania tunaotumia mtandao huu wa Jamiiforums, tutoe maoni yetu ni nani anapaswa kulaumiwa kati ya CCM iliyokaa madarakani kwa miaka 62 sasa au ni mabadiliko ya tabia ya nchi.
Karibuni kwa...
Wao waliamini wakiwazuia wapinzani kufanya mikutano ya siasa na kukutana na makundi mbalimbali ya jamii, basi wao watakuwa salama kisiasa na upinzani utakufa/utadhhofika.
Hata hivyo, kwa jinsi...
Wakati viongozi wakitazamia kusimika mabavu yao, kwa kawaida huwa wanashambulia haki zetu za uhuru wa kujieleza kwanza. Tumeona mchezo huu mara nyingi. Kwanza wanashambulia vyombo vya habari...
Watanzania wanafiki sana haswa wa mlengo wa CCM, huwa wana mazoea ya kuelekeza vidole vya lawama kwa kila taifa ila wao hujiona kama wastaarab walionyooka kuzidi mataifa mengine yote.
Leo...
Wadau Nawasalimu.
Tuliokuwepo wakati wa UTAWALA wa AWAMU ya Pili ya RAIS MWINYI tulikuwa tunamsikia BABA wa TAIFA Mwl. Nyerere Akiongea na Wazee wa Dar es salaam AKIIKOSOA Serikali ya Awamu ya...
Nape Nnauye: Tangu Rais Samia mnaona, hatusikii watu wanafinywa finywa, mambo yanakwenda. Wewe sema pumua ukalale.
Halafu sisi tutapima, la maana tutabeba, linalotokana tu na hasira utakuwa...
Mbali na kumsikia #Makamba na #Maharage wake! Peke yao wakituambia Ngonjera zao kila uchao!
Ni lini kiongozi mwingine Mwandamizi wa serikali hii ya CCM. Aliwahi kutembelea Mabwawa ya Maji ya...
Wanasiasa wanapenda sana sifa na kusifiwa na ndio sababu huandamana na Chawa kila kona.
Kupenda sifa kulimponza Lucifer akajikuta ametupwa kuzimu ambalo ndiko alikoasisi kiwanda cha Uwongo...
Namshanga sana Dkt. Kigwangalla kumshambulia Dkt.Bashiru juu ya uanachama wake. Kama mwana chama wa CCM sijapendezwa na kauli yake kwa sababu CCM kinaamini kila mwanachama ni sawa na mwingine bila...
Jumla ya Sh3 bilioni zimetengwa kwa ajili ya kuwasomesha wanafunzi waliopata ufaulu wa juu katika masomo ya sayansi katika mitihani yao ya kidato cha sita.
Ufadhili huo ambao unaanza mwaka...
Wakati wa Utawala wa Serikali ya awamu ya Tano, Dr Bashiru Ally ulikuwa Kiongozi Mwandamizi wa Chama na baadaye kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Ni imani yangu kuwa ulikuwa miongoni mwa washauri wakuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.