Leo hii ni siku ambayo tunakumbuka Kuzaliwa kwa Mpigania Haki muhimu wa Tanzania Askofu Emmaus Mwamakula , ambaye wapenda haki wengi wanamuita Desmond Tutu , huku wengine wakimuita Malcom X ...
SHIRIKISHO la Vyama Vya Wafanyakazi (TUCTA), limempongeza Rais Dk. Samia Suluhu. Hassan kwa mabadiliko na maboresho makubwa kwa wafanyakazi wa sekta binafsi na umma, ikiwemo kuogeza kiwango cha...
nionavyo Mimi ,muungano wa kweli na usio na maswari ni kuwa na serikali moja,hii itatoa utata uliopo Sasa ya mala,Tanganyika imetawaliwa ,mala zbar inawanyonya wa bara,mala bara inawadumaza wa...
MIAKA MIWILI YA MAMA, YENYE KUJALI NA KUTHAMINI JAMII: [emoji307]
=============
Na James Yustar / Kijana wa Mtaani.
- Nikiwa kijana ninayewakilisha kundi kubwa la vijana na watoto wanaoishi...
Makampuni yanatoka nje ya nchi yanakuja Tanzania na kufanya utafiti kuna uhaba katika sekta gani, wanapata majibu kuna uhaba katika sekta ya kilimo na ufugaji wa Nguruwe. Wanaifanya fursa...
Unaweza kushangaa kuona wengine wakinunua Umeme wa 9,150 Wanapata Unit 75 wew ukinunua Umeme wa 10,000 unapata Unit 28.1
Iko hivi Watumiaji wadogo wa Umeme ambao kwa mwezi Matumizi yao hayazidi...
Jana niliishiwana umeme nyumbani kwangu. Kila nikijaribu kununua kwa simu kama nilivyosmzoea ilishindikana.
Leo nikaamua kwenda TANESCO kuulizia tatizo ni nini. Baada ya kuwapa namba ya mita...
MKULIMA aliyewaburuza kortini baadhi ya mawaziri, wakuu wa mashirika na Kampuni binafsi waliotajwa na ahofia mashahidi wa CAG wanaweza kupoteza maisha ikawa nguvu kushungulikia suala hilo Novemba...
HABARI WAPENDWA!
Tumeshuhudia kauli za Mbunge wa Mbeya ambaye pia ni Spika wa Bunge akiomba jimbo lake ligawanywe, na bado kwenye jimbo la REMA nako Mrisho Gambo naye anakilio na hitaji hilo hilo...
WIKI iliyopita Bunge lilichemka baada ya mvutano baina ya Jenister Mhagama na Spika wa Bunge kuhusu kauli ya Luhaga Mpina kwamba maagizo ya Waziri Mkuu kuhusu wafugaji hayajatekelezwa na...
Mbunge wa Jimbo la Geita Joseph Kasheku Musukuma amehoji Bungeni faida ya kuweka hereni kwenye ng’ombe na amemtaka Waziri wa Mifugo na Uvuvi kujinasua kwenye mtego huo.
Musukuma amesema hayo...
Mara baada ya Rais Samia kufanya mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri na kumtumbua aliyekuwa waziri wa mifugo na uvuvi ambaye ni mbunge wa jimbo la Maswa mashariki bwana Mashinda Ndaki kilio...
Kuna taarifa zinaenea sana mitandaoni zikimhusisha Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kufadhili vitendo vya uvuvi haramu ili waweze...
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemjibu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa agizo lake la kutaka kufutwa kwa vitalu vya Ranchi za Taifa NARCO vinavyomilikiwa kisheria na wawekezaji mbalimbali...
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana leo Mei 6, 2023 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, amepokea taarifa ya Kamati aliyoiunda kuchunguza tukio la kukatika umeme katika...
Tafakari
Kuna umuhimu wowote wa Mbunge kula kiapo huku ameshikilia Kitabu kitakatifu Biblia au Qur'an Mikononi mwake?
Nimeona kiapo cha King Charles III na Maneno aliyokuwa anatamkiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.