Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

MKULIMA aliyewaburuza kortini baadhi ya mawaziri, wakuu wa mashirika na Kampuni binafsi waliotajwa na ahofia mashahidi wa CAG wanaweza kupoteza maisha ikawa nguvu kushungulikia suala hilo Novemba...
1 Reactions
1 Replies
879 Views
HABARI WAPENDWA! Tumeshuhudia kauli za Mbunge wa Mbeya ambaye pia ni Spika wa Bunge akiomba jimbo lake ligawanywe, na bado kwenye jimbo la REMA nako Mrisho Gambo naye anakilio na hitaji hilo hilo...
2 Reactions
5 Replies
496 Views
WIKI iliyopita Bunge lilichemka baada ya mvutano baina ya Jenister Mhagama na Spika wa Bunge kuhusu kauli ya Luhaga Mpina kwamba maagizo ya Waziri Mkuu kuhusu wafugaji hayajatekelezwa na...
0 Reactions
1 Replies
452 Views
Mbunge wa Jimbo la Geita Joseph Kasheku Musukuma amehoji Bungeni faida ya kuweka hereni kwenye ng’ombe na amemtaka Waziri wa Mifugo na Uvuvi kujinasua kwenye mtego huo. Musukuma amesema hayo...
10 Reactions
48 Replies
6K Views
Mara baada ya Rais Samia kufanya mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri na kumtumbua aliyekuwa waziri wa mifugo na uvuvi ambaye ni mbunge wa jimbo la Maswa mashariki bwana Mashinda Ndaki kilio...
4 Reactions
37 Replies
5K Views
Kuna taarifa zinaenea sana mitandaoni zikimhusisha Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kufadhili vitendo vya uvuvi haramu ili waweze...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemjibu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa agizo lake la kutaka kufutwa kwa vitalu vya Ranchi za Taifa NARCO vinavyomilikiwa kisheria na wawekezaji mbalimbali...
5 Reactions
61 Replies
7K Views
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana leo Mei 6, 2023 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, amepokea taarifa ya Kamati aliyoiunda kuchunguza tukio la kukatika umeme katika...
0 Reactions
7 Replies
661 Views
Tafakari Kuna umuhimu wowote wa Mbunge kula kiapo huku ameshikilia Kitabu kitakatifu Biblia au Qur'an Mikononi mwake? Nimeona kiapo cha King Charles III na Maneno aliyokuwa anatamkiwa na...
1 Reactions
1 Replies
463 Views
TEKELEZENI MAJUKUMU KUINUFAISHA SERIKALI Watumishi wapya wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali (OWMS) wametakiwa kutumia elimu waliyoipata na fursa ya ajira ya Serikali kutekeleza majukumu yao kwa...
0 Reactions
0 Replies
438 Views
Daah! Kweli imekuwa kimya kwa upotevu wa matrilion tarifa za CAG? Kisa wahusika wakuu ni viongozi wa mawizara na Idara mbalimbali?? Kweli kabisa? Siamini nachokiona na kukisikia kwa masikio...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
02 May 2023 Bodi ya Usajili wa Wahandisi Tanzania (ERB) iameahidi kuendeleza ushirikiano na Bodi ya Usajili wa Wahandisi ya Kenya (EBK), katika mkataba wa makubaliano ya pamoja waliyoweka ili...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo, amekiomba Chama hicho kumhoji na kumchukulia hatua za kinidhamu Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kwa kile alichokiita kwenda kinyume na maadili...
5 Reactions
110 Replies
10K Views
Baada ya Taarifa ya Shehe Ponda kuonekana mitandaoni, ikieleza kwamba kuna mashehe wamewekwa rumande huko Arusha kwa miaka 10 kwa tuhuma za ugaidi, na kwamba hawapelekwi Mahakamani kwa vile Bajeti...
8 Reactions
36 Replies
2K Views
Jaji Mkuu mstaafu, Chande Othman amewataka majaji wa Mahakama Kuu kumaliza haraka kesi wanazopangiwa, ili kuondoa wasiwasi kwa jamii na wao kujiweka huru. Amesema ucheleweshaji wa kesi zikiwamo...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Binafsi kama mpenda maendeleo. Mimi ningekuwa Mama ningependekeza katiba ya warioba iongezewe vitu vichache tu. Tutengeneze Mtandao ambao raia watatoa maoni yao kwa kuna AI sasa hivi tunazichakata...
3 Reactions
35 Replies
2K Views
Hili pendekezo ni kiki, kwasababu binafsi sijawahi enda ofisi ya umma nikaacha kuhudumiwa eti mtu anachati. === Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora...
8 Reactions
95 Replies
7K Views
Moja ya ya vipande ambayo vinasheeni makazi katika tazam road ni dsm to morogoro km 195na mbeya to makambako km 172 vina fanana ni vipande ambayo baada ya miaka mitano makazi yatakuwa yameungana...
0 Reactions
0 Replies
489 Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema Nabii Lema amesema wananchi wafanye Kazi wasitegemee miujuza Lema ameonya wale wanaotoa Fedha kwa Manabii wakiamini watavuna mafanikio kimiujiza wajue Wao ndio...
17 Reactions
92 Replies
5K Views
Back
Top Bottom