Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kauli ya Dr Bashiru na mjadala ulioibuka unatosha kufanya tathmini ya chama. Sisi tukiwa elimu ya msingi tulifundishwa kuwa CCM ni chama cha wakulima na wafanyakazi, je hivi kweli chama chetu...
1 Reactions
1 Replies
525 Views
Chama Cha Mapinduzi kimefuta matokeo ya uchaguzi wa Umoja wa Vijana (UVCCM) mkoa wa Simiyu kwa kilichodaiwa ni kuwepo kwa dalili wazi za rushwa. Dodoma. Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimefuta...
2 Reactions
42 Replies
3K Views
CCM imejikita kwa kutumia makada wake kina Kibajaji, Msukuma, Kigwangala na Kihongosi kumsema na kumtukana balozi Bashiru badala ya kuzijibu hoja zake kwa umakini. Wakati huo huo CCM ipo kwenye...
4 Reactions
7 Replies
717 Views
Wanyamwezi tuna usemi "if it ain't broke, don't fix it." Tulikua tunaenda vizuri tu, umeme ukikatika hauendi muda mrefu unakua umerudi. Lakini tukaona hapana, tupindue meza. Kalemani kaa pembeni...
3 Reactions
4 Replies
719 Views
Wanabodi, Huu ni muswada wa zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Leo nazungumzia umuhimu wa kuwa na upinzani makini na upinzani wa kweli kwa maendeleo ya taifa, bila kuwepo kwa upinzani...
13 Reactions
195 Replies
14K Views
WanaJf, SALAAM! Mara nyingi ikitokea viongozi wastaafu wa nafasi za juu kulalamikia jambo fulani kuhusu uendeshaji wa nchi - huja vijana wa chama maarufu kwa UVCCM na makundi mengine ya wanufaika...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Wanabodi salama? Mwamba Lukuvi na Kabudi wako wapi? Bungeni wanaonekana kweli? Au wanaendelea kutoa ushauri ikulu post walizopewa na mama?
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Ukiona hivyo, ujue hao viongozi wanaomtetea hawampendi kiongozi wao. Ni kweli kabisa maisha yamebadilika mno, natamani kiongozi wetu siku moja aache tu maisha yake hayo yasiyozijua dhiki na tabu...
6 Reactions
7 Replies
717 Views
Haya mambo ya kukatika kwa umeme tulishayasahau tangia mwanzoni mwa utawala wa awamu ya tano. Tunaotegemea umeme kwa majukumu yetu ya kila siku, imekuwa shida kubwa sana kwa kiwango ambacho...
1 Reactions
6 Replies
547 Views
Hakuna DC aliyewahi kuja Bukoba mwenye ujasiri na uthubutu kama Moses Machali. Kafanya mambo magumu bila kuogopa mtu, ametouch hata untouchable wa mji wakatikisika japo wamemsagia kunguni kwa Mama...
0 Reactions
3 Replies
805 Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, imewaachia huru Watuhumiwa 24 akiwemo Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya, Nderango Laizer na madiwani 10 wa kata mbalimbali za Wilaya hiyo baada ya Mwendesha Mashtaka wa...
0 Reactions
1 Replies
721 Views
Duniani kote Wasaliti ndio husababisha mabadiliko ya dhati kutokea na ukombozi kupatikana haraka tukianzia kwa Yuda Iskarioti mwenyewe Dr Bashiru anaweza kuonekana anaisaliti CCM lakini aweza...
1 Reactions
2 Replies
492 Views
Wasalaam wanajukwaa! Na Gregory Jumbe Mahanju, Nataka kutuma ujumbe kwa wateule wa Rais Samia Suluhu Hassan akiwemo Waziri wa TAMISEMI Ndg Angela Kairuki, Katibu mkuu wa TAMISEMI,Mkuu wa mkoa wa...
0 Reactions
5 Replies
834 Views
Nimefurahi uchaguzi unaendelea ndani ya CCM ni hatari tupu, wale matajiri waliowekwa kando na Mh Mwendazake, sasa wanarudi Kwa kasi kasi ya 4G. Ninaikumbuka sana CCM ya kabla ya Magufuli...
4 Reactions
10 Replies
903 Views
Habari kuna mijadala mingi inaendelea ambayo haina faida kwa mwananchi Mnyonge hasa kuhusu Bashiru, Tuna tatizo kubwa sana la umeme,Kimara siku ya pili tuko gizani kira kitu kimelala,wahusika...
0 Reactions
1 Replies
415 Views
Hii migao inatia Raia umasikini na ni kama hakuna hata solution za muda mfupi za kutatua hili. Raia tunabakia kulalamikia nyuma ya keybord tu.
3 Reactions
22 Replies
1K Views
☝🏾Ukipenda muite Dr. Bashiru Ally Kakurwa Anatibu upele, harara, Surua, Kaswende Gono na muwasho kwenye ngozi. Kaongea kwa dakika moja ila anajibiwa wiki nzima, kaongea sehemu moja anajibiwa...
11 Reactions
13 Replies
1K Views
Hawa wanachama wa CCM wameishiwa hoja badala yake wanatumia mashambulizi kwa mtindo wa mbwamwitu, wanadhani wakishambulia kwa wingi wa kundi lao basi watakuwa wamejenga hoja! CCM imeishiwa watu...
1 Reactions
6 Replies
351 Views
Dkt BASHIRU USITURUDISHE KWENYE TANZANIA YENU YA GIZA!! Dkt Bashiru, Nimeona maudhui yako udhi kwenye vyombo vya habari yakilenga kutweza juhudi na mafanikio makubwa ambayo Rais wetu kipenzi...
-2 Reactions
44 Replies
5K Views
Uchaguzi wa kumpata mwenyekiti wa ccm mkoa wa Kilimanjaro , majibu haya hapa.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom