Kauli ya Dr Bashiru na mjadala ulioibuka unatosha kufanya tathmini ya chama.
Sisi tukiwa elimu ya msingi tulifundishwa kuwa CCM ni chama cha wakulima na wafanyakazi, je hivi kweli chama chetu...
Chama Cha Mapinduzi kimefuta matokeo ya uchaguzi wa Umoja wa Vijana (UVCCM) mkoa wa Simiyu kwa kilichodaiwa ni kuwepo kwa dalili wazi za rushwa.
Dodoma. Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimefuta...
CCM imejikita kwa kutumia makada wake kina Kibajaji, Msukuma, Kigwangala na Kihongosi kumsema na kumtukana balozi Bashiru badala ya kuzijibu hoja zake kwa umakini.
Wakati huo huo CCM ipo kwenye...
Wanabodi,
Huu ni muswada wa zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa"
Leo nazungumzia umuhimu wa kuwa na upinzani makini na upinzani wa kweli kwa maendeleo ya taifa, bila kuwepo kwa upinzani...
WanaJf,
SALAAM!
Mara nyingi ikitokea viongozi wastaafu wa nafasi za juu kulalamikia jambo fulani kuhusu uendeshaji wa nchi - huja vijana wa chama maarufu kwa UVCCM na makundi mengine ya wanufaika...
Ukiona hivyo, ujue hao viongozi wanaomtetea hawampendi kiongozi wao.
Ni kweli kabisa maisha yamebadilika mno, natamani kiongozi wetu siku moja aache tu maisha yake hayo yasiyozijua dhiki na tabu...
Haya mambo ya kukatika kwa umeme tulishayasahau tangia mwanzoni mwa utawala wa awamu ya tano.
Tunaotegemea umeme kwa majukumu yetu ya kila siku, imekuwa shida kubwa sana kwa kiwango ambacho...
Hakuna DC aliyewahi kuja Bukoba mwenye ujasiri na uthubutu kama Moses Machali. Kafanya mambo magumu bila kuogopa mtu, ametouch hata untouchable wa mji wakatikisika japo wamemsagia kunguni kwa Mama...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, imewaachia huru Watuhumiwa 24 akiwemo Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya, Nderango Laizer na madiwani 10 wa kata mbalimbali za Wilaya hiyo baada ya Mwendesha Mashtaka wa...
Duniani kote Wasaliti ndio husababisha mabadiliko ya dhati kutokea na ukombozi kupatikana haraka tukianzia kwa Yuda Iskarioti mwenyewe
Dr Bashiru anaweza kuonekana anaisaliti CCM lakini aweza...
Wasalaam wanajukwaa!
Na Gregory Jumbe Mahanju,
Nataka kutuma ujumbe kwa wateule wa Rais Samia Suluhu Hassan akiwemo Waziri wa TAMISEMI Ndg Angela Kairuki, Katibu mkuu wa TAMISEMI,Mkuu wa mkoa wa...
Nimefurahi uchaguzi unaendelea ndani ya CCM ni hatari tupu, wale matajiri waliowekwa kando na Mh Mwendazake, sasa wanarudi Kwa kasi kasi ya 4G.
Ninaikumbuka sana CCM ya kabla ya Magufuli...
Habari kuna mijadala mingi inaendelea ambayo haina faida kwa mwananchi Mnyonge hasa kuhusu Bashiru, Tuna tatizo kubwa sana la umeme,Kimara siku ya pili tuko gizani kira kitu kimelala,wahusika...
☝🏾Ukipenda muite Dr. Bashiru Ally Kakurwa
Anatibu upele, harara, Surua, Kaswende Gono na muwasho kwenye ngozi.
Kaongea kwa dakika moja ila anajibiwa wiki nzima, kaongea sehemu moja anajibiwa...
Hawa wanachama wa CCM wameishiwa hoja badala yake wanatumia mashambulizi kwa mtindo wa mbwamwitu, wanadhani wakishambulia kwa wingi wa kundi lao basi watakuwa wamejenga hoja!
CCM imeishiwa watu...
Dkt BASHIRU USITURUDISHE KWENYE TANZANIA YENU YA GIZA!!
Dkt Bashiru,
Nimeona maudhui yako udhi kwenye vyombo vya habari yakilenga kutweza juhudi na mafanikio makubwa ambayo Rais wetu kipenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.