Pengine ufahamu wangu una shida ya kuelewa polepole au kuna mambo yananipita kushoto. Kwa jinsi ninavyowasikiliza wanasiasa wanavyoizungumzia katiba mpya ni kana kwamba katiba mpya ikipatikana leo...
Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Bungeni Dodoma, kwamba kwa mara ya kwanza tangu kuzaliwa kwa CCM mbunge wa Chama hicho amesimama bungeni na kudai Katiba mpya.
Luhaga Mpina aliyeshiriki kikamilifu...
Sijui kama ameandaliwa makusudi au vinginevyo.
Ila angalau kwa sasa anaonyesha kuwa wabunge wa CCM wote yeye ndiye anaweza kumfunga paka kengele.
Anaongea yaliyofichwa na Serikali bila kuogopa.
Nimeamka nikiwaza hali ya upepo wa siasa za Tanzania. Tanzania yenye vyama vingi vya siasa, vingi vyenye viongozi wanaoangalia maslahi yao wenyewe, wasiojenga vyama kwa nia ya kuliendeleza taifa...
USHAURI WA SPIKA BUNGENI KUHUSU UDAKTARI WA HESHIMA (PhD)
Spika wa Bunge, Dr. Tulia Ackson ameshauri Taifa kufahamu utaratibu mzuri wa kutumika linapokuja suala la utoaji wa Degree za heshima kwa...
Ndugu zangu watanzania,
Siku zote watanzania walihitaji na walikuwa na kiu ya kuwa na kiongozi mkuu wa nchii na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama atakaye kuwa...
MAHINDI YAANZA KUSHUKA BEI KWA KASI SOKONI.
Hali bei ya mahindi katika masoko makubwa ya Nafaka katika sehemu mbalimbali mikoani imeonekana kuwa na ahueni mkubwa kutoka Tzs 25,000 kwa Debe hadi...
Mfano hapa JF uzi wa vikao vya Bunge kila siku umekuwa ukidoda haumalizi hata page 2
Lakini nyuzi za mikutano na mahojiano ya Tundu Antipas Lissu kwenye television mbalimbali zimejazana Kiasi...
Ni vyema kuanzisha Makanisa kwa lengo la kusambaza Injili ila kinachosikitisha sasa hivi kuna kundi ambalo limevamia eneo hili nyeti kutokana na aidha ugumu wa Maisha, tamaa ya utajiri, uelewa...
Nilishangazwa Sana na taarifa iliyotolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gershon Msigwa, kuwa Serikali imeshindwa kuupeleka Bungeni katika kikao kinachoendelea hivi sasa, muswada wa marekebisho ya...
Siyo siri tena kuwa tangia kurejea nchini kwa mwanasiasa TAL, hali ya kisiasa nchini imebadilika kabisa.
Haipo shaka kuwa huyu ndiye mwanasiasa anayefuatiliwa zaidi kwa sasa hapa nchini na...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama amesema tumshukuru sana Rais Samia Suluhu kwasababu alipoingia madarakani aliamua kwanza kufungua...
MWENEZI MJEMA AKUTANA NA WAMILIKI NA WAKURUGENZI WA VYOMBO VYA HABARI.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Itikadi na Uenezi Ndg Sophia Mjema kwa nyakati tofauti jana...
Waziri Bashe jioni hii akichangia bungeni ameutupia lawama Mhimili wa Bunge kuwa ndio umesababisha kuharibu kilimo na kusisitiza kuwa kamwe Serikali ya Rais Samia haiwezi kufanya kosa hilo...
Ni dhahiri zipo baadhi ya wizara zipo very delicate kiasi kwamba waziri akiyumba kidogo tu watanzania wote wanapoteana.
Hivi sasa zipo wizara zinalalamikiwa kila siku sio mtaani, wala bungeni...
Hili sakata kwa tuliowasikiliza viongozi wa mkoa ni wazi walikiri kuwa kulikuwa na uhaba wa madeski shuleni Sinde, viongozi hao walisema siku husika walikuwa wakigawa madeski japo haohao wanasema...
Kuna wakati haya mambo tuyaangalie kwa jicho la Tatu
PhD za darasani ndio nyingi za Mchongo, jamaa wanaandikiwa tafiti na kila kitu
PhD za heshima ni Chuo kinaamua kukutunuku kwa mapenzi yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.