Kampuni za nje zinafanya tafiti na kufanya biashara ya nguruwe nchini, Wizara ya Kilimo na Ufugaji iko wapi?

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Jan 18, 2014
995
1,508
Makampuni yanatoka nje ya nchi yanakuja Tanzania na kufanya utafiti kuna uhaba katika sekta gani, wanapata majibu kuna uhaba katika sekta ya kilimo na ufugaji wa Nguruwe. Wanaifanya fursa, wanaitumia kwa kuingiza nyama ya nguruwe maelfu ya kilo na kufanya biashara.

Tuna wizara ya kilimo na ufugaji haijui hili? Hawanafungu la kufanya tafiti kugundua? Wamekazana kupiga marufuku watu kula kiti moto ati kuna ugonjwa wa homa ya nguruwe badala yakuleta namna bora ya kudhibiti ugonjwa huo watu waendelee kufuga kwa ubora.

Nchi imerogwa hii na aliyeiroga alikufa, kweli nimeamini bora upoteze hirizi kuliko kufiwa na mganga.
 
Makampuni yanatoka nje ya nchi yanakuja Tanzania na kufanya utafiti kuna uhaba katika sekta gani, wanapata majibu kuna uhaba katika sekta ya kilimo na ufugaji wa Nguruwe. Wanaifanya fursa, wanaitumia kwa kuingiza nyama ya nguruwe maelfu ya kilo na kufanya biashara.

Tuna wizara ya kilimo na ufugaji haijui hili? Hawanafungu la kufanya tafiti kugundua? Wamekazana kupiga marufuku watu kula kiti moto ati kuna ugonjwa wa homa ya nguruwe badala yakuleta namna bora ya kudhibiti ugonjwa huo watu waendelee kufuga kwa ubora.

Nchi imerogwa hii na aliyeiroga alikufa, kweli nimeamini bora upoteze hirizi kuliko kufiwa na mganga.
Hujawahi kusikia ile biashara ya mapande ya kuku yaliyogandishwa yanayoingizwa kupitia Visiwani?
Inawezekana ukawa umewekwa upofu na hilo la "kitimoto", na kusahau mabovu mengi mengine yanayofanyika kwenye awamu hii ya serikali.

Hata hivyo, naona huna umakini katika uwasilishaji wa taarifa. Hivi ni "Wizara ya Kilimo na ufugaji..."?
 
Hujawahi kusikia ile biashara ya mapande ya kuku yaliyogandishwa yanayoingizwa kupitia Visiwani?
Inawezekana ukawa umewekwa upofu na hilo la "kitimoto", na kusahau mabovu mengi mengine yanayofanyika kwenye awamu hii ya serikali.

Hata hivyo, naona huna umakini katika uwasilishaji wa taarifa. Hivi ni "Wizara ya Kilimo na ufugaji..."?
hiyo sentensi umeielewa kwa nadharia ngapi,kwa kuzingatia utata wa lugha na ufasaha wake?,,nimejikita kkatika kulijadili la kiti moto kwa sababu maalumu achana na mapande ya kuku,vifaranga vya kuku na matukio mengine kama hayo tujadili hili.ahsante
 
hiyo sentensi umeielewa kwa nadharia ngapi,kwa kuzingatia utata wa lugha na ufasaha wake?,,nimejikita kkatika kulijadili la kiti moto kwa sababu maalumu achana na mapande ya kuku,vifaranga vya kuku na matukio mengine kama hayo tujadili hili.ahsante
Yote yanahusiana sana, hayana tofauti kabisa. Tatizo ni lile lile moja bila kujali aina ya biashara.

Kama kuna msukumo wa kuzuia ufugaji ili watu wasifuge, si wangezuia pia uingizaji wa bidhaa yenyewe?

Usinisome kwa pupa na kughadhabika, ukidhani napingana na unayowasilisha hapa. Sote tunakubaliana kwamba kuna tatizo huko ndani ya wazara ya "Mifugo na Uvuvi", ambayo haina uhusiano na hiyo ya Kilimo.
 
Yote yanahusiana sana, hayana tofauti kabisa. Tatizo ni lile lile moja bila kujali aina ya biashara.

Kama kuna msukumo wa kuzuia ufugaji ili watu wasifuge, si wangezuia pia uingizaji wa bidhaa yenyewe?

Usinisome kwa pupa na kughadhabika, ukidhani napingana na unayowasilisha hapa. Sote tunakubaliana kwamba kuna tatizo huko ndani ya wazara ya "Mifugo na Uvuvi", ambayo haina uhusiano na hiyo ya Kilimo.
sawa sawa kwa kurekebisha jina la wizara,lakini msingi wangu umejikitika katika hoja ya kwamba"Tunazuia watu kula kitimoto kisa uwepo wa homa ,wakati huohuo wanaruhusu kitimoto ziingie toka nje"
 
sawa sawa kwa kurekebisha jina la wizara,lakini msingi wangu umejikitika katika hoja ya kwamba"Tunazuia watu kula kitimoto kisa uwepo wa homa ,wakati huohuo wanaruhusu kitimoto ziingie toka nje"
Dah!

Hebu kwanza mkuu 'AIMENTER'! Hivi tatizo ni nini hasa?

"...msingi wangu umejikita katika hoja ya kwamba "Tuanazuia watu kula kitimoto kisa uwepo wa homa", wakati huo huo wanaruhusu kitimoto zingine toka nje"

Hivi huoni tofauti ya : Kiti moto inayoizalishwa hapa, na hiyo inayoingizwa toka nje?

Pamoja na kwamba siafiki hatua hiyo ya kisingizio cha kutoliwa kiti moto ya hapa, lakini ngoja nikufafanulie tofauti zake kati ya viti moto hizo mbili.

Kama kitimoto inayozalishwa hapa inao ugonjwa huo unaosemwa inao, kuzuia uzalishaji ni kutafuta njia ya kuudhibiti ugonjwa huo usiendelee kuwepo nchini na kuvuruga kazi za wazalishaji wa bidhaa hiyo.

Kitimoto inayoingizwa nchini, maana yake ni kwamba wizara imejiridhisha kuwa bidhaa hiyo haina ugonjwa huo, na kwa hiyo haiwezi kuueneza nchini.

Kwa hiyo, kama ni kweli wamezuia wakulima wasizalishe bidhaa hiyo hapa hapa nchini, sababu ni nzuri, ili kudhibiti kuendelea kuwepo kwa huo ugonjwa nchini.

Hiyo bidhaa inayoingizwa nchini, haitaeneza huo ugonjwa, kwa sababu bidhaa hiyo haina vimelea vya ugonjwa wenyewe.

Sasa basi, haya yatakuwa ni kweli na sahihi, kama ni kweli nchini kumezuka tatizo la ugonjwa huo. Lakini pia kutokana na hali ya nchi yetu ilivyo sasa, ni vigumu sana kujua kama kuzuia huko kwa wafugaji wetu kunatokana na kuwepo kwa ugonjwa, au ni waheshimiwa tu wameamua kujitafutia mshiko ili mifuko yao iendelee kutuna.

Mkuu ''AIMENTER', nikuulize wewe kama ni mfugaji na wafugaji wenzio mliozuiwa, mnao ushahidi wa kujitosheleza kwamba siyo kweli ugonjwa huo upo nchini? Huu ushahidi ni nani kautoa, wizara yenyewe? Mnayo njia ya kupinga hoja hiyo na kupata majibu yenu yasiyotegemea wizara?
 
Hujawahi kusikia ile biashara ya mapande ya kuku yaliyogandishwa yanayoingizwa kupitia Visiwani?
Inawezekana ukawa umewekwa upofu na hilo la "kitimoto", na kusahau mabovu mengi mengine yanayofanyika kwenye awamu hii ya serikali.

Hata hivyo, naona huna umakini katika uwasilishaji wa taarifa. Hivi ni "Wizara ya Kilimo na ufugaji..."?
Yawezekana ni ndugu yake Mama kuna mmoja anaitwa Mzenji aliichezea Pazibasketball ya Osysterbay ila baada ya Mama kuingia madarakani kaanzisha team iitwayo DarCity basketball club kwa sasa inashiriki ligi ya mkoa Dar es salaam (Rba)na hivi punde ifikapo saa moja kamili kuna mechi kati yao Dar-City na Vijana ya Upanga karibuni hapa uwanja wa Donboscow Oysterbay saa moja kamili kwa sasa nipo Dar.
 
Makampuni yanatoka nje ya nchi yanakuja Tanzania na kufanya utafiti kuna uhaba katika sekta gani, wanapata majibu kuna uhaba katika sekta ya kilimo na ufugaji wa Nguruwe. Wanaifanya fursa, wanaitumia kwa kuingiza nyama ya nguruwe maelfu ya kilo na kufanya biashara.

Tuna wizara ya kilimo na ufugaji haijui hili? Hawanafungu la kufanya tafiti kugundua? Wamekazana kupiga marufuku watu kula kiti moto ati kuna ugonjwa wa homa ya nguruwe badala yakuleta namna bora ya kudhibiti ugonjwa huo watu waendelee kufuga kwa ubora.

Nchi imerogwa hii na aliyeiroga alikufa, kweli nimeamini bora upoteze hirizi kuliko kufiwa na mganga.
Karibu 2023
Mapinduzi ya Ufugaji wa Nguruwe Tanzania.

Direct Whatsapp - Xiānshēng 大卫, 名尼亞 Muwekezaji / Entrepreneur / Investor

1. WhatsApp Group Mapinduzi ya Ufugaji wa Nguruwe Tanzania

2. WhatsApp Group Uza au Nunua Nyama ya Nguruwe Tu Hapa

3. Bei Facebook anmelden

4. Messenger

5. Messenger

6. Bei Facebook anmelden

7. Bei Facebook anmelden

8.

9. Wateja wa Nyama Ya Nguruwe

10. Wateja wa Watoto wa Nguruwe wa Kisasa wa Mbegu

Instagram - @Nyamayanguruwee
Facebook Account - Nyama Ya Nguruwe
Facebook page - nyamayanguruwe

1. Ninauza Watoto wa Nguruwe wa Kisasa wa Mbegu
Madume na Majike yanapatikana hapa
Bei ni Tshs 200,000/= - Tshs 2,000,000/=
Bei Inategemea na Mbegu au Umri wa Nguruwe utakayemuhitaji.

NB:- Ukinunua watoto wa Nguruwe Tenga la kuwaweka kwa ajili ya kuwabeba au kuwasafirisha utapata Bure kwa idadi yoyote ile ya watoto wa Nguruwe utakaonunua hapa shambani.

2. Ninauza Nyama ya Nguruwe kwa bei ya Jumla Kilo moja (Kg 1) ni Tshs 8,000/= - Tshs 8,500/=

NB:- NINAHITAJI Wateja wanaonunua nyama ya Nguruwe NA KULIPA hela Papo Hapo au CASH. Kuanzia Kilo 5, kilo 10, kilo 20, kilo 30, kilo 40, kilo 50, kilo 60, kilo 70, kilo 80, kilo 90, kilo 100, kilo 150, kilo 200, kilo 250 nakuendelea

👉🏽Nyama ya Nguruwe kwa bei ya Reja Reja Kilo moja (Kg 1) ni Tshs 9,000/= - Tshs 10,000/=

*SPECIAL ORDERS *
RIBS / Mbavu Tu Kg 1 - ni Tshs 12,000/= - Tshs 15,000/=
Stake Tupu / Steak Kg 1 - ni Tshs 12,000/= - Tshs 15,000/=
Maini Kg 1 - ni Tshs 10,000/=
Kichwa Kg 1 - ni Tshs 3,500/= - Tshs 4,000/=
Miguu Pair 1 - ni Tshs 4,000/= - Tshs 5,000/=
Matumbo Ndoo Kubwa - ni Tshs 15,000/= - Tshs 20,000/=
Mkia Kg 1 - ni Tshs 3,000/= - Tshs 4,000/=

3. Ninachukua Nguruwe wa kuchinja Dar es Salaam na Pwani. Kwa kila kilo moja (Kg 1) utalipwa Tshs 6,500/= mpaka Tshs 7,000/=

NB:- Popote Dar es Salaam na Pwani nitakuja kuwachukua Nguruwe BURE! - KAMA NGURUWE WAKO WAPO KARIBU NA MAHALI NILIPO.

4. Ninauza Mbolea ya Nguruwe
Ujazo wa Suzuki Carry Kg 350 ni Tshs 100,000/= Tu.

NB:- Kama ni Karibu na Shamba usafiri ni bure. Kama ni Mbali na shamba Dar es Salaam na Pwani usafiri upo kwa Gharama ya Mteja.

5. Nguruwe wenye mimba ni Tshs 2,000,000/=

KUMBUKA Kwa huduma yoyote ile utakayoihitaji hapa, Delivery Dar es Salaam na Pwani ipo kwa Gharama ya mteja.

Kwa Mawasiliano
Tel: +255716576827
Email: Nyamayanguruwe@gmail.com
Location: Dar es Salaam, Bunju B, Mabwe Pande, Manzese

Mapinduzi ya Ufugaji wa Nguruwe Tanzania.
#daressalaam #nguruwe #watotowanguruwe #watotowanguruwewakisasa #nguruwebiashara #piglet #piglets #pork #ham #swine #pigs #pig #delivery #tanzania #pigfarmer #pigfarmers #pigfarmerslife #mapinduziyaufugajiwanguruwetanzania #nyamayanguruwe
#porkrecipe #pigfood

Karibu tufanye Kazi.
2023
 
Back
Top Bottom