Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,248
Jeshi la Polisi limetangaza kwamba IGP mstaafu ataagwa rasmi kesho na Jeshi hilo kwenye hafla itakayofanyika kwenye viwanja vya chuo cha Polisi Kurasini mkoani Dar es Salaam
Msemaji wa Polisi amewaambia Waandishi wa Habari kwamba sherehe za kumuaga Sirro ambaye sasa ni balozi wa Tanzania nchini zimbabwe zitaanza saa 1 asubuhi kwa gwaride maalum .
Simon Sirro atakumbukwa milele kwa upelelezi wake kabambe kwenye sakata la kutekwa kwa mfanyabiashara Mohamed Dewji , pale alipotumia intelijensia kabambe na kukamata gari lililotumiwa na wale Wazungu wawili waliomteka MO
Tunamtakia kila la heri .
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Msemaji wa Polisi amewaambia Waandishi wa Habari kwamba sherehe za kumuaga Sirro ambaye sasa ni balozi wa Tanzania nchini zimbabwe zitaanza saa 1 asubuhi kwa gwaride maalum .
Simon Sirro atakumbukwa milele kwa upelelezi wake kabambe kwenye sakata la kutekwa kwa mfanyabiashara Mohamed Dewji , pale alipotumia intelijensia kabambe na kukamata gari lililotumiwa na wale Wazungu wawili waliomteka MO
Tunamtakia kila la heri .
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app