Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Erythrocyte hapa chini nimekunukuu [emoji116] "Pichani ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiwaeleza Viongozi na wabunge wa CDU kuhusu hali ya kisiasa ilivyo nchini Tanzania , kikao hiki...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Kina tetesi kwamba Bashiru amekuwa na vikao vya Siri sana na viongozi wa juu wa CUF. Moja kati ya mambo waliyojadili ni mapokezi makubwa ya Bashiru Ally Kakurwa ambaye muda si punde atarejea...
11 Reactions
55 Replies
5K Views
Shirika la Ndege la Air Tanzania linatathmini hali ya Ndege zake ili kuziba pengo linalojitokeza katika kutoa huduma lililosababishwa na kusimamishwa kwa Ndege zake za Airbus A220 kutokana na...
7 Reactions
102 Replies
8K Views
Neno "Megawatt" lilikuwa halijulikani kwa ngwini wengi mpaka Kikwete alipokuwa madarakani kama Rais. Kipindi cha JK ndiyo tukajua kumbe TANESCO ni shirika linalotegemea makampuni mengine...
17 Reactions
50 Replies
3K Views
Kwa sasa hauwezi kuitofautisha CCM na Serikali Kuanzia chini hadi juu Mwenyekiti wa CCM taifa ndiye Rais wa JMT na Wenyeviti wa Serikali za mitaa Nchi ni wanachama wa CCM Kwahiyo naishauri CCM...
1 Reactions
1 Replies
304 Views
Habari ndugu zanguni. Kutokana na hali ngumu ya kimaisha ambayo Watanzania wanapitia kwa sasa( ofcourse tulitabiri hili) ni muda sasa vijana wa kitanzania wakawa Absorbed kwenye ajira za viwanda...
15 Reactions
75 Replies
3K Views
Mahubiri ya leo ikiwa ni Jumapili ya Kwanza ya kipindi cha Majilio yamenibariki sana Hivi yule Dereva wa Tundu Lisu alitowekaje Baada ya lile shambulio? Kimsingi alitakiwa aisaidie polisi...
0 Reactions
3 Replies
411 Views
Mapenzi ya mtu na nchi yake ni jambo la msingi kujenga ustawi wa Taifa bora na lenye watu wenye kuungana kuwa na nia moja ya kujenga Taifa lao na kunyanyuana bila kujali itikadi zao. Mitazamo na...
0 Reactions
5 Replies
417 Views
Kushika hatamu kwa chama kimoja kwa muda mrefu huleta mazoea na uzembe wa kutowajibika ndio huleta kudumaa kwa maendeleo ya nchi na kukosa fikra mbadala za kisukuma gurudumu la maendeleo nchini...
11 Reactions
34 Replies
3K Views
Sijawahi kuona awamu yenye kero kama ya sasa.Muda mwingine unatamani kuhamia nchi jirani Umeme nchi nzima kwa sasa ni jenereta.kila siku lazima umeme ukate.viwanda vimeanza kufungwa,wawekezaji...
9 Reactions
47 Replies
3K Views
Ameyasema hayo huko Arusha leo.
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Maana tunaimbiwa humu kila mara kua vijana wa bavicha ni bute kabisa, mpaka wanaitwa bavichaa 😂😂😂
6 Reactions
12 Replies
1K Views
Wanadodi, Leo nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa, leo nikianzia kuibuka kwa fursa mpya kwenye reli ya SGR ya Tanzania, karibu. Wakati Tanzania tukiendelea...
27 Reactions
181 Replies
15K Views
Kwanza hii nchi inawasomi wa kutosha. Inamaana hawakujiandaa kabisa kwa chochote kuhusu umeme maji yakipungua? Kwa uzoefu mgao ukiwa mkali hivi ujue Kuna Jambo linatafutwa. Mikataba ya haraka...
0 Reactions
0 Replies
408 Views
Tangu kutokea kwa ajali hii, kumekuwa na maoni mengi na watu mbalimbali kuhojiwa ili watoe maoni yao. Kinachonmishangaza ni kuwa, wakati chanzo cha ajali kikitajwa kuwa ni hali mbaya ya hewa(najua...
0 Reactions
0 Replies
540 Views
Andiko la swali Kwa mijitu na Mianachama ya chama Cha mapinduzi, Mnaongoza mitaa yote nchini,mnaongoza vijiji vyote nchini, majimbo yote ya CCM, vitongoji vyote ni CCM chombo kikubwa Bunge ni la...
0 Reactions
3 Replies
316 Views
Shahidi wa kesi ya uchochezi inayomkabili Mbowe ameieleza mahakama kuwa mara baada ya kutolewa amri ya kurusha risasi za moto ili kukabiliana na waandamanaji ,alishuhudia Freeman Mbowe akitimua...
0 Reactions
94 Replies
10K Views
Wadau wakati utawala wa awamu ya 5 unaingia tena kwa mbwembwe nyingi tuliambiwa awamu ya 5 ni ya kujenga viwanda 100 kila mkoa. CCM nayo ililipigia kelele nchi nzima na kuliweka kwenye ilani yake...
0 Reactions
0 Replies
398 Views
Yuko wapi shujaa Aloyce Tendewa? na je sakata lake la kufukuzwa kazi liliishia wapi hasa baada ya habari hii ya mwaka jana iliyoeleza rais Magufuri hakurahishwa na suala la yeye kufukuzwa kazi...
9 Reactions
49 Replies
19K Views
Watu wa Bukinabe walimuua Thomas Sankara wakarudi nyuma na leo ni masikini wa kutupa. Thomas Sankara alitoa uhai wake kutetea masikini na raia wanyonge kama hayati JPM wa Rubambangwe Chato. Vipi...
1 Reactions
5 Replies
754 Views
Back
Top Bottom