Erythrocyte hapa chini nimekunukuu
[emoji116]
"Pichani ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiwaeleza Viongozi na wabunge wa CDU kuhusu hali ya kisiasa ilivyo nchini Tanzania , kikao hiki...
Kina tetesi kwamba Bashiru amekuwa na vikao vya Siri sana na viongozi wa juu wa CUF. Moja kati ya mambo waliyojadili ni mapokezi makubwa ya Bashiru Ally Kakurwa ambaye muda si punde atarejea...
Shirika la Ndege la Air Tanzania linatathmini hali ya Ndege zake ili kuziba pengo linalojitokeza katika kutoa huduma lililosababishwa na kusimamishwa kwa Ndege zake za Airbus A220 kutokana na...
Neno "Megawatt" lilikuwa halijulikani kwa ngwini wengi mpaka Kikwete alipokuwa madarakani kama Rais.
Kipindi cha JK ndiyo tukajua kumbe TANESCO ni shirika linalotegemea makampuni mengine...
Kwa sasa hauwezi kuitofautisha CCM na Serikali Kuanzia chini hadi juu
Mwenyekiti wa CCM taifa ndiye Rais wa JMT na Wenyeviti wa Serikali za mitaa Nchi ni wanachama wa CCM
Kwahiyo naishauri CCM...
Habari ndugu zanguni.
Kutokana na hali ngumu ya kimaisha ambayo Watanzania wanapitia kwa sasa( ofcourse tulitabiri hili) ni muda sasa vijana wa kitanzania wakawa Absorbed kwenye ajira za viwanda...
Mahubiri ya leo ikiwa ni Jumapili ya Kwanza ya kipindi cha Majilio yamenibariki sana
Hivi yule Dereva wa Tundu Lisu alitowekaje Baada ya lile shambulio?
Kimsingi alitakiwa aisaidie polisi...
Mapenzi ya mtu na nchi yake ni jambo la msingi kujenga ustawi wa Taifa bora na lenye watu wenye kuungana kuwa na nia moja ya kujenga Taifa lao na kunyanyuana bila kujali itikadi zao.
Mitazamo na...
Kushika hatamu kwa chama kimoja kwa muda mrefu huleta mazoea na uzembe wa kutowajibika ndio huleta kudumaa kwa maendeleo ya nchi na kukosa fikra mbadala za kisukuma gurudumu la maendeleo nchini...
Sijawahi kuona awamu yenye kero kama ya sasa.Muda mwingine unatamani kuhamia nchi jirani
Umeme nchi nzima kwa sasa ni jenereta.kila siku lazima umeme ukate.viwanda vimeanza kufungwa,wawekezaji...
Wanadodi,
Leo nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa, leo nikianzia kuibuka kwa fursa mpya kwenye reli ya SGR ya Tanzania, karibu.
Wakati Tanzania tukiendelea...
Kwanza hii nchi inawasomi wa kutosha. Inamaana hawakujiandaa kabisa kwa chochote kuhusu umeme maji yakipungua? Kwa uzoefu mgao ukiwa mkali hivi ujue Kuna Jambo linatafutwa. Mikataba ya haraka...
Tangu kutokea kwa ajali hii, kumekuwa na maoni mengi na watu mbalimbali kuhojiwa ili watoe maoni yao. Kinachonmishangaza ni kuwa, wakati chanzo cha ajali kikitajwa kuwa ni hali mbaya ya hewa(najua...
Andiko la swali Kwa mijitu na Mianachama ya chama Cha mapinduzi,
Mnaongoza mitaa yote nchini,mnaongoza vijiji vyote nchini, majimbo yote ya CCM, vitongoji vyote ni CCM chombo kikubwa Bunge ni la...
Shahidi wa kesi ya uchochezi inayomkabili Mbowe ameieleza mahakama kuwa mara baada ya kutolewa amri ya kurusha risasi za moto ili kukabiliana na waandamanaji ,alishuhudia Freeman Mbowe akitimua...
Wadau wakati utawala wa awamu ya 5 unaingia tena kwa mbwembwe nyingi tuliambiwa awamu ya 5 ni ya kujenga viwanda 100 kila mkoa. CCM nayo ililipigia kelele nchi nzima na kuliweka kwenye ilani yake...
Yuko wapi shujaa Aloyce Tendewa? na je sakata lake la kufukuzwa kazi liliishia wapi hasa baada ya habari hii ya mwaka jana iliyoeleza rais Magufuri hakurahishwa na suala la yeye kufukuzwa kazi...
Watu wa Bukinabe walimuua Thomas Sankara wakarudi nyuma na leo ni masikini wa kutupa.
Thomas Sankara alitoa uhai wake kutetea masikini na raia wanyonge kama hayati JPM wa Rubambangwe Chato.
Vipi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.