johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,120
Mbunge wa Mtama Nape Nnauye amesema mh Membe alimuomba agombee Ubunge jimbo la Mtama mwaka 2010 lakini yeye alimkatalia na kumwambia anaenda kugombea Jimbo la Ubungo
Baada ya uchaguzi mzee Membe akamwambia Nape kugombea jimbo la Ubungo haukuwa uamuzi sahihi hivyo arudi Mtama kwani yeye atastaafu 2015 amesema Waziri Nape
Source: Clouds Media
Baada ya uchaguzi mzee Membe akamwambia Nape kugombea jimbo la Ubungo haukuwa uamuzi sahihi hivyo arudi Mtama kwani yeye atastaafu 2015 amesema Waziri Nape
Source: Clouds Media