Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 949
- 1,685
Kuliwahi kuzungumzwa sana tena hasa hapa JF kwamba Rais mstaafu wa wamu ya nne Jakaya Kikwete na Bernard Camilius Membe ni Ndugu wa damu wengine wakidai Mama Salma Kikwete na Membe ni ndugu.
Hatujui kama ni kweli au ni maneno tu. lakini haiwezekani watu waseme tu huenda kuna ukweli hawa watu wana mahusiano "fulani" kuachia maswala ya kisiasa.
Kwa heri Mwanadiplomasia, Mwanamikakati na mwanapropaganda Bernard Camilius Membe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatujui kama ni kweli au ni maneno tu. lakini haiwezekani watu waseme tu huenda kuna ukweli hawa watu wana mahusiano "fulani" kuachia maswala ya kisiasa.
Kwa heri Mwanadiplomasia, Mwanamikakati na mwanapropaganda Bernard Camilius Membe
Sent using Jamii Forums mobile app