johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,120
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Membe alikuwa na exposure na ndio iliyomfanya asiwe Mtu wa Kukasirika na wakati mwingine alipokasirika alionesha Tabasamu tu
Mbowe anasema pamoja na kutendewa ubaya na CCM na Serikali lakini bado kuna Baadhi ya Viongozi kwenye Taasisi hizo ni Rafiki zao
Membe alikuwa Rafiki yangu kwa sababu alikuwa ni mtu mwenye Kiasi hakuwa na ukada uliopitiliza, amesema Mbowe
Source: Mwananchi
Mbowe anasema pamoja na kutendewa ubaya na CCM na Serikali lakini bado kuna Baadhi ya Viongozi kwenye Taasisi hizo ni Rafiki zao
Membe alikuwa Rafiki yangu kwa sababu alikuwa ni mtu mwenye Kiasi hakuwa na ukada uliopitiliza, amesema Mbowe
Source: Mwananchi