Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,126
- 4,169
Wako wapi waliofurahia kifo cha Samora Machel akina Peter W Botha? Walikufa kwa fedheha.
Waliomuua Patrice Lumumba na wakafurahi akina Mobutu Sese Seko
Waliomuua Thomas Sankara na kufurahia walishakufa kwa fedheha.
Na hata waliofurahia kifo cha shujaa wa Tanzania watakufa kwa fedheha
Waliomuua Patrice Lumumba na wakafurahi akina Mobutu Sese Seko
Waliomuua Thomas Sankara na kufurahia walishakufa kwa fedheha.
Na hata waliofurahia kifo cha shujaa wa Tanzania watakufa kwa fedheha