Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Desemba 1, 2022 Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alishiriki maadhimisho ya Siku ya UKIMWI duniani baada ya maadhimisho hayo alisimama na kusalimiana na Wananchi wa Mnazi mmoja mkoani Lindi wakati...
0 Reactions
1 Replies
871 Views
Bashiru Ally ameamua sasa kuwa liwalo na liweee. Hili litakuwa ni pigo ndani ya CCM maana kaamua kupiga kwenye mshono.
18 Reactions
257 Replies
23K Views
Wasalaam wana wa Mungu. Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Simiyu, David Zacharia Kafulila, amekosoa vikali kauli ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu A Lissu kuhusu kesi iliyopelekea kukamatwa kwa...
15 Reactions
225 Replies
12K Views
Chama Cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) imeiomba serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Nchini ( TRA) kuweka utamaduni wa kukutana na wafanyabiashara kujadili namna ya kuweka mifuno...
0 Reactions
0 Replies
578 Views
Naona kama vile Rais aliposema hataki vilemba vya ukoka na sifa za uongo kuna mawili matatu hayako sawa. Mosi, watendaji hasa wa chama wamedharau tamko lake dhidi ya utamaduni wao mpya wa sifa za...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Huwa sometime naamini wabongo ni watu wasiokuwa na uchungu na rasilimali zao ndio maana wamejaa foregner huku bongo wanajichumia na sisi tuna shangilia tu. Imekamatwa ndege yetu na ilivyo ni...
8 Reactions
16 Replies
1K Views
Wadau nawasalimu. Toka Serikali itangaze kuwa imenunua Mabehewa ya Treni ya Kisasa Mbunge wa Nzega Vijijini amekuwa Mstari wa Mbele kuhoji Upya wake. Kwa Tabia ya Kugwangalah Swali hili hili...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Jaji Tiganga alisikiliza ushahidi wa Jamhuri na kupima kwa weledi kuwa Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu. Hii ilionyesha kuwa kulikuwa na harufu ya hati. Mbowe na wenzake walitakiwa...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Baada ya kutafakari na kuangalia mambo yanavyoenda, nimegundua Hussein Bashe wanamuita Msomali lakini ni Mzalendo kuliko wakina Makamba wanaojiita Wazawa. Hussein Bashe ni Waziri wa Kilimo sioni...
9 Reactions
89 Replies
5K Views
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amemtaka Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamisi Kigwangalla kumzungumzia Mgombea wa Urais wa CCM, Dkt. Magufuli badala ya kuendelea na malumbano yake...
27 Reactions
275 Replies
29K Views
Ndugu wa kijana Hamza aliyeuwa polisi watatu na yeye kuuawa pale daraja la Salenda wametiwa mbaroni na polisi usiku huu. Ndugu wote wamekamatwa na nyumba yao imefungwa na iko chini ya ulinzi...
8 Reactions
244 Replies
35K Views
Wasalaam JF, Hoja thabiti za aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Zacharia Kafulila zimeendelea kugonga Vichwa vya wale wote wanaotamani kusikia na kuona Rais Samia Suluhu Hassan kashindwa...
11 Reactions
121 Replies
5K Views
CCM oyee! Zidumu fikra za mwenyekiti Magufuli Bashiru Ally aliteuliwa na mwenyekiti wa CCM, Rais Magufuli, hamkupiga ktk kikao chochote zaidi ya kumpongeza huku KIgwangalah ukijua kuwa Bashiru ni...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Ndugu zangu kwa Sasa Hali ya umeme inarejea katika Hali yake ya kawaida,kwa Sasa shughuli za kiuchumi zinazotegemea umeme zinakwenda vyema, Mioyo ya wananchi wajasiriamali na wafanyabiashara...
1 Reactions
130 Replies
4K Views
Mbowe kasema ukweli. Je tufanyaje ili kuwa na viongozi watendaji, wabunifu na wasio wala rushwa. Pamoja na katiba mpya tujiulize je utamaduni ni tatizo, je elimu yetu ni tatizo. Kwanini makabila...
3 Reactions
5 Replies
724 Views
Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa. Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo...
9 Reactions
193 Replies
8K Views
SALAMU ZA POLE NA RAMBI RAMBI KUFUATIA KIFO CHA JIANG ZEMIN RAIS WA ZAMANI WA JAMHURI YA WATU WA CHINA.
7 Reactions
30 Replies
1K Views
Tetesi kutoka ndani ya familia ya Nape na mfadhili wake atakaye msomesha nchini marekani kwa miaka kadhaa hapo mwaka 2021 amethibitisha kwamba Nape kwa kinywa chake kasema kwamba ataachana na...
16 Reactions
93 Replies
13K Views
Ushauri wangu kwa Serikali pelekeni haraka sana mchakato wa kubinafsisha Bandari pamoja na mradi wa mwendokasi. Hali ni mbaya sana, Serikali inagawana mapato na wafanyakazi pasu kwa pasu tena...
3 Reactions
33 Replies
2K Views
Back
Top Bottom