Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hatumuoni kwenye majukwaa ya CCM akirap. Baba yake alifanya kazi na hayati Nyanza Coop Ltd na hapa ndio ikawa mwanya wa upendeleo. Alichukiwa na wanaunyanyembe sana. Hasa waswezi wa unyanyembe...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Rwanda ni Nchi ndogo sana kwa Tanzania. Of- course Kagame is smart but siyo extent hiyo. Kagame hawezi kuingilia siasa za Tanzania hata kwa asilimia 1%. Kuna watu wanadhani Kagame anaushawishi...
93 Reactions
806 Replies
60K Views
Ujumbe wa Vigogo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) umewasili Nchini Ubelgiji kutokea Ujerumani , Chadema chama cha siasa kinachotajwa kuwa Maarufu zaidi Barani Africa kwa sasa , huku...
12 Reactions
69 Replies
3K Views
Wanabodi, Angalizo la Bandiko Hili, sijataja jina la mtu yoyote, naomba na wewe usitaje. Hapa nazungumzia title ya mtu kuitwa Mama. Japo title ya "Mama" ni jina la heshima kwa mwanamke, kila...
14 Reactions
77 Replies
5K Views
Huku ndiko taifa tunaelekea, uwezo wa kuhoji maswala muhimu unaongezeka na watu wanazidi kuelimika kuhusu maswala ya sayansi ya uraia, na hizi ndizo athari chanya za matumizi ya mitandao kijamii...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama kuna mwanasiasa bado anaamini kuna siku CCM itaondoka madarakani basi atakuwa na tatizo kubwa sana kwenye Ubongo, umoja wa vyama vya siasa haupo, wanasiasa na vyama wanafurahia ruzuku na...
1 Reactions
14 Replies
724 Views
Wakati Samia amesaini mikataba 15,nje ya nchi huko China!Kati ya hiyo.Ni mitatu pekee iliyotajwa huku mingine ikifanywa "Siri". Hapo Kenya,leo 6/11/22.Imeripotiwa kupitia Luninga ya KTN-NEWS...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Watoto wa Tundu Antipas Mughway Lissu ni raia wa Marekani, lakini baba yao aliwachukulia passport za Tanzania, bila shaka aliwasilisha taarifa za uongo kwa Afisa wa serikali, jambo ambalo ni...
10 Reactions
204 Replies
11K Views
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka wananchi katika Jimbo la Amani kumchagua mgombea wa wake kwa kuwa ndiye mwenye uwezo wa kuendeleza kazi nzuri ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya chama...
9 Reactions
26 Replies
2K Views
Salama wakuu! Naomba mwenye CV ya huyu kijana Mr SHAKA HAMDU SHAKA nimesikilza mara kwa mara napata tabu sana kumuelewa, Hajui kuongea kwa staha na hoja, ustarabu zero na matusi mengi...
0 Reactions
25 Replies
20K Views
Chama cha Mapinduzi kimetangaza Tarehe 7 na 8 Disemba ni Mkutano Mkuu wa Taifa wa ambao utakuwa na jukumu la kuwachagua viongozi wapya ngazi ya Taifa suala la rushwa limeonekana kuitia doa CCM...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Ukitizama kwa nje unaweza kusema kwamba Tanzania ndio nchi ingetakiwa iwe msuluhishi mkuu kwenye huu ukanda wa Africa Mashariki lakini ni tofauti sana na uhalisia. Sababu kubwa ni kuwa na taifa...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Mwaka jana Zitto Kabwe katikati ya mgogoro wa Ndugai na CAG alitabiri kuwa CAG ''kisiki'' Prof. Mussa Assad anafanyiwa zengwe la kuondolewa na kuletwa CAG dhaifu. Sikiliza hiyo video
4 Reactions
42 Replies
6K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mkuu Mpya mmoja wa Mkoa na kuwahamisha vituo vya kazi wengine sita kuanzia jana, Jumamosi, Desemba 6, 2014...
7 Reactions
162 Replies
35K Views
Wadau baada ya suala la CAG kuthibitika kuwa Rais Magufuli alivunja katiba ya nchi. Sasa nataka na hili la Halima Mdee na genge lake nilifikishe mahakamani ili mahakama itamke kuwa Spika Ndugai...
2 Reactions
7 Replies
882 Views
Wajumbe karibuni Dodoma "Tunawatakia safari njema", Theresia Mtewele Mjumbe wa kamati kuu ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa.
0 Reactions
3 Replies
965 Views
Ifike wakati sasa hatua stahiki zichukuliwe ili iwe mfano kwa watu wote wanaopata uongozi katika nchi hii. Magufuli na wote waliohusika sasa ni wakati wafilisiwe. Mtu hawezi kuwa anajiamulia...
23 Reactions
83 Replies
7K Views
Huu mchezo nilikuwa naukemea tangu enzi za Magufuli. Hii leo ni zaidi ya mara 4 sherehe za kitaifa kughairishwa na viongozi kisha fedha kuamuru zipelekwe kwingineko. Rais hupatiwa kitabu chote...
1 Reactions
10 Replies
846 Views
Nafahamu kwamba watu wengi wameanzisha threads wakijaribu kuelezea suala la CAG Kisheria! Hata hivyo, wengi wao kama sio wote walichofanya ni kurundika vifungu vya kisheria bila kutoa ufafanuzi...
60 Reactions
641 Replies
103K Views
Rais Samia Suluhu amesema mwaka huu hakutakuwa na sherehe za uhuru na pesa zilizokuwa zimetengwa kwaajili ya sherehe izo ziende kuimarisha sekta ya elimu wadau wengi wa maendeleo wameunga mkono...
8 Reactions
73 Replies
4K Views
Back
Top Bottom