Hatumuoni kwenye majukwaa ya CCM akirap.
Baba yake alifanya kazi na hayati Nyanza Coop Ltd na hapa ndio ikawa mwanya wa upendeleo.
Alichukiwa na wanaunyanyembe sana. Hasa waswezi wa unyanyembe...
Rwanda ni Nchi ndogo sana kwa Tanzania.
Of- course Kagame is smart but siyo extent hiyo. Kagame hawezi kuingilia siasa za Tanzania hata kwa asilimia 1%. Kuna watu wanadhani Kagame anaushawishi...
Ujumbe wa Vigogo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) umewasili Nchini Ubelgiji kutokea Ujerumani , Chadema chama cha siasa kinachotajwa kuwa Maarufu zaidi Barani Africa kwa sasa , huku...
Wanabodi,
Angalizo la Bandiko Hili, sijataja jina la mtu yoyote, naomba na wewe usitaje. Hapa nazungumzia title ya mtu kuitwa Mama.
Japo title ya "Mama" ni jina la heshima kwa mwanamke, kila...
Huku ndiko taifa tunaelekea, uwezo wa kuhoji maswala muhimu unaongezeka na watu wanazidi kuelimika kuhusu maswala ya sayansi ya uraia, na hizi ndizo athari chanya za matumizi ya mitandao kijamii...
Kama kuna mwanasiasa bado anaamini kuna siku CCM itaondoka madarakani basi atakuwa na tatizo kubwa sana kwenye Ubongo, umoja wa vyama vya siasa haupo, wanasiasa na vyama wanafurahia ruzuku na...
Wakati Samia amesaini mikataba 15,nje ya nchi huko China!Kati ya hiyo.Ni mitatu pekee iliyotajwa huku mingine ikifanywa "Siri".
Hapo Kenya,leo 6/11/22.Imeripotiwa kupitia Luninga ya KTN-NEWS...
Watoto wa Tundu Antipas Mughway Lissu ni raia wa Marekani, lakini baba yao aliwachukulia passport za Tanzania, bila shaka aliwasilisha taarifa za uongo kwa Afisa wa serikali, jambo ambalo ni...
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka wananchi katika Jimbo la Amani kumchagua mgombea wa wake kwa kuwa ndiye mwenye uwezo wa kuendeleza kazi nzuri ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya chama...
Salama wakuu!
Naomba mwenye CV ya huyu kijana Mr SHAKA HAMDU SHAKA nimesikilza mara kwa mara napata tabu sana kumuelewa, Hajui kuongea kwa staha na hoja, ustarabu zero na matusi mengi...
Chama cha Mapinduzi kimetangaza Tarehe 7 na 8 Disemba ni Mkutano Mkuu wa Taifa wa ambao utakuwa na jukumu la kuwachagua viongozi wapya ngazi ya Taifa suala la rushwa limeonekana kuitia doa CCM...
Ukitizama kwa nje unaweza kusema kwamba Tanzania ndio nchi ingetakiwa iwe msuluhishi mkuu kwenye huu ukanda wa Africa Mashariki lakini ni tofauti sana na uhalisia.
Sababu kubwa ni kuwa na taifa...
Mwaka jana Zitto Kabwe katikati ya mgogoro wa Ndugai na CAG alitabiri kuwa CAG ''kisiki'' Prof. Mussa Assad anafanyiwa zengwe la kuondolewa na kuletwa CAG dhaifu.
Sikiliza hiyo video
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mkuu Mpya mmoja wa Mkoa na kuwahamisha vituo vya kazi wengine sita kuanzia jana, Jumamosi, Desemba 6, 2014...
Wadau baada ya suala la CAG kuthibitika kuwa Rais Magufuli alivunja katiba ya nchi.
Sasa nataka na hili la Halima Mdee na genge lake nilifikishe mahakamani ili mahakama itamke kuwa Spika Ndugai...
Ifike wakati sasa hatua stahiki zichukuliwe ili iwe mfano kwa watu wote wanaopata uongozi katika nchi hii. Magufuli na wote waliohusika sasa ni wakati wafilisiwe.
Mtu hawezi kuwa anajiamulia...
Huu mchezo nilikuwa naukemea tangu enzi za Magufuli.
Hii leo ni zaidi ya mara 4 sherehe za kitaifa kughairishwa na viongozi kisha fedha kuamuru zipelekwe kwingineko. Rais hupatiwa kitabu chote...
Nafahamu kwamba watu wengi wameanzisha threads wakijaribu kuelezea suala la CAG Kisheria! Hata hivyo, wengi wao kama sio wote walichofanya ni kurundika vifungu vya kisheria bila kutoa ufafanuzi...
Rais Samia Suluhu amesema mwaka huu hakutakuwa na sherehe za uhuru na pesa zilizokuwa zimetengwa kwaajili ya sherehe izo ziende kuimarisha sekta ya elimu wadau wengi wa maendeleo wameunga mkono...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.